Wimbo wa SALOME wa Diamond Platnumz ni uasherati mtupu

Wimbo wa SALOME wa Diamond Platnumz ni uasherati mtupu

Hahaha mwacheni Diamond wawatu ths guy anajua maana ya sanaa! Wew ukitafsir hivyo wewe ndio unatukana! Hiyo ndio maana halisi ya Tafsida
 
Huo wimbo kwa mtu anaejua hatua za kugegeda hakuna fumbo gumu, ila sasa hapo kwenye mtoto jojo sio roboti nilikuwa nimesahau kama jamaa kaisha tomasa na kujua ulaini daaah[emoji134] [emoji134] [emoji2] [emoji2]
 
Watu kwa kupenda kukuza vitu. Nini maana ya fasihi? Utakavyoelewa wewe sio atakavyoelewa mwingine. Ni sawa na mtu ukimwambia "umenikanyaga" kmbe yy kichwan tayari anajua kukanyaga maana yake ya kifedhuli. Pia Ni sawa na kusema "anakalia kigogo kwa mbele" mwingine atafikiria vigogo vingine kumbe kigogo sehemu
Hiyo post ndo maana halisi ya huo wimbo, hapo suala la kukubali ni moja, maneno yaliyotumika ni tafsida, yanamfunga asiyeelewa..
 
Kuna tofauti ya kati ya picha ya pornography na picha amabyo ni mchoro wa mtu yupo uchi ikiwa kama sanaa. Unachojaribu kufananisha hakina tofauti na huo mfanoo
 
Aisee nimekuja kugundua hii nyimbo ya Salome ina matusi tena ya mwendo kasi Hasa reyvanny
Kwanza anaanza kama anamsifia mwanamke eti

"kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodoka, mwendo na shepu vyote mwanana mi suruali yanidondoka"

Hapo kakaanza matusi madogomadogo sasa suruali inakudondoka je??
Akaendelea

"Tukimbizane nini Salome wangu hiyo michezo ya jogoo"
Matusi yakaendelea
"mbona watizama chini salome wangu ukimwona jongoo (kidudu)"

Matusi yakaanza kuwa makubwa
"inama chini shika magoti (doggy flani) mi nimesimama kama ngogoti (kadinda)" Mtoto jojo (mlaini) sio roboti (sio mgumu kama chuma) chumbani bingili bingili samasoti"

Aisee dai si akaingia kucement matusi kabisa maana kumbuka hapo mtoto kashabog'oa na jamaa kashadinda na kashamshikashika kagundua mlaini

Dai sasa
"unantekenyaga ukinyonga Salome, unantekenyaga ukinyonga" (hapo sex inaendelea Miksa Mtoto anakatiba balaa)
Verse ya dai naye akaendeleza sex maana utasikia "utamu kolea" Mara "ting'ari tig'ari ndani kwa moto" huku akijisifulia kuwa na yeye kwenye sex sio "ngenge ni nganga"

Mama yangu Ray si akaja na matusi makubwa zaidi
"Baby kwangwau isimamie kama kangaroo, ibane kangwau babu nyuma mpige kwakwalu kwakwalukwa" hapo ni obviously alikuwa anakaribia kucome

*Matusi matupu*
Hii inasababisha niamini hizi nyimbo wanatungiwa,kazi yao ni kuimba tu,,
 
Nilipoiskia tu nikasema laaaulaaa!nilikaa na mwanangu kijana wa makamo nikanyanyuka..twende mbele turudi nyuma dai tunamuelewa lakn hii nyimbo mtihan mtupu.
 
"Baby kwangwau isimamie kama kangaroo, ibane kangwau babu nyuma mpige kwakwalu kwakwalukwa" hapo ni obviously alikuwa anakaribia kucome

Amazing🙂

kwa.jpg
 
Nilipoiskia tu nikasema laaaulaaa!nilikaa na mwanangu kijana wa makamo nikanyanyuka..twende mbele turudi nyuma dai tunamuelewa lakn hii nyimbo mtihan mtupu.
Kwa post yako hii naamini huwa unaisikiliza hii nyimbo peke yako na kujiimbia mbali na watoto teh teh...
 
Nami nimeupenda wimbo uko sawa tu maana kile kilichoimbwa ni cha kawaida katika fasihi sada kazi ya kutafrisi ni mtu binafsi.Leo wimbo umepingwa nipo na mama na ikawa sawa tu
 
Back
Top Bottom