Wito: Kamati Kuu ya CCM ifunguliwe Mashitaka Mahakama Kuu kwa Kumteua Mgombea Urais aliyekosa Sifa 2015

Jamaa yako alichukua mikopo ya siri kuliko kawaida. Cag amethibitisha. Jamaa yako alilamba 1.5 tril kimya kimya. Usianzishe vita ya mawe maana uko karibu na kioo
 
Magufuli alikuwa Rais bora sana kuwahi kutokea ktk miaka ya hivi karibuni

Wapuuzi kama nyinyi ni ngumu kuelewa Taifa hili linahitaji kiuongozi wa namna gani
Taifa halihitaji kichaa
 
Ili kuweza kuwa chuki ya namna hii dhidi ya mtu ambaye taifa lilionyesha ni namna gani lilimpenda kwa kujitokeaza kwa mamilioni kila mwili wake ulipopitishwa lazima uwe na kautindio flani ka ubongo hata kama ndugu zako wa karibu hawakuambii unacho.
Ile ilikuwa ni kutuhakikishia kuwa kichaa kafa kweli.
Watanzania ushangilia kila kitu
 
Na kisha ccm mkamuomba fisadi papa kwa kumpigia magoti arudi kundini
 
Kesi kwa kamati kuu ya chama iwe.
1.KUMPITISHA MGOMBEA URAIS 2015 HUKU WAKIJUA MGONJWA.
2.KUMRUHUSU KUFANYA PUSHUP ZA ALIZEREEEEEMA MAJUKWANI.
3.KUMRUHUSU KULA MAHINDI YAKUCHOMA KIPINDI CHA KAMPENI HUKU ANAONGEA.
Yaani mecheka yaaniiii!!!
 
Magufuli alisimamishwa kurudisha imani ya Lumumba na viunga vyake kwa wananchi. Kipindi kile bila yeye sijui Lumumba wangekuwa wapi.
Nawahakikishia yeyote ccm angeshinda. Magufuli pamoja na yote hakuwahi kushinda uchaguzi wowote hata kwao chato.
Magoli yaliyoitwa ya mkono ndio yalimleta kichaa.
Ulizeni ndugu zake wa kuzaliwa nao tumbo moja akivyo wadhulumu.
 
Cuf, nccr wasio na mbunge je?
Malipo ya dhulma ilikuwa kifo na anawaka moto usiokwisha
 
Kwanini usikomae na CDM yako!?
 
NENDA KANYE UKALALE NAONA SASA HUNA HOJA ZA KUJADILI UNALAZIMISHA, MAMBO ALIYOYAFANYA JPM NI MAKUBWA HAYAJAWAHI KUFANYWA HAPA NCHINI AMEACHA ALAMA KUBWA SANA TZ TATIZO LENU NI UVIVU WA KUFANYAKAZI NA WIZI UMEWAZIDI MLIZOEA VYA KUNYONGA VYA KUCHINJA VINAWASHINDA JPM KAACHA ALAMA YA KUKUMBUKWA MPAKA NA WAJUKUU ZENU
 
Huwezi kufunga goli bila kuelekeza mpira golini
mbowe kishatulizwa hiyo katiba mpya mtaisikia kwenye bomba makengeza kwa hela humwambii kitu sasa hivi mtabaki kufokewa tu kwenye mikutano yenu hakuna kusema vibaya serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…