Nitakupa kila kitu mpenzi ujichune, kule kwa wengine kuna ukurutu
Chunguza uone gusa ujikune
Mpenzi nakupenda, mpenzi wala sio pesa
Mpenzi nakupenda, penzi uamuzi wa mtu
Mapenzi sio upatu, sema tu gawaneee
Fungua macho yako, usiumizwe na moyo wako …
Niamini mimi ni wako, niamini nimeumbwa kwa ajili yako
Nipe mkono usikie mapigo yangu ya moyo,
Shika mkono wangu nisikie mapigo yako ya moyo
Nakupenda sana mpenzi, wanipenda unaumizwa na mapenzi…… Tupendane milele mimi na wewe
Kwenye huu wimbo, Banana ametema maneno ambayo hatokuja kuyatema mahala popote.
"Fungua macho yako, usiumizwe na moyo wako …
Niamini mimi ni wako, niamini nimeumbwa kwa ajili yako
Nipe mkono usikie mapigo yangu ya moyo,
Shika mkono wangu nisikie mapigo yako ya moyo
Nakupenda sana mpenzi, wanipenda unaumizwa na mapenzi…… Tupendane milele mimi na wewe"
Nipo naliweka ghetto safi huku nafanyia rehearsal hii verse ya Banana ili mida Saida wangu akija panoge.
Nitakupa kila kitu mpenzi ujichune, kule kwa wengine kuna ukurutu
Chunguza uone gusa ujikune
Mpenzi nakupenda, mpenzi wala sio pesa
Mpenzi nakupenda, penzi uamuzi wa mtu
Mapenzi sio upatu, sema tu gawaneee
Fungua macho yako, usiumizwe na moyo wako …
Niamini mimi ni wako, niamini nimeumbwa kwa ajili yako
Nipe mkono usikie mapigo yangu ya moyo,
Shika mkono wangu nisikie mapigo yako ya moyo
Nakupenda sana mpenzi, wanipenda unaumizwa na mapenzi…… Tupendane milele mimi na wewe
Nitakupa kila kitu mpenzi ujichune, kule kwa wengine kuna ukurutu
Chunguza uone gusa ujikune
Mpenzi nakupenda, mpenzi wala sio pesa
Mpenzi nakupenda, penzi uamuzi wa mtu
Mapenzi sio upatu, sema tu gawaneee
Fungua macho yako, usiumizwe na moyo wako …
Niamini mimi ni wako, niamini nimeumbwa kwa ajili yako
Nipe mkono usikie mapigo yangu ya moyo,
Shika mkono wangu nisikie mapigo yako ya moyo
Nakupenda sana mpenzi, wanipenda unaumizwa na mapenzi…… Tupendane milele mimi na wewe