Wito kampuni ya kimataifa ya Uuzaji wa Pizza isogeze huduma Kwa kufunguka migahawa yake maeneo ya Temeke na Mbagala Dar es Salaam

Wito kampuni ya kimataifa ya Uuzaji wa Pizza isogeze huduma Kwa kufunguka migahawa yake maeneo ya Temeke na Mbagala Dar es Salaam

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Niombe kampuni kubwa ya kimataifa ya Pizza Hut isogeze huduma maeneo ya temeke na mbagala jijini dar es salaam.

Naambiwa kampuni hii ina migahawa maeneo mikocheni, masaki, msasani na oysterbay hivyo tunaomba wafungue pia matawi na kuanzisha huduma za "delivery" huku kwetu

Naamini hii itakuwa fursa kubwa kiuchumi kwa pande zote husika

Tutashukuru sana kama ombi letu litakubaliwa

Niwatakie usiku na sabato njema
 
Kwa maeneo ya Mbagala pamekaaa hovyo sidhani

Wakati Mbagala kungebidiid kue mall ya kwenda ila ndo hvyo ile waaacheni wafanye biashara basi imekua vuru vururu may lile soko likiosha
 
Sasa mtu wa mbagala aliyezoea sambusa za paka za mia tatu , umletee pizza ya 10k kweli😅
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niombe kampuni kubwa ya kimataifa ya Pizza Hut isogeze huduma maeneo ya temeke na mbagala jijini dar es salaam.

Naambiwa kampuni hii ina migahawa maeneo mikocheni, masaki, msasani na oysterbay hivyo tunaomba wafungue pia matawi na kuanzisha huduma za "delivery" huku kwetu

Naamini hii itakuwa fursa kubwa kiuchumi kwa pande zote husika

Tutashukuru sana kama ombi letu litakubaliwa

Niwatakie usiku na sabato njema
huko wamezoea miguu ya kuku na supu za jero jero (mapupu).
 
Back
Top Bottom