Wimbo wa Taifa Unapaswa kubadilishwa haukisi hata kidogo" wabariki Viongozi wetu" Viongozi gani hawa wala rushwa? Mafisadi?

Wimbo wa Taifa Unapaswa kubadilishwa haukisi hata kidogo" wabariki Viongozi wetu" Viongozi gani hawa wala rushwa? Mafisadi?

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Nyimbo ya Taifa ya Tanzania unapaswa kubadilishwa haukisi na Aina ya mashairi yanayopatikana kwenye hizo nyimbo yenu eti" wabariki Viongozi wetu" Viongozi gani? Hawa wala rushwa? Mafisadi? Waiba Mali ya umma?kiukweli nachukizwa na Huu Wimbo WA Taifa Popote pale ukiimbwa

Katika vitu ambayo najuta kwwnye maisha yangu ni kuimba Hii nyimbo na nitaendelea kujuta pengine maisha yangu yote Yale na yoyote Yule nikimsikia anaimba mbele yangu Naweza kumfanya kitu ambacho hataweza kusahau maisha yake yote.


Kwanza unavyosema wabariki Viongozi wetu wana nini walichokifanya? Wewe niambie tokea nchi imepata uhuru Wa bendera nini kilichofanyika? Zaidi wamezalisha waoga,katiba mbovu,wezi WA umma, Mafisadi,wala rushwa na mambo mengine maovu? Wimbo ubadilishwe.

Note
Moderator Huu Uzi usifutwe Hii ni zama Za ukweli na uwazi,msilete uchawa kwenye maslahi ya nchi yetu.
 
Nyimbo ya Taifa ya Tanzania unapaswa kubadilishwa haukisi na Aina ya mashairi yanayopatikana kwenye hizo nyimbo yenu eti" wabariki Viongozi wetu" Viongozi gani? Hawa wala rushwa? Mafisadi? Waiba Mali ya umma?kiukweli nachukizwa na Huu Wimbo WA Taifa Popote pale ukiimbwa

Katika vitu ambayo najuta kwwnye maisha yangu ni kuimba Hii nyimbo na nitaendelea kujuta pengine maisha yangu yote Yale na yoyote Yule nikimsikia anaimba mbele yangu Naweza kumfanya kitu ambacho hataweza kusahau maisha yake yote.


Kwanza unavyosema wabariki Viongozi wetu wana nini walichokifanya? Wewe niambie tokea nchi imepata uhuru Wa bendera nini kilichofanyika? Zaidi wamezalisha waoga,katiba mbovu,wezi WA umma, Mafisadi,wala rushwa na mambo mengine maovu? Wimbo ubadilishwe.

Note
Moderator Huu Uzi usifutwe Hii ni zama Za ukweli na uwazi,msilete uchawa kwenye maslahi ya nchi yetu.
Kumbe ukiimbwa unabariki rushwa na ufisadi duuu nimelipenda fuvu lako
 
Tatizo ni 1 tu, UNAWASHAWISHIJE ? jamii yako kipindi cha kufanya maamuzi ya kupiga KURA!!.

Hapo ndipo wimbo wa TAIFA unapobeba maana huo UBETI msingi wake ni hapo UNAMCHAGUA kiongozi wa namna gani ? Ambaye mwisho wa siku utamuimbia huo UBETI.

Nchi kama nchi HAKUNA kipindi nilichoamini imejaa WANAFIKI kama kipindi cha UKAWA pale ndo ilikuwa wakati pekee wa KULIGAWA Taifa hili katka utawala wa kweli.

Mambo ya kutawaliwa kila kona na CHAMA CHA MAPINDUZI mwisho wake ulikuwa wakati ule lkn kukaibuka WANAFIKI wawili 1 - SILAA , 2- LIPUMBA
 
Nyimbo ya Taifa ya Tanzania unapaswa kubadilishwa haukisi na Aina ya mashairi yanayopatikana kwenye hizo nyimbo yenu eti" wabariki Viongozi wetu" Viongozi gani? Hawa wala rushwa? Mafisadi? Waiba Mali ya umma?kiukweli nachukizwa na Huu Wimbo WA Taifa Popote pale ukiimbwa

Katika vitu ambayo najuta kwwnye maisha yangu ni kuimba Hii nyimbo na nitaendelea kujuta pengine maisha yangu yote Yale na yoyote Yule nikimsikia anaimba mbele yangu Naweza kumfanya kitu ambacho hataweza kusahau maisha yake yote.


Kwanza unavyosema wabariki Viongozi wetu wana nini walichokifanya? Wewe niambie tokea nchi imepata uhuru Wa bendera nini kilichofanyika? Zaidi wamezalisha waoga,katiba mbovu,wezi WA umma, Mafisadi,wala rushwa na mambo mengine maovu? Wimbo ubadilishwe.

Note
Moderator Huu Uzi usifutwe Hii ni zama Za ukweli na uwazi,msilete uchawa kwenye maslahi ya nchi yetu.
Kabisa.Sasa kumuomba Mungu ambariki waziri kama Mwigulu au spika Tulia kwa wanayoyafanya siyo kukufuru kweli?
NB;Kichwa cha uzi kimekaa vizuri ila ulivyoanza kuandika uzi kwa neno "Nyimbo" nilikuvua v zako zote ukabaki kuwa askari polisi GD(general duties) sugu.
 
Huo wimbo mimi huwa siuimbi. Na uzuri sina mazingira yoyote yale ya kunilazimisha kuuimba.
 
Wimbo ubaki hvy hvy mana naamini kuna viongozi bora hasa vijana/sura mpya cha kufanya ni kinuke watu kudai haki au kuwanyoosha watu kwenye kupiga kura.
 
Mbona viongozi wetu wanautendea vema wimbo wetu pendwa. Wana pinga na kukemea rushwa, wazalendo,wanatusikiliza wananchi kero zetu na kutatua, wametuletea maendeleo na tupo vizuri kiuchumi. Tuwaombee wazidi kutupambania.
 
Upo sahihi mkuu ila hao Viongozi hawawezi kufuta Wimbo unaowabariki wao wala kurekebishwa..
 
Back
Top Bottom