Wimbo Wa Willy Paul Ft. Alaine Wawabamba WaTz

Wimbo Wa Willy Paul Ft. Alaine Wawabamba WaTz

Kwa uimbaji wa wasanii wa Kenya hata top 1,000,000 ya Tanzania hawawezi kuingia.

Hiyo kweli maana nyie watu hampo exposed, huwa rahisi kuwafuga kwenye zizi moja. Huko hamjui chochote nje ya Bongo flavo au hata nje ya Tanzania. Halafu hata wasanii wenu wengi wametokea Kigoma asili za Kiburundi....Hehehe Mchagga na muziki wapi na wapi.
 
Kuna nyimbo za kenya zilisumbua bongo kitambo

Missing my baby - amani

Kwa kheri - jua cali ft sana
nibebe,watu na viatu -nyota ndogo

Nasinzia - nameless

Sweet love, running low, still a liar - wahuu

Kathaa remix - nonini ft chid

Zipo nyinginezo lakini nyingi ni za zamani... namaanisha ni nyimbo ambazo ungewakuta watu wanaziimba,kuziomba katika vituo vya radio na tv, kuzisikia mitaani...

To tell you the truth..willy paul ni copy ya diamond platnumz na kinachoshangaza ni muimbaji wa gospel. Willy paul ama bahati hawawezi kutoboa game ya bongo unless watafute uniquness ya muziki wao...

Akheri nimsikilize mercy masika maana yupo on point na kile kiswahili maridhawa... i feel blessed kwa kweli
 
Mi naikubali zaidi aliocheza na Sauti sol nyimbo fulaani hivi ya taratiiibu.
 
No one likes this nomare guy up here ...nashangaa venye ana make it ...not hating just speaking facts

Jimmy gait and willy paul huwa wanatajwa pamoja!
 
Sio mbaya .....lakini jua Kenya ndio inatop Africa kwa entertainment industry kama hamjajua

THIS month alone
Burna Boy
Mr. EAZI
AKA
DIPLO
TEKNO hatujaingilia zile zingine za chrisbrown Wizkid Trey songz etc
1493923013002.jpg
1493923023819.jpg
1493923048486.jpg
1493923056640.jpg
1493923070039.jpg


Diplo also visited

South Africa
Morocco
Ethiopia
Uganda and
Nigeria for his Africa Tour

1493923127765.png
1493923136181.png
1493923142109.png
1493923149534.png
1493923160485.png


AKA was also in Kenya for the blankets and wine event
1493923211272.png
1493923230043.png
1493923244478.png


Also Burna boy was in Kenya
Earlier in April

Nairobi leads Africa in Entertainment Consumption and Expenditure Omarion will be in Kenya Early Next month for a concert!
 
There are Numerous concerts in Kenya monthlys My fren!

Kioa weekend kuna a Jamaican Artist landing in Nairobi Mombasa or Kisumu for some fire show

Hatujakuja was Afrika mashariki bado

Concerts that have Kenya in them Are [emoji91][emoji91][emoji91]

1493923598538.jpg
1493923634673.jpg


1493923687477.png


Nairobi ranked number one in Africa on entertainment, Sh28 billion spent annually
Revellers dancing at a Club in Mombasa. Photo/File
Nairobi leads Africa’s top 20 cities as the place with the highest spending growth rate in the entertainment scene.
This revelation is contained in a PricewaterhouseCoopers survey of the continent’s top cities.
This increase was calculated from an entertainment expenditure of Sh28 billion in 2013 which has been consistently increasing at a 12.5 percent growth rate.
The growth rate that PwC has estimated will run to 2018 has been attributed to a new Nairobian middle class seeking to catch up on many of the products and services that developed urbanites take for granted.
“Our survey of 15,000 PwC people in the 30 cities (including 116 in Nairobi) gives a good sense of the potential for entertainment and media. Nairobians are #1 among the 30 cities in discretionary spending for either technology (32 percent) or the home (37 percent). They are tied for #2 in prioritising spending on books, movies, and games – with 24 percent citing that category among their top 3 choices for discretionary spending,” the report reads.
Nairobi is also highly rated as the top African destination for foreign investments in the report released Wednesday.
Other cities with ratings in different sectors are Cairo with the best infrastructure, Tunis in Tunisia has the best human capital, while Casablanca is highly rated in economics.

