Wimbo wa nusu nusu mdundo wake ni SAMPLING

Wimbo wa nusu nusu mdundo wake ni SAMPLING

Kama hujui muziki ni bora ukae kimya. Sampling ni kitu cha kawaida sana kwenye muziki labda kama hao mabwana waliosample hawajatoa credits kwa mtunzi.

Mf. MBDTF album bora kabisa ya kanye West nyimbo zote ni sample na ilishinda Grammy's kadhaa, beats nyingi za kanye ni sample. Na sio kanye tu producers wengi wana sample kifupi kusample ni kawaida ila inabidi utoe credit kwa mtunzi.

Sisikii kama nusu nusu ikifanana na sexual healing Jaribu kusikia the fix ya Nelly au blurred lines hizo ndio sample za sexual healing

mkuu kwenye kumbukumbu zangu sijasikia producer alie credit source ya aliko sample japo wana sample sana tu!
sana wanataka wapigiwe makofi tu kwa kazi ambazo kimsingi sio zao...fools!
 
mkuu kwenye kumbukumbu zangu sijasikia producer alie credit source ya aliko sample japo wana sample sana tu!
sana wanataka wapigiwe makofi tu kwa kazi ambazo kimsingi sio zao...fools!

Kwa bongo sijawahi sikia producer aki-acknowledge kufanya sampling hadi wabanwe, nakumbuka Amen ya FA feat dully Sykes na AY ile hata siiti sampling naita copy and paste maana kuna wimbo wa Jamaica una beat vile vile mwanzo mwisho

Kwa mbele it's a different story toa credits au pigwa fine kama blurred lines ya Robin Thicke kwa kusample sexual healing bila kumtaja Marvin Gaye.
 
Huko koooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote umekosea...........ndugu sikiliza ngoma ya fabolous inaitwa fabolous life yuko na ryan rislie,joh kakopi mpaka kughani yaan beat mule mule ghani mule mule
 
kusample kupo ktk game ya hiphop hv uxhawah kufatilia mix tape za waxanii wakubwa dunian? wanasample pia beats na inakubalika
 
Wasio ujua muziki utawaona tu sasa aliyekwambia kusample dhambi nani? Hata maproducer miamba ya duia wanafanya hivyo na ni moja ya ubunifu.
 
Wasio ujua muziki utawaona tu sasa aliyekwambia kusample dhambi nani? Hata maproducer miamba ya duia wanafanya hivyo na ni moja ya ubunifu.
 
Nimegundua watanzania wengi sana hatujui muktadha mzima wa sanaa, maana watu wanalalamika tuu hata hajui wasemacho
 
Kwa bongo sijawahi sikia producer aki-acknowledge kufanya sampling hadi wabanwe, nakumbuka Amen ya FA feat dully Sykes na AY ile hata siiti sampling naita copy and paste maana kuna wimbo wa Jamaica una beat vile vile mwanzo mwisho

Kwa mbele it's a different story toa credits au pigwa fine kama blurred lines ya Robin Thicke kwa kusample sexual healing bila kumtaja Marvin Gaye.

Mkuu kwenye Blurred Lines Robin Thike na Pharrell walisample wimbo wa Got to give it up wa Marvin Gaye na sio Sexual Healing.
 
Back
Top Bottom