COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Paris-based Kenyan dancer Anuang’a to perform in Nairobi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
http://www.businessdailyafrica.com/...rm-Nairobi-/3815712-3914084-ub8ysi/index.htmlParis-based Kenyan dancer Anuang’a to perform in Nairobi
Unamaanisha kama vile Kilimanjaro ilikuwa sehemu ya kenya? tihii tihiiiiiii!Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika usisahau
Nikweli mountain kili ulikua Kenya but kutokana na wakenya wengi kuwa na ugly faces mlima ukahamia tzUnamaanisha kama vile Kilimanjaro ilikuwa sehemu ya kenya? tihii tihiiiiiii!
Mbona yule dada jichubue wa kibongo alikuwa akilalamika baada ya kushindwa mrs World??? Nayo Kenya Top Six mara mbili kwa mwaka, si mpeleke hizo sura nzuri kule??Nikweli mountain kili ulikua Kenya but kutokana na wakenya wengi kuwa na ugly faces mlima ukahamia tz
Habari za Siku brotherMbona yule dada jichubue wa kibongo alikuwa akilalamika baada ya kushindwa mrs World??? Nayo Kenya Top Six mara mbili kwa mwaka, si mpeleke hizo sura nzuri kule??
watz wapumbavu
makendee wewe nenda kapapase mamako makalio yake...wote?futa hii kauli kabla sijakupapasa kalio
acha ushogawote?futa hii kauli kabla sijakupapasa kalio
we m Kei bure kabisa[emoji23]makendee wewe nenda kapapase mamako makalio yake...
Kilimanjaro siyo muhimu kama Mombasa hivyo mkitaka tubadilishane mtuludishie mombasaUnamaanisha kama vile Kilimanjaro ilikuwa sehemu ya kenya? tihii tihiiiiiii!
watu wamombasa hatutaki kuja bongo..pengine muchukue ile kundi la mrcKilimanjaro siyo muhimu kama Mombasa hivyo mkitaka tubadilishane mtuludishie mombasa
Kilimanjaro siyo muhimu kama Mombasa hivyo mkitaka tubadilishane mtuludishie mombasa
Tz Tulishatoaga miss world Africa, Pia tumetoa big brothers Africa mara kadhaaMbona yule dada jichubue wa kibongo alikuwa akilalamika baada ya kushindwa mrs World??? Nayo Kenya Top Six mara mbili kwa mwaka, si mpeleke hizo sura nzuri kule??
Ww unajulikana na Watz wangapiHuyo Willy Paul funza tu sidhani kama kuna hata Watanzania kumi wanaomjua.
Argument hapa ni Kenya hamko creative kabisa kwenye swala la MUSIC GENIUS (especially kwenye kuandika mashahiri). Kinachofanyika Kenya ni kuwa shamba la bibi katika swala zima la muziki. Wanamuziki wa nje wanakuja Kenya kubeba mabegi ya pesa wanasepa. Kenya ni kama England, the best premiere league, but the worse national team. Kinachofanyika Kenya ni kama chombo cha kuwavusha wanamuziki wa nchi nyingine lakini sio wanamuziki wa nyumbani. Wanamuziki wenu wanalakamika kika siku hawabebwi na vituo vya nyumbani. Wanamuziki wa Kenya walikuwa wanashangaa wakija Tanzania wanakuta hakuna ubaguzi wa TV au Redio kupiga nyimbo za Tanzania na EA. Kwanza Kenya hawakuamini kama unaweza kuimba kwa kiswahili na ukauza. Wanaosema muziki wa Tanzania hauiziki mmejaribu kwenda iTunes, Google music, Spotify??? Unafikiri watanzania wangepoteza mahela mengi kutengeneza world class music videos kama wangekuwa hawaingizi pesa??
Mwangalie mchezaji wa Man City (ambaye yuko stoke city kwa loan), Wilfried Bony kutoka Ivory coast kaguswa na kiswahili.