MK hiyo ya kura kuibiwa i agree with you have a look at this
![]()
Mkuu wengine tuwachovu sana wa IT, nadhani unamaanisha hizo website zote zinashea IP code moja!!!! Please naomba utoe maelezo ya ziada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MK hiyo ya kura kuibiwa i agree with you have a look at this
![]()
Mkuu wengine tuwachovu sana wa IT, nadhani unamaanisha hizo website zote zinashea IP code moja!!!! Please naomba utoe maelezo ya ziada
Not more than 2 hours. I believe we can afford that. Uwezo tunao. Sababu tunayo. Tuweke NIA sasa
Guys, wizi wa kura utafanywa kwa njia ya mtandao, this is very possible, ukiangalia kwa makini utatambua ya kuwa hizi website zote zimekuwa hosted katika server moja, how comes server inayo host NEC ina host jkikwete2010.com, Hapa kuna conflicting interests.... ping all the above sites eg ping nec.go.tz, kisha jmkikwete.com the same ip address ina reply
Website zote zimekuwa hosted katika server moja,kwanini server inayo host NEC ndio inayo host jkikwete2010.com, Hapa nina wasiwasi sana ukijaribu ku-ping all the above sites eg ping nec.go.tz, kisha jmkikwete.com the same ip address ina reply ina maana lolote laweza kufanyika
Mzalendo2010, hebu naomba unieleze kinaga ubaga how kura hizo zitaibiwa kwavile NEC na mgombea mmojawapo wapo hosted in one server? Kwanza hao host wapo wangapi Tanzania hii (assuming this host server is in Tanzania). Pili; hizo kura mpaka zifike humo what happens? Nilivyoelewa mimi ni kwamba kura zinapigwa kwenye vituo, zinasafirishwa hadi wilayani, zinhesabiwa na kuhakikiwa na mawakili kutoka kila chama, na kuanzia hapa sijui kusema ya kweli lakini nadhani zinapelekwa NEC whether online or otherwise na somewere along these lines zinaingizwa online for all to view. Sasa, in between kuhakikiwa na mawakala na hapo zinapoingia online ndipo "zinapoibiwa"? Mawakala si watakuwa na "actuals" za kila kituo and/or wilaya? Au am I missing something here?
Naomba ufafanuzi manake naona umelishikia bango hili swala la host server moja.
My intitial prediction was 40, 30, 30 being Kikwete, Slaa and then Lipumba. However the Lipumba's vote could go JK's way like about !0% an then 5 % to Slaa. Then with slim marging Mkwere atarudia ufalme. hata kwa ile 40, 30, 30 bado Mkwere angeshinda kisa mabadiliko ya katiba ya Mshindi kashinda na si uwiano wa kura;Senksi to Nkapa!
WABUNGE wa kuchaguliwa wa CHADEMA hawatafika 30. Dr Slaa hatapata asilimia 20 ya kura halali zitakazopigwa. Kwa nini?:
1.Mazingira ni yaleyale sawa na mwaka 2005
2. KATIBA ya JMT ni ileile
3. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ni ileile na Mwenyekiti wake
4.WATANZANIA ni walewale na mapenzi yao kwa CCM
5. Vyombo vya DOLA na WATUMISHI wa UMMA ni walewale ambao kwao Dr Slaa ni balaa sio neema
6.Tunachokiendesha hapa Tanzania sio UCHAGUZI bali ni maigizo yake.
7. Dr Slaa amesema mara kadhaa hakuutaka URAIS
8.Bado CHADEMA inaonekana machoni pa wajinga wengi kuwa ina wenyewe. Dr Slaa anatumika tu kama ngazi.
9. Dr Slaa ni "OUTSIDER"
Tukumbushane tarehe 01/11/2010.
Msaada wakuu, hivi saivi kuna majimbo mangapi jumla ?
Msaada wakuu, hivi saivi kuna majimbo mangapi jumla ?
Ni kama 232, kama takwimu zangu zipo sahihi.
Nakubaliana kabisa na wewe kwamba ni muhimu sana sote tukaenda kupiga kura maana hiyo ni hatua ya kwanza muhimu kuliko zote katika kuleta mabadiliko katika mfumo wowote wa kidemokrasia.nilisema ni vigumu.. na nimeweka ushahidi jana kwanini ni vigumu kuiba kura. Hivi kweli ingekuwa rahisi hivyo JK angehangaika hivi? Msichojua ni kuwa wakati CCM wamekubali mabadiliko ya utaratibu wa kuhesabu kura na kutengenezwa kwa mfumo wa kisasa wa kukusanya matokeo (kama nilivyowawekea hapa jana) hawakutegemea kuwa mgombea mwingine angekuwa ni Dr. Slaa na ambacho hawakukitegemea kabisa kabisa ni mwitikio wa wananchi kwa Dr. Slaa.
