kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Time management, tuokoe muda wa kuimba wimbo mrefu bila sababu.
Afrika (AU) ina wimbo wake, SADC ina wimbo wake na East Africa ina wimbo wake pia hivyo Tanzania hatuna sababu ya kurudia kuimba wimbo wa kuiombea Africa kwenye wimbo wetu.
Kufanya hivi ni kurudia bila sababu kile kinachofanywa na Wimbo wa African Union na kusababisha wimbo wetu kuwa mrefu bila sababu.
Nashauri kile kipande cha Mungu ibariki Afrika tuachane nacho kwenye wimbo wetu wa Taifa ili kibakie kipande cha Mungu ibariki Tanzania ili mambo mengine yabakie kwenye nyimbo za EA, SADC na AU ambazo pia tunahusika nazo.
Afrika (AU) ina wimbo wake, SADC ina wimbo wake na East Africa ina wimbo wake pia hivyo Tanzania hatuna sababu ya kurudia kuimba wimbo wa kuiombea Africa kwenye wimbo wetu.
Kufanya hivi ni kurudia bila sababu kile kinachofanywa na Wimbo wa African Union na kusababisha wimbo wetu kuwa mrefu bila sababu.
Nashauri kile kipande cha Mungu ibariki Afrika tuachane nacho kwenye wimbo wetu wa Taifa ili kibakie kipande cha Mungu ibariki Tanzania ili mambo mengine yabakie kwenye nyimbo za EA, SADC na AU ambazo pia tunahusika nazo.