Witness from the front line: Hili zoezi la sensa mlioko juu msiporekebisha haya kwa haraka tegemeeni taarifa mbovu kuwahi kutokea

Witness from the front line: Hili zoezi la sensa mlioko juu msiporekebisha haya kwa haraka tegemeeni taarifa mbovu kuwahi kutokea

Wakat wa wa vita ya pili ya dunia moja ya Siri kubwa Kwa USA na washirika wake kupata ushindi ni kuwasikiliza waliokuwa front line yaani kwenye uwanja wa mapambano , na maoni Yao yalisikilizwa moja Kwa moja na high command na kufanyiwa kazi haraka iwezekanavyo bila mtu wa Kati kuleta siasa ...!! Waliokuwa kwenye battle zone Walitoa taarifa kuhusu Hali ya mapigano , intensity , wapi palipopungua , silaha gani miyeyusho na silaha za namna gani ziboreshwe , haya maoni ni katika idara zote za kijeshi kuanzia jeshi la ardhini ( marine) jeshi la majini (US navy) , na jeshi la anga (Airforce) , Marekani ilianza vita kama underdog Ila ikamaliza ikiwa superior and most feard nation.

Aliyeko front anajua exactly the horror of war...!! Kutomsikiliza Kwa sababu iwayo yoyte ile ni kuhalalisha kushindwa.

Back to the topic , Mimi ni karani wa Sensa , katika mchakato mzima wa zoezi hili karani ndo mtu wa mhimu zaidi kuliko wote , yeye ndo anashuhudia Kwa usahihi what is real going on na kipi ni sahihi na wapi pa kurekebisha ,

Nipongeze serikali Kwa kuja na idea Bora zaidi ya kuendesha zoezi hili na Kwa kweli likifanikiwa hata Kwa 80% serikali itakuwa imekula bingo , aliyeleta mchakato Kwa idea hii nampa salute ,

Hata hvyo mchakato ni costful , Kwa haraka more than 600tsh billion zitaperish away kwenye huu mchakato , hela nyingi Kwa nchi hii ya kimaskini ...

In reality zoezi ni gumu hasa , linahtaji angalau semi skilled workers with high commitment , Viongozi wa ngazi za juu wamehamasisha Kwa nguvu zote huku mzigo mzito akiangushiwa karani , ...

Kwa maoni yangu makarani wengi mbali na kufanya kazi ya kuchosha bado Wana moyo wa kufanya na mwitikio ni mkubwa , tatizo ni matumizi ya software ya CS entry kwenye tablet , hii ni changamoto kubwa sana

Baada ya kufanya mazoezi changamoto hii imeonekana kuwa ni deadliest na itaharibu mchakato mzima kama haitafanyiwa kazi , nasema haya Kwa moyo wa kizalendo kabisa , makarani tulileta taarifa na tatizo kubwa karbu Kwa makarani wote ni hii software hasa matumizi ya ramani na uwepo wa GPS.

Imagine karani umetembea Kwa moyo mmoja mpak kwenye Kaya fulan mlimani , umefika unammkuta mama anafua akakupokea Kwa moyo mmoja akaacha kazi yake, ukatazama ramani ukajihakikisha GPS inasoma kwenye ramani , ukafungua dodoso la Kwanza , akaanza kukupa taarifa za waliolala kwenye Kaya ambao ni 12 , takriban masaa mawili umekaa naye akikupa taarifa , umemaliza unatafuta majira unapata , unasave unajikuta imesave nje ya ramani , .....!! Kwa mjibu wa Sensa hyo kazi yote inakuwa ni useless ,unatakiwa uende Kwa msimamizi ufute kazi yote akutumie mchakato upya na uende tena kwenye Kaya hyo uanze mahojiano upya ,

Cahangamoto zaidi inakuja kama Kwa sku nzima umehoji kaya 10 , na kaya 9 zote majira nukta (GPS ) yamesoma ndani ya ramani na moja imesave nje ya ramani Kwa mfumo wao wa software , hzo kazi zote zinakuwa invalid inabdi ufute kazi zote uwekewe kazi upya na uende ukarudie mahojiano upya kwenye Kaya zote , na endapo itatokea the same scenario , itabd ufute tena uanze upya .. ni kazi ngumu na ya kuchosha hasa kipindi hiki cha kiangazi , na kimbembe ni kuwa maeneo mengi karani ni mmoja Kwa kila kitongoji , ni mzigo mzito sana...ni uzalendo tuu utakaofanikisha hili zoez and not otherwise

Nawaambia live hakuna karani atakubali kufanya such kind of fucking process , tegemeeni data za kupikwa na zoezi Zima litapoteza maana ...

