Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]Unamsikilizisha lugha zilizokuja kwa ndege ukitegemea atalia!! Sijui lakini jaribu
Dogo usihukumu, sio wanaokwenda jela wote wana hatia, you never knowHuyo mtu hajawahi kufutiwa tuhuma za ubakaji na ulawiti na mahakama yoyote ni vipi nikimuita hivyo mnafuta comment yangu! Haya futeni na hii.
Hahahaa umetiiishaWabongo watakuambia kesi yao ilikua ni Kiki ya huo Wimbo. [emoji23] [emoji23]
Nakukumbusha kuwa wewe si yeye...Kama unalia kwa mashairi ya kawaida tu kama hayo basi una shida moyon mwako.
huenda sio mwanaumeSehemu gani imekuliza hapo chozi la mwanaume halitoki kwa namna hiyo
mademu ndivyo walivyoNaona anahisia za Karibu sana huyu mtu, hahah
kulia sio rahisi labda kushotoNyie mmesoma mashairi yeye kasikiliza na sauti na hisia za mwimbaji labda nawewe ukiusikiliza unaweza kulia!
hahaha umezichanga ♣♠♪♦ vyemaAtakuwa mwanaume wa Dar huyu!
Analia kwa stress zake huko..anasingizia wimbo..Sehemu gani imekuliza hapo chozi la mwanaume halitoki kwa namna hiyo
Mara paap ....ni gudumamademu ndivyo walivyo