Wimbo wa Supa Woman ni mzuri sana Pongezi kwa waimbaji

Wimbo wa Supa Woman ni mzuri sana Pongezi kwa waimbaji

..................Hakuna kitu kama hiko mkuu,kama wewe ni mwanaume wewe ni mwanaume tu hawana la ziada zaidi sana wataji-mwambafy mbele ya wanaume zao mwisho wa siku watazalishwa watatupwa na kujikuta single mama wa wakuwaowa hakuna.


Huu ujinga wa “tunaweza tunaweza” umewafanya wengi wana maisha magumu ajabu,yupo mwendawazimu mmoja akijiita somebody Kiria aliwapoteza sana namfahamu dada mmoja alikuwa shabiki wake akaanza kumletea mumewe ujinga aliokuwa akiusikia kwa yule mal@¥@ sasa hivi ni aibu maana anatembeza mboga mboga kwenye basin kichwani ndoa ilivunjika.anajuta!!!

Uanaume wako una thamani usibabaishwe na hivi viumbe,tupo duniani tuheshimiane ikitokea amekuletea ujinga achana naye wapo wanaoitafuta hiyo nafasi utawapata.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Jamaa mtata sana wewe..
 
Superwoman ni mwanamke wanamna gani?

1. Superwoman hadangi.
2. Superwoman hatoi papuchi kupata kazi.
3. Superwoman hatumii papuchi kama silaha ya kufanikisha mambo yake.
4. Superwoman sio kujifanya kiburi kwa mmeo hapana.
5. Superwoman ndio mlinzi namba moja wa familia kwenye mahusiano.
6. Superwoman ni mshauri namba moja kwa mumewe au familia.
7. Superwoman hutumia ubongo wake kwenye mipango kama wanaume wapambanaji.
8. Superwoman naye mpambanaji sio mpenda mteremko kama hawa wadangaji wa mjini.
9. Superwoman, superwoman, superwoman.

Naona mijitu fulani nayo inajiita superwoman huku kuanzia Nyumba, gari, duka analomiliki, umaarufu aliokuwa nao, biashara anayomiliki vyote ametumia papuchi kuvipata.
 
Mama Lwakatare naye ni superwoman.
Gigy money naye ni superwoman.
Amber lulu naye ni superwoman.
Basi hata Amber Ruty naye ni super woman hata kama anakaa Mbagala.
Sepenga naye superwoman.
Irene uwoya naye ni superwoman.
hahahaha Bongo movie yote imejaa masuperwoman.
 
Hii Bongo movie kuna haja ya kupigwa marufuku kwa muda kidogo maana inawezekana imeacha athari kubwa sana kwa jamii mpaka sasa..Wadada wengi miji mikuu wamekuwa wadangaji wakiamini kudanga ni sehemu ya maisha ya kawaida na mwisho wa siku tatizo hili limehamia hata kwa wake za watu sasa full kudanga...
 
Mbona hawajamtaja Halima Mdee au sio Superwoman nae...?

Halafu mbona Shishitrump simuoni humo hawajautendea haki huu wimbo kwa kweli...?
Halima ni supa woman,ila wasingewezwa tajwa supa woman wote usingekua wimbo tena bali matangazo ya supa woman
 
Mama Lwakatare naye ni superwoman.
Gigy money naye ni superwoman.
Amber lulu naye ni superwoman.
Basi hata Amber Ruty naye ni super woman hata kama anakaa Mbagala.
Sepenga naye superwoman.
Irene uwoya naye ni superwoman.
hahahaha Bongo movie yote imejaa masuperwoman.
yawezekana hujaelewa maana ya neno SUPA WOMAN,kwa kukusaidia kidogo tu Hata House girl hapo kwenu nae ni SUPA WOMAN sijui umepata kitu?
 
Hii Bongo movie kuna haja ya kupigwa marufuku kwa muda kidogo maana inawezekana imeacha athari kubwa sana kwa jamii mpaka sasa..Wadada wengi miji mikuu wamekuwa wadangaji wakiamini kudanga ni sehemu ya maisha ya kawaida na mwisho wa siku tatizo hili limehamia hata kwa wake za watu sasa full kudanga...
kudanga ni maamuzi ya mtu binafsi,tuache kuingilia maisha ya watu wao ndio wanaojua mustakabali wa maisha yao.
 
Back
Top Bottom