Window 10 na ulaji mwingi Wa data

Window 10 na ulaji mwingi Wa data

Ochumeraa

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2015
Posts
4,505
Reaction score
5,715
Nini kinasababisha window 10 kula data sana kuliko window nyingine kama 8..Mwanzo PC yangu ilikuwa inatumia window 8 ilikuwa nikiunganisha hotspot mb500 unaweza Fanya vitu vingi na zisiishe lakini tangu nianze kutumia window 10 hali imekuwa tofauti....Kwa anayefahamu nini kinachosababisha na jinsi ya kutatua hilo naomba anieleze
 
Nini kinasababisha window 10 kula data sana kuliko window nyingine kama 8..Mwanzo PC yangu ilikuwa inatumia window 8 ilikuwa nikiunganisha hotspot mb500 unaweza Fanya vitu vingi na zisiishe lakini tangu nianze kutumia window 10 hali imekuwa tofauti....Kwa anayefahamu nini kinachosababisha na jinsi ya kutatua hilo naomba anieleze
kama mdau alivyoshauri funga auto updates maana ina update kila muda mpaka ije kumaliza utakuwa ushakoma
 
Nini kinasababisha window 10 kula data sana kuliko window nyingine kama 8..Mwanzo PC yangu ilikuwa inatumia window 8 ilikuwa nikiunganisha hotspot mb500 unaweza Fanya vitu vingi na zisiishe lakini tangu nianze kutumia window 10 hali imekuwa tofauti....Kwa anayefahamu nini kinachosababisha na jinsi ya kutatua hilo naomba anieleze
Turn off auto updates
 
Mzee baba windows 10 inatabia ya kuaupdate mafile kila muda, kwa kukusaidia nenda kwenye auto update software kaweke OFF
Aisee ngoja nikafanye hivyo,maana dakika 0 tu unaletewa message kuwa kifurushi kimeisha halafu unalokusudia hujatimiza
 
Mzee baba windows 10 inatabia ya kuaupdate mafile kila muda, kwa kukusaidia nenda kwenye auto update software kaweke OFF
Aisee ngoja nikafanye hivyo,maana dakika 0 tu unaletewa message kuwa kifurushi kimeisha halafu unalokusudia hujatimiza
 
Mzee baba windows 10 inatabia ya kuaupdate mafile kila muda, kwa kukusaidia nenda kwenye auto update software kaweke OFF
Aisee ngoja nikafanye hivyo,maana dakika 0 tu unaletewa message kuwa kifurushi kimeisha halafu unalokusudia hujatimiza
 
kama mdau alivyoshauri funga auto updates maana ina update kila muda mpaka ije kumaliza utakuwa ushakoma
Aisee ngoja nikafanye hivyo,maana dakika 0 tu unaletewa message kuwa kifurushi kimeisha halafu unalokusudia hujatimiza
 
Aisee ngoja nikafanye hivyo,maana dakika 0 tu unaletewa message kuwa kifurushi kimeisha halafu unalokusudia hujatimiza
Windows 10 Mara inahitaji internet iwe iweze kurun smoothly, so kama una kibando cha mawazo piga chini weka 7
 
Haloo hata mimi nilianza kuwaona halotel ni wezi kumbe hili li Windows linakula sana data! Utakuta nimejiungia kifurushi cha mb 800 nicheki Pono ili nijilipue unashangaa inaingia sms "Ndugu mteja umebakiwa na mb 5 za kutumia" hapo sijamaliza hata dk. 2
 
washa metered conection kama unaunganishaga pc kwa wi-fi
 
Mini case yangu ilikuwa katika seurface pro 4, ina window 10.hii nilipouliza youtube kuna maelekezo nikafuata ikiwa ni pamoja na kuoff live tiles.tatizo likaishia hapo.sasa sijui huko kwenye pc inakuwaje.
 
Haloo hata mimi nilianza kuwaona halotel ni wezi kumbe hili li Windows linakula sana data! Utakuta nimejiungia kifurushi cha mb 800 nicheki Pono ili nijilipue unashangaa inaingia sms "Ndugu mteja umebakiwa na mb 5 za kutumia" hapo sijamaliza hata dk. 2
[emoji2] [emoji2] [emoji2] una cheo gani kule chaputa
 
Haloo hata mimi nilianza kuwaona halotel ni wezi kumbe hili li Windows linakula sana data! Utakuta nimejiungia kifurushi cha mb 800 nicheki Pono ili nijilipue unashangaa inaingia sms "Ndugu mteja umebakiwa na mb 5 za kutumia" hapo sijamaliza hata dk. 2
Mkuu njoo pm nikupe mbinu flani uendelee kujifaidia wakina kapri style hadi uchoke
 
Back
Top Bottom