Seawhale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,477
- 1,668
Kiitikio(pamoja)
Mpenzi nakupendaa, namii nakupenda, ujue nakupenda nimekukubali…
Mpenzi nakupenda, namii nakupenda, ujue nakupenda na mimi nakubalii
Saida
Mpenzi nakupenda, penzi sio kila mtu, mpenzi nakupenda penzi ndio uamuzi wa mtu.
Banana
Na mimi nashukuru mama, unajua hilo
Saida
Tusidanganyanee mapenzi si ya mtu X2
Moyo wa mtu ni kizaaa kineneee
Moyo wa mtu fumbo kwa wengineee
Banana
Maneno yako mpenzi yamejaa wala simanzi
Saida
Ndani umejaa hubaa mapenzi na mahaba,
lakini pengine ni karata tatuu, ni karata tatuu jaribu uoneee
Banana
Naona unaumia nazo zako hisiaa
Saida
Mpenzi nakupenda, asikudanganye mtu, njoo nikupe, nipe nikupe.
Sina mwingine wala shaka usione.
Kiitikio
Mpenzi nakupendaa, namii nakupenda, ujue nakupenda nimekukubali…
Mpenzi nakupenda, namii nakupenda, ujue nakupenda na mimi nakubalii
Saida
Nitakupa kila kitu mpenzi ujichune, kule kwa wengine kuna ukurutu
Chunguza uone gusa ujikune
Mpenzi nakupenda, mpenzi wala sio pesa
Mpenzi nakupenda, penzi uamuzi wa mtu
Mapenzi sio upatu, sema tu gawaneee
Banana
Naamini unayosema usaliti kwako sitotenda…
Kiitikio
Mpenzi nakupendaa, namii nakupenda, ujue nakupenda nimekukubali…
Mpenzi nakupenda, namii nakupenda, ujue nakupenda na mimi nakubalii
Banana
Fungua macho yako, usiumizwe na moyo wako …
Niamini mimi ni wako, niamini nimeumbwa kwa ajili yako
Nipe mkono usikie mapigo yangu ya moyo,
Shika mkono wangu nisikie mapigo yako ya moyo
Nakupenda sana mpenzi, wanipenda unaumizwa na mapenzi…… Tupendane milele mimi na wewe
Kiitikio
Mpenzi nakupendaa, namii nakupenda, ujue nakupenda nimekukubali…
Mpenzi nakupenda, namii nakupenda, ujue nakupenda na mimi nakubalii.
Wikiendi njema.
Mpenzi nakupendaa, namii nakupenda, ujue nakupenda nimekukubali…
Mpenzi nakupenda, namii nakupenda, ujue nakupenda na mimi nakubalii
Saida
Mpenzi nakupenda, penzi sio kila mtu, mpenzi nakupenda penzi ndio uamuzi wa mtu.
Banana
Na mimi nashukuru mama, unajua hilo
Saida
Tusidanganyanee mapenzi si ya mtu X2
Moyo wa mtu ni kizaaa kineneee
Moyo wa mtu fumbo kwa wengineee
Banana
Maneno yako mpenzi yamejaa wala simanzi
Saida
Ndani umejaa hubaa mapenzi na mahaba,
lakini pengine ni karata tatuu, ni karata tatuu jaribu uoneee
Banana
Naona unaumia nazo zako hisiaa
Saida
Mpenzi nakupenda, asikudanganye mtu, njoo nikupe, nipe nikupe.
Sina mwingine wala shaka usione.
Kiitikio
Mpenzi nakupendaa, namii nakupenda, ujue nakupenda nimekukubali…
Mpenzi nakupenda, namii nakupenda, ujue nakupenda na mimi nakubalii
Saida
Nitakupa kila kitu mpenzi ujichune, kule kwa wengine kuna ukurutu
Chunguza uone gusa ujikune
Mpenzi nakupenda, mpenzi wala sio pesa
Mpenzi nakupenda, penzi uamuzi wa mtu
Mapenzi sio upatu, sema tu gawaneee
Banana
Naamini unayosema usaliti kwako sitotenda…
Kiitikio
Mpenzi nakupendaa, namii nakupenda, ujue nakupenda nimekukubali…
Mpenzi nakupenda, namii nakupenda, ujue nakupenda na mimi nakubalii
Banana
Fungua macho yako, usiumizwe na moyo wako …
Niamini mimi ni wako, niamini nimeumbwa kwa ajili yako
Nipe mkono usikie mapigo yangu ya moyo,
Shika mkono wangu nisikie mapigo yako ya moyo
Nakupenda sana mpenzi, wanipenda unaumizwa na mapenzi…… Tupendane milele mimi na wewe
Kiitikio
Mpenzi nakupendaa, namii nakupenda, ujue nakupenda nimekukubali…
Mpenzi nakupenda, namii nakupenda, ujue nakupenda na mimi nakubalii.