Tulileta mrejesho tukiwa na option Bora za kuboresha mana lengo ni kufanikisha , nikashangaa IT wa wilaya anajibu shit bila kujua Kwa undani hyo critical condition huku akitutisha makarani , ....

Kwa Sisi ambao tuko kwenye battle field tukawaambia wakubwa wetu kuwa huko juu ma IT wa Taifa wakeshe kuhakikisha wanaboresha hyo application ili iwe na option zifuatazo :-

1. Wakati ninahoji Kaya basi kuwe na signal kwenye tablet kama dot hvi au whatever yenye rangi ya kijani ili kuni-alert kuwa GPS inasoma ndani ya 3 meters kutoka pale nilipo...na kama sivyo ionyeshe rangi nyekundu kunitahadharisha kuwa GPS inasoma wrong place hvyo nifanye mchakato wa kuiweka Sawa

2. Option ya pili , in case ikatokea Kaya moja nimesave nje ya ramani , na Kaya zingine let say Kaya 10 zimesave ndani ya ramani basi kuwe na option ya kuiweka pending hyo Kaya moja , ili zingine niweze kuzituma alaf iliyozingua hyo moja ndo nirud badala ya kuzifuta zote na kuanza upya ....

Cha Kushangaza IT alisema tusitegemee option za namna hzo Bali tuongeze umakini,
Changamoto iliyopo ili GPS isome mahali uliopo unahtaji ufate step zaidi ya tano , hapo bado accuracy yake ni 70 % bado lolote laweza kutokea , na pia ni ngumu kufanya kazi kuanzia asubh mpak jioni ukafanya Kwa usahihi , kuna kujisahau ukapata error hyo , Yani hakuna option ya kurekebisha hyo moja, bali data zote zinakuwa nullified ....

Kama Hali ikiendelea hv , nini makarani wataenda kufanya , nimeenda let say Kaya X , nimehoji nikaambiwa wanakaya wamelalal 13 , nikajikunja kizalendo karbu hata masaa 2 au 3 kupata data Kwa usahihi , zen ikasave nje ya Raman , kurud tena Kwa mwanakwaya Yule umuachishe tena kazi yake ni bonge la nouma , nitakachokifanya nafuta hyo kazi sahihi , badala yake naenda kwenye hyo kaya nasimamia nje getini , napika data , ili nisichoke najiandikia watu 2 wamelala pale , ili nisave nitoke , na hzo tayar zinakuwa data ambazo ni invalid ...

Na hii kwenye mazoez watu wamefanya Sana , dada mmoja kahoji Kaya ya Kwanza ikasoma ndani ya ramani , nakahoji ya pili ikasoma nje , ikabd afute msimamizi amwekee kazi na Raman upya , akahoji tena moja ikakubali nyingine ikasoma nje , dada alitaman kulia , akaenda Kwa msimamiz akafutiwa kazi na kuweka ramani upya , dada alichokifanya akaenda sehemu akapika data , zikasoma ndani ya ramani akaleta Kwa msimamizi akapokea akatuma makao makuu data ambazo ni invalid ....

