Wishing you a Speedy Recovery Asprin


...salaaale, mbona nilishaweka bayana resolution za 2012? ...kudumisha ndoa na kuwasamehe waliotufundisha machungu ya mapenzi.
.
Tutahitaji elimu via thread juu ya hili!
 
Passing time in bed is awful yet necessary this time, so that you can go back to yourself stronger than ever before.


Get Well Soon.
Babu anaumwa?!!! Uzee nao, dah...
 
Mh... ZD umenipiga changa la macho..lol. Nijuavyo mimi kuomba ni kuomba bana haijalishi aina gani ya ugonjwa. Kuna mtu Mafua yanamlaza kitandani wakati malaria sugu haimlazi hivyo wewe omba tu hata kama hujui Asprin anaumwa nini..
Kujua anaumwa nini ni muhimu.Si unajua Imani inahitajika katika maombi?na kila ugonjwa una kiwango chake cha IMANI.Huwezi fananisha Mafua na Malaria sugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…