Ukiwa Top ten kwa Kenyan Charts jua unatengeneza milioni ya pesa venye MK254 amesema

Youtube views dont matter in the real world my fren!
 
Hiyo kweli maana nyie watu hampo exposed, huwa rahisi kuwafuga kwenye zizi moja. Huko hamjui chochote nje ya Bongo flavo au hata nje ya Tanzania. Halafu hata wasanii wenu wengi wametokea Kigoma asili za Kiburundi....Hehehe Mchagga na muziki wapi na wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama haujaskia
THIRD HAND MUSIC BAND
NYASHINSKI
ELANI
Octo
Sauti sol
Collo
...
Usianze kuingilia ngoma za Kenya ...watch the trend every friday past 10pm ili ujitambulishe Watu wanaotoa mziki murwa Kenya sio Kelele ya willy paul hii!
 
Kama haujaskia
THIRD HAND MUSIC BAND
NYASHINSKI
ELANI
Octo
Sauti sol
Collo
...
Usianze kuingilia ngoma za Kenya ...watch the trend every friday past 10pm ili ujitambulishe Watu wanaotoa mziki murwa Kenya sio Kelele ya willy paul hii!

Tye tye tye
Aibu tupu
 
There are Numerous concerts in Kenya monthlys My fren!

Kioa weekend kuna a Jamaican Artist landing in Nairobi Mombasa or Kisumu for some fire show

Hatujakuja was Afrika mashariki bado

Concerts that have Kenya in them Are [emoji91][emoji91][emoji91]

View attachment 504633View attachment 504634

View attachment 504635

Nairobi ranked number one in Africa on entertainment, Sh28 billion spent annually
Revellers dancing at a Club in Mombasa. Photo/File
Nairobi leads Africa’s top 20 cities as the place with the highest spending growth rate in the entertainment scene.
This revelation is contained in a PricewaterhouseCoopers survey of the continent’s top cities.
This increase was calculated from an entertainment expenditure of Sh28 billion in 2013 which has been consistently increasing at a 12.5 percent growth rate.
The growth rate that PwC has estimated will run to 2018 has been attributed to a new Nairobian middle class seeking to catch up on many of the products and services that developed urbanites take for granted.
“Our survey of 15,000 PwC people in the 30 cities (including 116 in Nairobi) gives a good sense of the potential for entertainment and media. Nairobians are #1 among the 30 cities in discretionary spending for either technology (32 percent) or the home (37 percent). They are tied for #2 in prioritising spending on books, movies, and games – with 24 percent citing that category among their top 3 choices for discretionary spending,” the report reads.
Nairobi is also highly rated as the top African destination for foreign investments in the report released Wednesday.
Other cities with ratings in different sectors are Cairo with the best infrastructure, Tunis in Tunisia has the best human capital, while Casablanca is highly rated in economics.

Ukiwa Top ten kwa Kenyan Charts jua unatengeneza milioni ya pesa venye MK254 amesema

Youtube views dont matter in the real world my fren!
It's true artists kibao wanakuja Kenya kufanya show. Hongereni kwa hill.
Je, ni artists wangapi was Kenya wanapiga show nchi nyingine?
Malipo yao yakoje?
Hapa bongo tuna wasanii kibao wakali, ambao wanapiga hela ndefu kwenye show s za ndani na nje ya nchi!
I remember Kenyan artists complaining vile diamond na Ali kiba wanalipwa hela nyingi kwenye shows wanazofanya hapo Kenya.
Pia mjiulize, kwenye biashara faida inapatikana kwa Ku export zaidi ya Ku import. Sasa nyie mnapokea wasanii wengi wa nje, je wasanii wenu wanapata equal share kwenye international music market?
Karibu kwa hoja, from 255 with love.
 
Kuna nyimbo za kenya zilisumbua bongo kitambo

Missing my baby - amani

Kwa kheri - jua cali ft sana
nibebe,watu na viatu -nyota ndogo

Nasinzia - nameless

Sweet love, running low, still a liar - wahuu

Kathaa remix - nonini ft chid

Zipo nyinginezo lakini nyingi ni za zamani... namaanisha ni nyimbo ambazo ungewakuta watu wanaziimba,kuziomba katika vituo vya radio na tv, kuzisikia mitaani...