Mlioko juu jitahdini hili tatizo mlitatue , la sivyo huko kwenye viyoyozi , hao viongozi walioko huku wanawadanganya kuwa zoezi lipo poa but in reality ,ni disaster inaenda kutokea .....
View attachment 2323556
Nikupongeze mkuu,ila changamoto ya gps kusoma nje ya eneo fanya hivi kwanza fungua ramani husika na angalia gps ambayo inatambulisha kishkwambi chako kama kiko ndani ya EA/eneo lakuhesabia then nenda kwenye location kwa sekunde 3 bila kuachia chagua location service then google accuracy weka off baada ya hapo rudi kwenye kazi haiwezi kuhama tena
 
TOKA WANILE KICHWA NA KUPEANA NAFASI KWA KUJUANA NA SI VIGEZO TOKA HIYO SIKU NAMUOMBA MUNGU ZOEZI LISIFANIKIWE
 
Nikupongeze mkuu,ila changamoto ya gps kusoma nje ya eneo fanya hivi kwanza fungua ramani husika na angalia gps ambayo inatambulisha kishkwambi chako kama kiko ndani ya EA/eneo lakuhesabia then nenda kwenye location kwa sekunde 3 bila kuachia chagua location service then google accuracy weka off baada ya hapo rudi kwenye kazi haiwezi kuhama tena
Absolutely, na pia naskia wametoa mwongozo endapo ikatokea by mistake moja ikasave nje unatuma hvyo hvyo zote , nafkr wataleta mrejesho badae nini kifanyike
 
Ah nilikuwa nasoma nikijua sijui nitaona kitu cha ajabu labda ambacho sisi wengine hatujakiona. Lakini uongo mtupu. Kwanza kabisa katika hoja zako hizo hakuna hoja ya ukweli hata moja, mimi pia ni karani, na nipo na wenzangu kama 7 hivi, tulivyoona hii post tukasema ngoja tufuatilie kwa undani zaidi, kiukweli umeongea kimamluki hasa, na lengo lako ni kuchafua tu, hayo yote uliyasema hayana ukweli.

Tumefundishwa na tumeambiwa kuna vitu vimewekwa kwa lengo la kufundisha lakini sio eti ndivyo program itakavyofanya kazi hata wakati wa zoezi lenyewe la sensa. Kama vile kufuta taarifa, kwanza kufuta taarifa sio eti ukikosea, taarifa zinazofutwa ni za mazoezi, kama mtu anataka kufuta aanze mazoezi (practicals) upya, lakini sio akikosea kama ulivyosema wewe.

Ikitokea mtu anataka kurekebisha alipokosea halazimiki kufuta kila kitu na kuanza upya kama unavyosema wewe, huo ni uongo, hata hivyo wakati wa zoezi lenyewe hakutakuwa na option ya kufuta kama unavyojaribu kudanganya Watanzania.

Hakuna atakayeweza kufuta, msimamizi atakuwa na details tofauti za kuingia kwenye hii program tofauti na karani, kwahiyo karani hataweza kufanya atakachofanya msimamizi. Kingine ambacho unadanganya watu ni eti kutengeneza na kupikapika taarifa, unaonekana hata uelewa wa kawaida tu huna, muda wote kuna msimamizi anakufuatilia, kiongozi wa eneo unalofanyia kazi, wajumbe na viongizi wengine, lakini pia kuna taarifa zinajirekodi bila wewe karani kujua, HUTAWEZA KUPIKA TAARIFA kama unavyojinadi, hutapata hiyo nafasi, na ukweli ni kwamba utakamatwa tu, ufuatiliaji ni mkubwa sana, kuanzia kwenye program yenyewe, viongozi na wawakilishi.

Usidanganye watu. Kuhusu kuchukua majira nukta, program ya mwisho hutaweza kudanganya kama unavyosrma wewe. Japo signals za majira nukta zina changamito zake, ila haijawa changamoto kama unavyodai, usidanganye watu.

Halafu wewe huwezi kuwa karani, wala huwezi kuwa mzalendo, kwenye mafunzo haya ya sensa, makarani wote wanao uhuru na nafasi kubwa sana ya kuongea na kutoa maoni na changamoto zote wanazokuta nazo ili kuboresha program ya kuhesabia watu, imekuwaje wewe umeshindwa kutoa hayo maoni yako kwa wahusika eti mzalendo ukaona uje kuingelea huku jamii forum? Kwenye mafunzo changamoto zite zinakusanywa zinawakikushwa kwa lengo la kuzifanyia kazi.

