Wimbo Wa Willy Paul Ft. Alaine Wawabamba WaTz

Nikweli mountain kili ulikua Kenya but kutokana na wakenya wengi kuwa na ugly faces mlima ukahamia tz
Mbona yule dada jichubue wa kibongo alikuwa akilalamika baada ya kushindwa mrs World??? Nayo Kenya Top Six mara mbili kwa mwaka, si mpeleke hizo sura nzuri kule??
 
Mbona yule dada jichubue wa kibongo alikuwa akilalamika baada ya kushindwa mrs World??? Nayo Kenya Top Six mara mbili kwa mwaka, si mpeleke hizo sura nzuri kule??
Habari za Siku brother
 
Unamaanisha kama vile Kilimanjaro ilikuwa sehemu ya kenya? tihii tihiiiiiii!
Kilimanjaro siyo muhimu kama Mombasa hivyo mkitaka tubadilishane mtuludishie mombasa
 
Kilimanjaro siyo muhimu kama Mombasa hivyo mkitaka tubadilishane mtuludishie mombasa
watu wamombasa hatutaki kuja bongo..pengine muchukue ile kundi la mrc
 
Mbona yule dada jichubue wa kibongo alikuwa akilalamika baada ya kushindwa mrs World??? Nayo Kenya Top Six mara mbili kwa mwaka, si mpeleke hizo sura nzuri kule??
Tz Tulishatoaga miss world Africa, Pia tumetoa big brothers Africa mara kadhaa
Remember??
Hakuna jipya hapo.
 
lakini Kiswahili ni lugha ya waKenya!! hata wazungu hujua hivyo.
hehee... look...

“My man’ll speak patois,” Nas said, “and I can speak rap star.” He concluded his rapid-fire verse with a Swahili greeting: “Habari gani.” To which Mr. Marley replied, “Nzuri sana,” as if they were chatting on the streets of Nairobi.

From The New York Times
by Rob Kenner
A Mash-Up on Behalf of Mother Africa

Song: As We Enter

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…