Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #241
Usia huo umeandikwa wapi ?Usia wa baba Rais lazima awe mkatoliki au muislam poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usia huo umeandikwa wapi ?Usia wa baba Rais lazima awe mkatoliki au muislam poa
Ndege imekamatwa tena huko kutokana na Udikteta wakeYule alipaswa atawale milele Tanzania, hatutaka rais Lele mama , Ila wanachama wa CDM hawawez elewa
Vurugu aliyoitengeneza kwa nchi yetu kwa miaka 5 tu madhara yake yanakwenda mbali mno.Ndege imekamatwa tena huko kutokana na Udikteta wake
Lakini kwanini waliomteua wasikamatwe ?Vurugu aliyoitengeneza kwa nchi yetu kwa miaka 5 tu madhara yake yanakwenda mbali mno.
Ila tumshukuru Mungu kwa kumkataa na kumuondoa kabisa kwenye Dunia ya wastaarabu Magufuli
Iko siku Hilo litafanyika. Naamini hata kaburi lake litapigwa vibokoLakini kwanini waliomteua wasikamatwe ?
Kama kuna aliyekuelewa hapa basi naomba na mimi anielewesheNdo post kama hizi, uchawa wa incumbent rulers.
Kuna Mu Iran mmoja yuko uhamishoni Canada. Alikuwa ndugu wa ufalme na mwana usalama kabla hajakimbia alipokosana nao.
Anasema kwenye documentary ya NETFLIX kwamba serikalini Iran wana ofisi ya IT kazi yake ni kutuma maelfu na maelfu ya ma post ya kuupamba utawala, na kupinga wakosoaji, na wanayatuma kana kwamba kuna watu weeengi wanaunga mkono utawala. Kama hicho kitengo hakipo serikalini URT basi kipo CCM, I bet everything I have on this.
Hapana mkuu vyuma vilizidi kukaza,mauwaji,tulianza kuzizoea ndusu haikuwa poaYule alipaswa atawale milele Tanzania, hatutaka rais Lele mama , Ila wanachama wa CDM hawawez elew
Nje ya madaKama chadema mlivyotuletea mgombea aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond.
Cha ajabu walimjua lakini wakamwacha tu awe RaisMtu katili sijawahi kuona mfano wake Tanzania!
Mtu ana cheti Mirembe..hata Diallo alithibitisha hiloCha ajabu walimjua lakini wakamwacha tu awe Rais
Ndio maana natoa wito huuMtu ana cheti Mirembe..hata Diallo alithibitisha hilo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Tunapoandika humu JF hatuandiki kwa chuki , bali tunaandika kwa haki .
Haya Kiko wapi sasa ?
Na huyo waziri aliyepo ndio kasaidia nini katika kuimarisha uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi yetu kwa ujumla zaidi ya kutoza kodi mnyonge mara mbili kwa njia za tozo.Nyie ndio mnataka mpewe nchi? Eti mdude anataka uwaziri wa fedha, this is joke
Akijibu nistueNa huyo waziri aliyepo ndio kasaidia nini katika kuimarisha uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi yetu kwa ujumla zaidi ya kutoza kodi mnyonge mara mbili kwa njia za tozo.
Madelu si mchumi kitu zaidi ni mchumiatumbo,sasa hivi yuko kwenye maandalizi ya kukusanya za kuandika kwenye mawe 2025.