Wewe ulikwama wapi kuwakilisha hayo maoni yako? Wewe ni mamluki tu, una malengo yako mengine na wajinga wenzako, program iko vizuri tu, na ni rahisi sana kuitumia, duniani nchi zote zimetumia hii hii CSEntry kufanyia sensa, na zinaendelea kutumia, zikiwemo nchi kama Marekani, UK, na nchi nyingine nyingi tu pamoja na nchi za kuafrika ambazi zimeshafanya hilo zoezi, na zingine zinajipanga kufanya hilo zoezi kwa kutumia hiyo hiyo CSEntry unayoiongelea...changamoto popote hazikosekani, zipo lakini ni ndogo sana, hata wewe na mke wako mnazo changamoto zenu kwenye maisha yenu, moja wapo ni wewe kukosa nguvu za kiume za kumridhisha mke wako mpaka anaku cheat. Ila kwenye sensa mambo yanaenda vizuri, acha kudanganya watu.

Changamoto zilizopo ni za kawaida sana, ambazo lazima zingekuwepo tu hata ingekyja program gani unayoijua wewe. Kajipange tena uje upya na mbinu nyingine ila hii umefeli, huo ujinga uliouongea watu wakisoma wanakuelewa wazi wazi umedanganya, tafuta uchafu mwingine wa kuchafua, lakini kijamii watu wa mlengo wa kushoto kama nyie mpo sana tu, na hamkosekani, hapo unataka kujifanya una akili nyiingii labda ni IT flani mtaalam wa mifumo, tunajua zipo program nyingi sana duniani zinafanya mambo mengi tu makubwa, ila umejisahau sehemu moja tu, sio applicable kila mahali, kwasababu za kimalengo na targets, kwa upeo wako mfupi una malengi yako, lakini sensa ina malengo yake, mengine yapo wazi kwa jamii, lakini mengine ni siri ambayo wewe huna ujuzi nayo.

CSEntry ni android version ya CSPro, kirefu cha CSPro ni Census and Surveys Program, yaani program maalum kwa ajili ya kuchakata taarifa za kitakwimu za sensa na tafiti mbalimbali, inayotumika dunia nzima. Ukiwa huelewi kuuliza ni kuelewa na sio ujinga, kama kweli wewe ni karani, umeshindwaje kuwasilisha haya maoni kwa wahusika kama sisi wengine tunavyofanya?

Eti mzalendo, mzalendo hayupo jamii forums, mzalendi anasimama na kutoa hoja kwa lengo la kusaidia au kuboresha au kuepusha hasara, na sio kushawishi kundi la watu kwa kutumia hoja za uongo, mzalendo mpaka uje jamii forums, ungesimama darasani ukawasilisha changamoto zako huo ndio uzalendo.

Nikuhakikishie wewe na wajinga wenzako kwamba HAMTAWEZA KUPIKA HIZO TAARIFA MNAZOJINADI ETI NI WAZALENDO, MRAKAMATWA TU. Wewe sio karani, sisi makarani wote mbona tunaelewa na tunafanya mafunzo na maxoezi vizuri.
Umejihangaisha bure kumwandikia makala/waraka huyu... nimwemwambia aje inbox kama kweli ana tatizo la ramani lakini hajathubutu na ni bora ameshtuka maana ningemuumbua tu
 
Hii akili sijui ya wapi wandugu!?

Yaani mkajua sensa ni kujua namba ya watu tu
 
Watu tunatengeneza ID mpya kusaka wachumba na fuvkmates humu ndani, ila wewe umetengeneza ID mpya kuja kukanusha changamoto za sensa?

Who are you mr, wewe ndo ulopewa tender hii ya kushughulikia CSEntry sio? Na sasa unapambana kukanusha changamoto ili uonekane unaperform vizuri sio?

Au wewe ndiye mkuu wa NBS, umeona sensa inaenda kuborongeka ndiyo na kibarua chako kitaota nyasi sasa umeamua kuingia mwenyewe ulingoni ili kujipambania! Eti, naongea na wewe boya usiyekuwa na akili.

Au wewe ndiye mama makenda mwenyewe? Au utakuwa waziri husika wa sensa? Au IT mkuu wa wizara husika? Wewe nani?

