Wimbo wa Taifa ufupishwe

Wimbo wa Taifa ufupishwe

Ulivyo ni kama vile tunaimba nyimbo mbili kwa wakati mmoja. Nimeshuhudia mara nyingi watu wakisahau kipande cha pili Na kuishia kuimba kipande cha kwanza tu. Dunia yote ni ndugu zetu, tumeona wachina wakitusaidia kama ndugu zao kujenga TAZARA, vyuo, madaraja. Tumeona wamerikani, wajapan, wakorea, wakanada, wacuba wakitupa hiki Na kile. Lakini tuliona watu wetu wakifukuzwa Msumbiji, South Afrika, Kenya kwasababu mbalimbali hata za kipuuzi. Kama ni hivyo tuubadili wimbo tuimne "Mungu inariki Dunia, wabariki viongozi wake, ........
Charity begins at home
 
Time management, tuokoe muda wa kuimba wimbo mrefu bila sababu.

Afrika (AU) ina wimbo wake, SADC ina wimbo wake na East Africa ina wimbo wake pia hivyo Tanzania hatuna sababu ya kurudia kuimba wimbo wa kuiombea Africa kwenye wimbo wetu.

Kufanya hivi ni kurudia bila sababu kile kinachofanywa na Wimbo wa African Union na kusababisha wimbo wetu kuwa mrefu bila sababu.

Nashauri kile kipande cha Mungu ibariki Afrika tuachane nacho kwenye wimbo wetu wa Taifa ili kibakie kipande cha Mungu ibariki Tanzania ili mambo mengine yabakie kwenye nyimbo za EA, SADC na AU ambazo pia tunahusika nazo.
Maoni yako tumeyapokea lkn bahati mbaya nimeyatupa chooni
 
Back
Top Bottom