Wito: Kamati Kuu ya CCM ifunguliwe Mashitaka Mahakama Kuu kwa Kumteua Mgombea Urais aliyekosa Sifa 2015

Chikawe alikuwa Waziri wa Mambo ya ndani wakati wa mchakato wa uchaguzi na TISS haipo chini ya Home affairs.… nawe ushtakiwe kwa kusema uongo
Vyovyote vile yeye ndiye aliteficha faili. Baada ya uchaguzi akapewa zawadi ya kuwa Balozi
 
Kamuulize Mwendazake huko kuzimu, pumbavu mkubwa. Umetaka ushahidi wa Magufuli kukiri kuwa Kichaa, nimekupa, bado unauliza maswali ya Kise..ge

Hapa ni jf sio Facebook mbwa ww
 

Magufuli alikuwa Rais bora sana kuwahi kutokea ktk miaka ya hivi karibuni

Wapuuzi kama nyinyi ni ngumu kuelewa Taifa hili linahitaji kiuongozi wa namna gani
 
Ili kuweza kuwa chuki ya namna hii dhidi ya mtu ambaye taifa lilionyesha ni namna gani lilimpenda kwa kujitokeaza kwa mamilioni kila mwili wake ulipopitishwa lazima uwe na kautindio flani ka ubongo hata kama ndugu zako wa karibu hawakuambii unacho.
 
Mimi nawalaumu sana CHADEMA kwa kumuomba Mungu tuwe na rais Dikteta hivyo tukapewa dikteta na nusu. Halafu 2015 tulishikwa pabaya mno hakukuwa na jinsi.... tusingemchagua Magu tungeangukia mikononi mwa Lowassa aliyetajwa kwenye top ten ya mafisadi papa na haohao CHADEMA. Tushukuru tu kilichotokea tarehe 17 March 2021.
 
Sawa kabisa. Ilikuwa ajabu sana jinsi Magufuli alivyopitishwa kugombea manake hata akina Jakaya na Kinana walijuta sana baadaye. Kweli hatukupaswa kuwa na β€œkiongozi β€œ kama huyu.
 
Ili kuweza kuwa chuki ya namna hii dhidi ya mtu ambaye taifa lilionyesha ni namna gani lilimpenda kwa kujitokeaza kwa mamilioni kila mwili wake ulipopitishwa lazima uwe na kautindio flani ka ubongo hata kama ndugu zako wa karibu hawakuambii unacho.
Hata alipokufa dikteta Starling mamilioni walijitokeza, si hoja. Magufuli alilazimisha watu kumkubali leo hii huko Marekani hata aliyekuwa makamu wake anakiri ilimbidi awe mnafiq kuweza kufanya kazi na Magufuli. Yatafunguka mengi ni suala la muda tu.
 
Ili kuweza kuwa chuki ya namna hii dhidi ya mtu ambaye taifa lilionyesha ni namna gani lilimpenda kwa kujitokeaza kwa mamilioni kila mwili wake ulipopitishwa lazima uwe na kautindio flani ka ubongo hata kama ndugu zako wa karibu hawakuambii unacho.
Huku wengine wakizimia lakini wameng'ang'ania mifuko ya Sato mkononi

 
Kesi kwa kamati kuu ya chama iwe.
1.KUMPITISHA MGOMBEA URAIS 2015 HUKU WAKIJUA MGONJWA.
2.KUMRUHUSU KUFANYA PUSHUP ZA ALIZEREEEEEMA MAJUKWANI.
3.KUMRUHUSU KULA MAHINDI YAKUCHOMA KIPINDI CHA KAMPENI HUKU ANAONGEA.
 
Kesi kwa kamati kuu ya chama iwe.
1.KUMPITISHA MGOMBEA URAIS 2015 HUKU WAKIJUA MGONJWA.
2.KUMRUHUSU KUFANYA PUSHUP ZA ALIZEREEEEEMA MAJUKWANI.
3.KUMRUHUSU KULA MAHINDI YAKUCHOMA KIPINDI CHA KAMPENI HUKU ANAONGEA.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Machadema hata waume zenu wakishindwa kuwabutua mnasingizia Magufuli
 
Magufuli alisimamishwa kurudisha imani ya Lumumba na viunga vyake kwa wananchi. Kipindi kile bila yeye sijui Lumumba wangekuwa wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…