Alichoeleza mleta uzi kina ukweli, hata mimi mke wangu yupo huko kwenye sensa kama karani ila naona siku hadi siku anatamani kuachana na hili zoezi maana ni zito kuliko walivyotegemea!

Wewe kwa limwandiko lako lisilo na aya wala indents wala spacing unaonekana ni lizee flani linalohusika pakubwa na sensa. Kwa kuwa jamaa ka-hit the painful area sasa mmepaniki mnajaribu kuingia wenyewe ulingoni kukanusha.

Mimi nikuhakikishie tu sensa hii huenda data za sensa ndizo zikapikwa kushinda sensa zingine zote. Sababu kubwa ni kwamba mnatumia digital technology, na bahati mbaya nasikia wasimamizi wa maudhui mmewekana mijimama na mijibaba ambayo teknolojia kwao ni tatizo kwenye matumizi. Imagine msimamizi wa maudhui anapata shida kwenye kuconnect bluetooth na location ya kishikwambi chake, mpaka makarani wanawasaidia. Yani wasimamizi ni vilaza kushinda wanaowasimamia, halafu unasema data hazitapikwa?
Mkeo na wengi kama yeye ni vichwa maji hawasikilizi (hawaelewi) mafundisho ya darassani halafu wakirudi nyumbani wanataka msaada kwa watu ambao hamkwepo kwenye mafunzo... kinachofuata ni lawama na kejeli
 
Mkuu hii nchi ngumu Sana , Bora hata mfumo mlioutumia , upo simple , na friendly , huu mfumo wa CS entry actually not bad in such , but kuna error hyo ya GPS kusoma nje ya eneo ulilopo , wanacommand kutotafta majira nukta ukiwa chini ya mti, au ndani ya nyumba , hata kukiwa na poor visibility (atmospheric barrier ) unashangaa upo DSM majira nukta yanasoma Tanga ....

Shida inakuja kuna nyumba wanazengo wanaishi mstuni , ili utafte eneo la wazi kuchukua GPS inakulazumu uwe away kama Mita 800 hv kulipata eneo la wazi with clear sky ,...!! Yote Tisa kumi waweke option ya ku-ommit , GPS iliyoenda wrong badala ya kufuta kazi yote ....

Kama huko ofisi ya takwimu hawana IT proffessional , wawaite ma IT wa nje , badala ya zoezi Zima kwenda terrible wrong , Kwa kesi ndogo kama hyo , huku nchi inatumia multbillion Tsh
Unajua hizi Garmin GPS, kama hamjapata latest version basi ujue error yake ni mita 2 mpaka 3. Na kama unavyosema lazima uiwashe ukiwa eneo la wazi nje, mfano mkifika kwenye nyumba pale mlangoni kwa nje ili iweze kudaka walau satellites zaidi ya 4 ndiyo utapata correct readings. Kwa case ya msituni pia kuna Garmin gps version ambayo iko vizuri na inakupa error ya mita 2 hata ukiwa chini ya miti. Pia kuna smartphones zenye GPS nzuri na zenye error mpaka nusu mita.
 
Ili upate hiyo gps, internet ya simu ndio inatumika? Namaanisha muda wote internet inatakiwa kuwa ON?
Iko hivi GPS ni kifaa (global positioning system) ambacho Kazi yake ni kuchukua points za eneo husika (coordinates). Kwa mfano ukienda msituni na gari au bodaboda ukaiacha na kuamua kutembea humo porini kwa mguu wakati wa kurudi unaweza kupotea na usijue gari mmeacha wapi. Hivyo ukiwa na gps pale ulipoacha gari unabonyeza kama vile unavyoweka alarm kwenye simu halafu unasevu kwa hiyo GPS. Sasa wakati wa kurudi hiyo GPS inakuongoza mpaka ulipoacha gari. GPS hutumia betri ndogo kama za rimoti na wala haihitaji internet. Lakini kuna smartphones ambazo zina GPS au kama hazujawekwa unaweza ku downloads... Mfano unaweza kuset kwenye simu yako kwamba kila ukipiga picha inachukua na coordinates za eneo husika moja kwa moja. Ndiyo maana naona kuna mapungufu kwenye mfumo wao wanaotumia kwa sababu wangeweza kabisa kupiga picha ya kaya husika na at the same time wakapata gps location ya hiyo kaya (coordinates).
 
