masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
-
- #61
ha hahaha.!! Nyerere hapendi wadau.,!
Eti akili the brain.,,mzee wa bongo bangra.
Eh! Hivi mzee wa bongo bhangra ni mzenji?? Zawadi ya Zenji labda Zanzibaaa aka A.T.
kama hakutupwa selo bahati
Wakati natoka huko kijasho chembamba kikinitoka /
nikaona mtoto wa nguvu nikajikuta nimeropoka/
dada habari samahani naomba niuulize swali
nimefurahi kishenzi
nikiona watu wanazungumzia mziki nahisi wananizungumzia mimi
Wakati natoka huko kijasho chembamba kikinitoka /
nikaona mtoto wa nguvu nikajikuta nimeropoka/
dada habari samahani naomba niuulize swali
nimefurahi kishenzi
nikiona watu wanazungumzia mziki nahisi wananizungumzia mimi
then ndo
vick ni jay na jay ni vick mustarehe
kutoka ndani ya dhiki sa kila siku ni sherehe
sir nature......zali la mentaliiii.....
kuna wimbo wake wa ndio mzee aisee naweza kuusikiliza siku nzima
.....limenitokea wakati mimi nna njaa nikapendwa na dem kali na kuacha watu wote ......!
.....limenitokea wakati mimi nna njaa nikapendwa na dem kali na kuacha watu wote ......!
hiyo ndo maana ya jf unapata burudani
na kuondoa uchovu
msalimie mywife wako
ule aiseee nao mtamu sana aiseeee
huyu jamaa anahitaji management nzuri tu
angeshakua kama R.kelly...na studio yake na ma investment kibao maana huyu hata akiimba wimbo wa nikusidiaje katika show
mwaka huu bila hata ya huu wa kipi sijaskia still itakuwa shangwe sana
sanaaa,, ameniacha hoi katika wimbo huo aliposema atawafadhili wachawi waweze kutengeneza ndege kila mtu awe na yake makonda na wapiga debe..
Dah, Hii ngoma kwangu kamwe haitozeeka. Na video yake kwa enzi hizo ilikuwa ya mapinduzi.
na ile aliwahaidi ndege sasa wanazitaka anawaambia
hata baiskeli hamjui huko angani kila mtu na ndege yake itakuaje
pale kwenye SIO MZEE
siku ya kwanza kuiona ilikuwa mbili kasoro nyimbo hata haikuisha itv wakaweka taarifa ya habari walinikera kuliko siku zote
hahahaha akawajibu wakulima waendelee na jembe la mkono eti wakaze msuli.... dah ni idea ambayo kuipata tena kwa msanii mwengine ni vigumu
jamani jay we love him lakini nahis management tu
ingetakiwa awe na mpunga mrefu sana