Wingi wa nyuzi(Threads) za malalamiko kutoka CCM chanzo ni nini?

Wingi wa nyuzi(Threads) za malalamiko kutoka CCM chanzo ni nini?

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Ndugu zangu wakati tukiianza jumatatu njema kabisa kwa kuchapa kazi mahala popote tulipo napnenda kudokeza hili swala.

Kumezuka mlipuko, naweza kusema mlipuko wa habari na vichwa vya habari za hapa JFs zenye mwelekeo wa malalamiko kila kukicha hivi karibuni.

Wanaccm hasa wale wa ccm mpya (CCM ya mwendazake) wamekithiri kwa malalamiko, hasira, visirani na manunguniko. Hivi nini tatizo? Kama ni madaraka mbona CCM imeshika hatamu? Kama ni vyeo mbona mnavyo? Ni kitu gani hakiwaridhishi au ndio binadamu ameumbwa na roho isiyotosheka?

Au ni Gere tu?

Hawa watu wanakwenda kupata sonona na ni wengi wanaweza kuwa hatari kwa Taifa.

Kazi iendelee, Katiba Mpya ndio mpango mzima.
 
Je, ni akina Polepole na akina Bashiru hawaridhiki au kuna makundi mengine.
 
Ndugu zangu wakati tukiianza jumatatu njema kabisa kwa kuchapa kazi mahala popote tulipo napnenda kudokeza hili swala.

Kumezuka mlipuko, naweza kusema mlipuko wa habari na vichwa vya habari za hapa JFs zenye mwelekeo wa malalamiko kila kukicha hivi karibuni.

Wanaccm hasa wale wa ccm mpya( ccm ya mwendazake) wamekithiri kwa malalamiko, hasira, visirani na manunguniko. Hivi nini tatizo? Kama ni madaraka mbona CCM imeshika hatamu? Kama ni vyeo mbona mnavyo? Ni kitu gani hakiwaridhishi au ndio binadamu ameumbwa na roho isiyotosheka?

Au ni Gere tu?

Hawa watu wanakwenda kupata sonona na ni wengi wanaweza kuwa hatari kwa Taifa.

Kazi iendelee, Katiba Mpya ndio mpango mzima.
 
Yaani kila kona vituko. Hawa si walisema Upinzani unawachelewesha saaa mbona wanatwangana kila kona?
 
Sukuma gang hao, walishazoea ujima, ustaarabu hawawezi!!

Katiba mpya muhimu kwa jamii tuliyopo sasa hv. Mama kanyaga twende usiangalie nyuma kabisa!
Yes, New civilization
 
Ndugu zangu wakati tukiianza jumatatu njema kabisa kwa kuchapa kazi mahala popote tulipo napnenda kudokeza hili swala.

Kumezuka mlipuko, naweza kusema mlipuko wa habari na vichwa vya habari za hapa JFs zenye mwelekeo wa malalamiko kila kukicha hivi karibuni.

Wanaccm hasa wale wa ccm mpya( ccm ya mwendazake) wamekithiri kwa malalamiko, hasira, visirani na manunguniko. Hivi nini tatizo? Kama ni madaraka mbona CCM imeshika hatamu? Kama ni vyeo mbona mnavyo? Ni kitu gani hakiwaridhishi au ndio binadamu ameumbwa na roho isiyotosheka?

Au ni Gere tu?

Hawa watu wanakwenda kupata sonona na ni wengi wanaweza kuwa hatari kwa Taifa.

Kazi iendelee, Katiba Mpya ndio mpango mzima.
Rais SSH kusimamia haki,ingawa sijaona hizo nyuzi nyingi za malalamiko.
 
Rais SSH kusimamia haki,ingawa sijaona hizo nyuzi nyingi za malalamiko.
 
Back
Top Bottom