Tatizo ni moja tuu, hivyo vishikwambi vinatumia offline map, waandaaji wa hili zoezi wangeweka programu yenye kutumia data badala ya offline map.
Upande wa Map ndo mizinguo, ningependa sana nitumie simu yangu kuliko kishikwambi maana kwa simu inapiga kazi saafi kabisa maana nawasha data all time na zote zinasoma ndani ya EA.
Mkuu unaweza kutengeneza map kwenye computer halafu baadae ukai upload kwenye hizo tablets na wakatumia bila internet. Wakitegemea internet watachemsha kwenye maeneo yasiyo na mtandao
 
Iko hivi GPS ni kifaa (global positioning system) ambacho Kazi yake ni kuchukua points za eneo husika (coordinates). Kwa mfano ukienda msituni na gari au bodaboda ukaiacha na kuamua kutembea humo porini kwa mguu wakati wa kurudi unaweza kupotea na usijue gari mmeacha wapi. Hivyo ukiwa na gps pale ulipoacha gari unabonyeza kama vile unavyoweka alarm kwenye simu halafu unasevu kwa hiyo GPS. Sasa wakati wa kurudi hiyo GPS inakuongoza mpaka ulipoacha gari. GPS hutumia betri ndogo kama za rimoti na wala haihitaji internet. Lakini kuna smartphones ambazo zina GPS au kama hazujawekwa unaweza ku downloads... Mfano unaweza kuset kwenye simu yako kwamba kila ukipiga picha inachukua na coordinates za eneo husika moja kwa moja. Ndiyo maana naona kuna mapungufu kwenye mfumo wao wanaotumia kwa sababu wangeweza kabisa kupiga picha ya kaya husika na at the same time wakapata gps location ya hiyo kaya (coordinates).
Soma tena nilichouliza. Hao wanatumia tablet ambayo ndani yake ndio Kuna mifumo ikiwemo hiyo ya gps, ndio nauliza wanatumia internet?
 
Mkuu unaweza kutengeneza map kwenye computer halafu baadae ukai upload kwenye hizo tablets na wakatumia bila internet. Wakitegemea internet watachemsha kwenye maeneo yasiyo na mtandao
Unatoa ufafanuzi wa jambo ambalo hujalielewa.
 
We kijana pika data ,kula posho endelea na mambo mengine unajichosha bure
Anapikaje data wakati anatakiwa kuchukua coordinate kwenye kila kaya?? Apike coordinate?? [emoji12] [emoji12]
 
Wakat wa wa vita ya pili ya dunia moja ya Siri kubwa Kwa USA na washirika wake kupata ushindi ni kuwasikiliza waliokuwa front line yaani kwenye uwanja wa mapambano , na maoni Yao yalisikilizwa moja Kwa moja na high command na kufanyiwa kazi haraka iwezekanavyo bila mtu wa Kati kuleta siasa ...!! Waliokuwa kwenye battle zone Walitoa taarifa kuhusu Hali ya mapigano , intensity , wapi palipopungua , silaha gani miyeyusho na silaha za namna gani ziboreshwe , haya maoni ni katika idara zote za kijeshi kuanzia jeshi la ardhini ( marine) jeshi la majini (US navy) , na jeshi la anga (Airforce) , Marekani ilianza vita kama underdog Ila ikamaliza ikiwa superior and most feard nation.

Aliyeko front anajua exactly the horror of war...!! Kutomsikiliza Kwa sababu iwayo yoyte ile ni kuhalalisha kushindwa.

Back to the topic , Mimi ni karani wa Sensa , katika mchakato mzima wa zoezi hili karani ndo mtu wa mhimu zaidi kuliko wote , yeye ndo anashuhudia Kwa usahihi what is real going on na kipi ni sahihi na wapi pa kurekebisha ,

Nipongeze serikali Kwa kuja na idea Bora zaidi ya kuendesha zoezi hili na Kwa kweli likifanikiwa hata Kwa 80% serikali itakuwa imekula bingo , aliyeleta mchakato Kwa idea hii nampa salute ,

Hata hvyo mchakato ni costful , Kwa haraka more than 600tsh billion zitaperish away kwenye huu mchakato , hela nyingi Kwa nchi hii ya kimaskini ...

