Wimbo wa SALOME wa Diamond Platnumz ni uasherati mtupu

"Juu ya Msambwanda nakua nganganga" Bado unatafuta matusi?
 
Hv hayo maneno ndo tafsiri ya alichoimba Saida kwa kihaya au wametunga yao?
Maana ni full migegedo
 
Baby kwang'waru nisimamie kama kangaroo, ibane kangwaru baby juma mpige kwakwaru.. Kwakwarukaaa.... [emoji23]
 
Umesena kweli. Angekuwa ni nay wa mitego katoa huu wimbo ungefungiwa fasta. Huu salome hauna maana zaidi ya ngono tupu. Alioimba Saida ndio the best. Basata sijui wako wapi
 
imetokea kwenye page ya mondi ya insta kumuweka wema akiimba nyimbo uwiiii sijui zari anajisikiaje, sasa we uje uniambie sijui tujadili tanzania ya viwanda uende siasani apa ni umbea na watu maarufu tu
 

Attachments

  • Screenshot_2016-09-22-21-27-56.png
    76.7 KB · Views: 88
  • Screenshot_2016-09-22-21-27-21.png
    66.5 KB · Views: 108
Kumbe ndo mana ake ngoja niutazame upya labda nitaelewa kivingine
 
Hata kama ni matusi lakini kajitahidi kutumia tafsida hivo kwa akili ya harakaharaka huwezi kugundua
Video pia imetulia haina matusi.
Mkimfananisha na ney was mitego si sahihi mana yule tafsida hajui kuitumia wala adabu na aibu hana
 
Basata wa nini wakati tafsida imetumika vzur binafsi sion tatzo Sababu hatujui tunayowaza sisi baba tiffah aliwaza vivyohivyo
 
Haina ubaya tafsida imetumika means utatafsiri kulingana unavyoelewa wewe.ni sawa na nyimba za mzee yusuph. Kuna nyimbo moja alisema "nataka paja mie, havinitoshi vipapatiro" au "alamba alamba aaah,aahh,aaah.hapo kila mtu akatafsiri matusi anayoyajua yeye.ukiipenda nyimbo huangalii hivyo sana.unajishtukizia unaimba tu
 
Huyu kijana haina ubishi yupo juu na mafanikio yake yanampendeza kila mmoja.....shida yangu mm ni kuhusu ngoma yake mpya ya salome nahisi kama ngoma nzima inazungumzia X mfano ,,inama kidogo shika magoti me nmecmama kama ngongoti(tusi)......nisimamie kama kanga kisha ibane kama.......(tusi).. chumbani bingili bingili samasoti(tusi)..unatazama chini ukimwona jongoo..(tusi)...kwenye MSAMBWANDA siendagi ngenge ni nganganga(tusi)..babu juma mpige kwakwaru(tusi) unantekenyaga ukinyonga(tusi) kifupi maneno pamoja na video ni utukanaji tupu huwezi kuangalia na wakwe wazazi au watoto wadogo kisha ukawatafsiria msanii anachomaanisha
Rai yangu bwa mdgo mondi unapiga mpunga mpana jaribu kupresent vitu vyenye maadili ambavyo mtu wa kila rika anaweza kusikiliza na sio kuckilizia chumbani kwa kuogopa tafsiri na maudhui ya kazi zako utamaduni wa mtanzania unaujua fika hii tabia ya kuu ignore na kuleta uzungu uzungu sio mpango
TAFAKARI....CHUKUA HATUA........
 
acha kurudia rudia mambo ya kipumbavu kila wakati,humu ndani kila mtu anauzungumzia huo wimbo,hamna cha kufanya wakuu,kwanini mnatufanya tujisikie aibu kuwa watanzania,sio fair aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…