To tell you the truth..willy paul ni copy ya diamond platnumz na kinachoshangaza ni muimbaji wa gospel. Willy paul ama bahati hawawezi kutoboa game ya bongo unless watafute uniquness ya muziki wao...

Akheri nimsikilize mercy masika maana yupo on point na kile kiswahili maridhawa... i feel blessed kwa kweli
Ongezea na Kigeugeu ya Jaguar
 
Sio mbaya .....lakini jua Kenya ndio inatop Africa kwa entertainment industry kama hamjajua

THIS month alone
Burna Boy
Mr. EAZI
AKA
DIPLO
TEKNO hatujaingilia zile zingine za chrisbrown Wizkid Trey songz etc

Diplo also visited

South Africa
Morocco
Ethiopia
Uganda and
Nigeria for his Africa Tour

AKA was also in Kenya for the blankets and wine event

Also Burna boy was in Kenya
Earlier in April

Nairobi leads Africa in Entertainment Consumption and Expenditure Omarion will be in Kenya Early Next month for a concert!


Argument hapa ni Kenya hamko creative kabisa kwenye swala la MUSIC GENIUS (especially kwenye kuandika mashahiri). Kinachofanyika Kenya ni kuwa shamba la bibi katika swala zima la muziki. Wanamuziki wa nje wanakuja Kenya kubeba mabegi ya pesa wanasepa. Kenya ni kama England, the best premiere league, but the worse national team. Kinachofanyika Kenya ni kama chombo cha kuwavusha wanamuziki wa nchi nyingine lakini sio wanamuziki wa nyumbani. Wanamuziki wenu wanalakamika kika siku hawabebwi na vituo vya nyumbani. Wanamuziki wa Kenya walikuwa wanashangaa wakija Tanzania wanakuta hakuna ubaguzi wa TV au Redio kupiga nyimbo za Tanzania na EA. Kwanza Kenya hawakuamini kama unaweza kuimba kwa kiswahili na ukauza. Wanaosema muziki wa Tanzania hauiziki mmejaribu kwenda iTunes, Google music, Spotify??? Unafikiri watanzania wangepoteza mahela mengi kutengeneza world class music videos kama wangekuwa hawaingizi pesa??

Mwangalie mchezaji wa Man City (ambaye yuko stoke city kwa loan), Wilfried Bony kutoka Ivory coast kaguswa na kiswahili.

 
Argument hapa ni Kenya hamko creative kabisa kwenye swala la MUSIC GENIUS (especially kwenye kuandika mashahiri). Kinachofanyika Kenya ni kuwa shamba la bibi katika swala zima la muziki. Wanamuziki wa nje wanakuja Kenya kubeba mabegi ya pesa wanasepa. Kenya ni kama England, the best premiere league, but the worse national team. Kinachofanyika Kenya ni kama chombo cha kuwavusha wanamuziki wa nchi nyingine lakini sio wanamuziki wa nyumbani. Wanamuziki wenu wanalakamika kika siku hawabebwi na vituo vya nyumbani. Wanamuziki wa Kenya walikuwa wanashangaa wakija Tanzania wanakuta hakuna ubaguzi wa TV au Redio kupiga nyimbo za Tanzania na EA. Kwanza Kenya hawakuamini kama unaweza kuimba kwa kiswahili na ukauza. Wanaosema muziki wa Tanzania hauiziki mmejaribu kwenda iTunes, Google music, Spotify??? Unafikiri watanzania wangepoteza mahela mengi kutengeneza world class music videos kama wangekuwa hawaingizi pesa??

Mwangalie mchezaji wa Man City (ambaye yuko stoke city kwa loan), Wilfried Bony kutoka Ivory coast kaguswa na kiswahili.




Uko na point.
 
Hiyo kweli maana nyie watu hampo exposed, huwa rahisi kuwafuga kwenye zizi moja. Huko hamjui chochote nje ya Bongo flavo au hata nje ya Tanzania. Halafu hata wasanii wenu wengi wametokea Kigoma asili za Kiburundi....Hehehe Mchagga na muziki wapi na wapi.
Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika usisahau
 
Back
Top Bottom