In reality zoezi ni gumu hasa , linahtaji angalau semi skilled workers with high commitment , Viongozi wa ngazi za juu wamehamasisha Kwa nguvu zote huku mzigo mzito akiangushiwa karani , ...

Kwa maoni yangu makarani wengi mbali na kufanya kazi ya kuchosha bado Wana moyo wa kufanya na mwitikio ni mkubwa , tatizo ni matumizi ya software ya CS entry kwenye tablet , hii ni changamoto kubwa sana

Baada ya kufanya mazoezi changamoto hii imeonekana kuwa ni deadliest na itaharibu mchakato mzima kama haitafanyiwa kazi , nasema haya Kwa moyo wa kizalendo kabisa , makarani tulileta taarifa na tatizo kubwa karbu Kwa makarani wote ni hii software hasa matumizi ya ramani na uwepo wa GPS.

Imagine karani umetembea Kwa moyo mmoja mpak kwenye Kaya fulan mlimani , umefika unammkuta mama anafua akakupokea Kwa moyo mmoja akaacha kazi yake, ukatazama ramani ukajihakikisha GPS inasoma kwenye ramani , ukafungua dodoso la Kwanza , akaanza kukupa taarifa za waliolala kwenye Kaya ambao ni 12 , takriban masaa mawili umekaa naye akikupa taarifa , umemaliza unatafuta majira unapata , unasave unajikuta imesave nje ya ramani , .....!! Kwa mjibu wa Sensa hyo kazi yote inakuwa ni useless ,unatakiwa uende Kwa msimamizi ufute kazi yote akutumie mchakato upya na uende tena kwenye Kaya hyo uanze mahojiano upya ,

Cahangamoto zaidi inakuja kama Kwa sku nzima umehoji kaya 10 , na kaya 9 zote majira nukta (GPS ) yamesoma ndani ya ramani na moja imesave nje ya ramani Kwa mfumo wao wa software , hzo kazi zote zinakuwa invalid inabdi ufute kazi zote uwekewe kazi upya na uende ukarudie mahojiano upya kwenye Kaya zote , na endapo itatokea the same scenario , itabd ufute tena uanze upya .. ni kazi ngumu na ya kuchosha hasa kipindi hiki cha kiangazi , na kimbembe ni kuwa maeneo mengi karani ni mmoja Kwa kila kitongoji , ni mzigo mzito sana...ni uzalendo tuu utakaofanikisha hili zoez and not otherwise

Nawaambia live hakuna karani atakubali kufanya such kind of fucking process , tegemeeni data za kupikwa na zoezi Zima litapoteza maana ...

Tulileta mrejesho tukiwa na option Bora za kuboresha mana lengo ni kufanikisha , nikashangaa IT wa wilaya anajibu shit bila kujua Kwa undani hyo critical condition huku akitutisha makarani , ....

Kwa Sisi ambao tuko kwenye battle field tukawaambia wakubwa wetu kuwa huko juu ma IT wa Taifa wakeshe kuhakikisha wanaboresha hyo application ili iwe na option zifuatazo :-

1. Wakati ninahoji Kaya basi kuwe na signal kwenye tablet kama dot hvi au whatever yenye rangi ya kijani ili kuni-alert kuwa GPS inasoma ndani ya 3 meters kutoka pale nilipo...na kama sivyo ionyeshe rangi nyekundu kunitahadharisha kuwa GPS inasoma wrong place hvyo nifanye mchakato wa kuiweka Sawa

2. Option ya pili , in case ikatokea Kaya moja nimesave nje ya ramani , na Kaya zingine let say Kaya 10 zimesave ndani ya ramani basi kuwe na option ya kuiweka pending hyo Kaya moja , ili zingine niweze kuzituma alaf iliyozingua hyo moja ndo nirud badala ya kuzifuta zote na kuanza upya ....

