Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, nimelia sana aisee. We banana weeee, hii sauti uliyoitoa hapa,..... nimelia hadi nimeumwa figo 😊
Banana
Fungua macho yako, usiumizwe na moyo wako …
Niamini mimi ni wako, niamini nimeumbwa kwa ajili yako
Nipe mkono usikie mapigo yangu ya moyo,
Shika mkono wangu nisikie mapigo yako ya moyo
Hongera kwa kupenda kufuatilia mambo makubwa na pole kwa kukosa huba na mahaba ya kukupa furaha maishani.Dah, nimelia sana aisee. We banana weeee, hii sauti uliyoitoa hapa,..... nimelia hadi nimeumwa figo 😊
Mnaopewa maneno matamumatamu kama haya na mahi diya zenu nenepeni aisee. Maana wengine saa24 siku 7 za wiki ni kusikiliza uchambuzi wa vita ya urusi 😥😥😥😫
Mbona sijaandika sehemu kuwa nimekosa huba my wangu 😂😂Hongera kwa kupenda kufuatilia mambo makubwa na pole kwa kukosa huba na mahaba ya kukupa furaha maishani.