Kiilichowaharibu zaidi ni kuwa tuhuma na madongo ya awali waliyarusha mapema mno kiasi kwamba yalishindwa kuganda. Lakini unyasi uliovunja mgongo wa punda ni ile ya ITV. Sasa hivi JK na wengine wote wako at the mercy of the voters. Ndio maana haya maneno ya "kura zitaibwa" yanarudiwa rudiwa kisaikolojia (pyschological manipulation) ili watu wasiende kupiga kura wakijua kura zitaibwa tu.. guess who benefit if people don't show up to vote?
WABUNGE wa kuchaguliwa wa CHADEMA hawatafika 30. Dr Slaa hatapata asilimia 20 ya kura halali zitakazopigwa. Kwa nini?:
1.Mazingira ni yaleyale sawa na mwaka 2005
2. KATIBA ya JMT ni ileile
3. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ni ileile na Mwenyekiti wake
4.WATANZANIA ni walewale na mapenzi yao kwa CCM
5. Vyombo vya DOLA na WATUMISHI wa UMMA ni walewale ambao kwao Dr Slaa ni balaa sio neema
6.Tunachokiendesha hapa Tanzania sio UCHAGUZI bali ni maigizo yake.
7. Dr Slaa amesema mara kadhaa hakuutaka URAIS
8.Bado CHADEMA inaonekana machoni pa wajinga wengi kuwa ina wenyewe. Dr Slaa anatumika tu kama ngazi.
9. Dr Slaa ni "OUTSIDER"
Tukumbushane tarehe 01/11/2010.
"WildCard;
WABUNGE wa kuchaguliwa wa CHADEMA hawatafika 30. Dr Slaa hatapata asilimia 20 ya kura halali zitakazopigwa. Kwa nini?:
1.Mazingira ni yaleyale sawa na mwaka 2005
2. KATIBA ya JMT ni ileile
3. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ni ileile na Mwenyekiti wake
4.WATANZANIA ni walewale na mapenzi yao kwa CCM
5. Vyombo vya DOLA na WATUMISHI wa UMMA ni walewale ambao kwao Dr Slaa ni balaa sio neema
6.Tunachokiendesha hapa Tanzania sio UCHAGUZI bali ni maigizo yake.
7. Dr Slaa amesema mara kadhaa hakuutaka URAIS
8.Bado CHADEMA inaonekana machoni pa wajinga wengi kuwa ina wenyewe. Dr Slaa anatumika tu kama ngazi.
9. Dr Slaa ni "OUTSIDER"
Tukumbushane tarehe 01/11/2010."
I completely agree with you. I am sure come 1st Nov the mood in JF will not be the same. Kilio kitakachotawala ni kile kile "tumeibiwa"
Lakini wakae wakijua CCM haijawahi kudharau upinzani toka umeanza. pamoja na kelele nyingi zinazoendelea kwa sasa, CCM wameamua kula jiwe wakingoja kwa hamu jumapili.
My prediction; a big surprise is on the way.
No, Mzee Mwanakijiji! It is the other way round! It was low voter turnout that helped CHADEMA got the votes they garnered! Wanaoipenda CCM ndiyo wengi hawakwenda kupiga kura. It is CCM members who are normally complacent and don't turn out in big numbers to vote, especially women and the aged. "CCM tutashinda tu hata nisipokwenda kupiga kura", they would say. But show me vijana wa CHADEMA ambao this time around hawakwenda kupiga kura? Wakisaidiwa na wasaliti wenye vinyongo BINAFSI ndani ya CCM (siyo walioichoka CCM). Complacency hii ya wanaCCM kutokwenda kupiga kura, na mahali pengine siyo complacency bali vitisho na hila za wapinzani dhidi ya wanawake na wazee wa CCM, (of course na usaliti) vikitafutiwa dawa na CCM, come 2015 wapinzani watashangaa! Wabunge wao watakuwa wachache Bungeni kuliko ilivyokuwa 2005 - 2010.wow... I'm just thinking..