Cha Kushangaza IT alisema tusitegemee option za namna hzo Bali tuongeze umakini,
Changamoto iliyopo ili GPS isome mahali uliopo unahtaji ufate step zaidi ya tano , hapo bado accuracy yake ni 70 % bado lolote laweza kutokea , na pia ni ngumu kufanya kazi kuanzia asubh mpak jioni ukafanya Kwa usahihi , kuna kujisahau ukapata error hyo , Yani hakuna option ya kurekebisha hyo moja, bali data zote zinakuwa nullified ....

Kama Hali ikiendelea hv , nini makarani wataenda kufanya , nimeenda let say Kaya X , nimehoji nikaambiwa wanakaya wamelalal 13 , nikajikunja kizalendo karbu hata masaa 2 au 3 kupata data Kwa usahihi , zen ikasave nje ya Raman , kurud tena Kwa mwanakwaya Yule umuachishe tena kazi yake ni bonge la nouma , nitakachokifanya nafuta hyo kazi sahihi , badala yake naenda kwenye hyo kaya nasimamia nje getini , napika data , ili nisichoke najiandikia watu 2 wamelala pale , ili nisave nitoke , na hzo tayar zinakuwa data ambazo ni invalid ...

Na hii kwenye mazoez watu wamefanya Sana , dada mmoja kahoji Kaya ya Kwanza ikasoma ndani ya ramani , nakahoji ya pili ikasoma nje , ikabd afute msimamizi amwekee kazi na Raman upya , akahoji tena moja ikakubali nyingine ikasoma nje , dada alitaman kulia , akaenda Kwa msimamiz akafutiwa kazi na kuweka ramani upya , dada alichokifanya akaenda sehemu akapika data , zikasoma ndani ya ramani akaleta Kwa msimamizi akapokea akatuma makao makuu data ambazo ni invalid ....

Mlioko juu jitahdini hili tatizo mlitatue , la sivyo huko kwenye viyoyozi , hao viongozi walioko huku wanawadanganya kuwa zoezi lipo poa but in reality ,ni disaster inaenda kutokea .....
View attachment 2323556
Nchi ishapikwa na viongozi muda mrefu sasa ni muda wa wananchi kwenda kupakuliwa!
 
Mi nafikri muwe na alternative. Kidigitali ikifeli mnaswitch analogy. Yani shkwambi likizingua unachukua kabrasha lako unajaza. The only way forward
Vipi coordinates za kaya atazipataje bila kutumia gps iliyoko kwenye Tablets?
 
Kumbe ndio maana unawaletea shida watumiaji wa mfumo maana mfumo unabidi utengenezwe kuendana mazingira ya eneo husika na pia kwa kua mfumo unatengenezwa na team ya programmers/developers inabidi ufanyiwe testing kadhaa kila hatua ya uundwaji wa mfumo inabidi ufanyiwe majaribio kuthibitisha kua unafanya kazi bila kuleta shida kwa mtumiaji na hio team ijiridhishe kua mfumo upo sawa hauleti errors/bugs zozote au mfumo hauna complications zozote kwa mtumiaji yaani utamrahisishia mtumiaji kuifanya kazi yake pasina kutumia nguvu na akili mingi na pia team ijithibitishie kua mfumo hauna shida yoyote kabla haujakabidhiwa kwa mteja/mtumiaji husika kwamba unafanya kazi kwenye mazingira yawayo yoyote ya mtumiaji/mteja pasina kuleta shida yoyote, swali km mfumo umetengenezwa na ma IT wa Pakistani from scratch (code after code) na unahusu mazingira ya Pakistan je! Wakati mfumo unatengenezwa ulifanyiwa testing (majaribio) aidha na ma IT wa bongo au wa Pakstan kwamba kwenye mazingira ya bongo huo mfumo unaweza kufanya kazi bila kunaleta errors zozote kwenye haya mazingira au ndio wuacha tu tununue tutajua mbele ya safari?

Nawasilisha..
Mkuu techniques za kufanya sensa ni the same world wide... Hivyo kama Pakistan walitengeneza huo mfumo na wametumia kwenye sensa huko kwao au kwa nchi nyingine, probably za Afrika au Asia, mbona haina shida kabisa? Imagine mpaka jezi tuu za Simba na Yanga tunatengenezea nje ya nchi [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom