Lazima wimbo wa taifa uheshimike siyo kila mtu anaweka maneno yake. Sasa huo utakuwa wimbo wa taifa au?? Wakati mwingine tumieni ubongo vizuri.Hivi tatizo ni nini?
Kwani CHADEMA wao Taifa lao ni lipi ili waimbe wimbo wa taifa lao?...
Kwa sbb kama huu ni wimbo wa taifa na unaweza kuimbwa na kila mtu wa taifa husika, shida iko wapi?
Hawa ni wazalendo kwelikweli. Wameupa heshimu wimbo wa taifa. Kwa sbb kabla ya kuanza shughuli yao waliimba wimbo...
Mashuleni tunafanya hivyo. Michezoni nk
Hivi tatizo ni huko mwishoni ktk kuimba kwao kuongeza maneno yao??
Hiyo haijaubadilisha wimbo. CHADEMA hawajaandika wimbo mpya jamani. Wimbo bado ni uleule...!!