Wito: Kufuatia Mauaji ya Mzee Ali Kibao, CHADEMA isipokee salamu zozote za Pole kutoka CCM wala Serikalini

Wito: Kufuatia Mauaji ya Mzee Ali Kibao, CHADEMA isipokee salamu zozote za Pole kutoka CCM wala Serikalini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ni kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kumkufuru Mungu na kujitafutia laana ya kujitakia ya Milele.

Salamu zingine ambazo hazipaswi kupokelewa ni kutoka kwa viongozi wote Wastaafu wa Tanzania wanashabihiana na CCM na bila shaka wanaoshabihiana na Serikali hii.

Hawa wote kwa Umoja kunyamazia malalamiko mengi sana ya Wananchi kuhusu Utekaji.

CHADEMA Ibaki na Mungu na wao waendelee kubaki na Shetani na Dola yao.

Mungu Ibariki CHADEMA, Mungu zipokee roho za Marehemu wote wanaouawa kwa vile tu Wameichagua CHADEMA, Amina.

Soma Pia:
 
Usishangae itafikia hatua misiba ya chadema hawatotaka kuona mwana ccm yeyote maana wamelalamika wanajibiwa kua ni drama, mtu anapoteza watu analalamika bungeni mnasema sio taarifa rasmi hapana, hapana haikubaliki
Wala haiko mbali
 
Hii ni kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kumkufuru Mungu na kujitafutia laana ya kujitakia ya Milele.

Salamu zingine ambazo hazipaswi kupokelewa ni kutoka kwa viongozi wote Wastaafu wa Tanzania wanashabihiana na CCM na bila shaka wanaoshabihiana na Serikali hii.

Hawa wote kwa Umoja wao wameamua kumtukuza Shetani na kunyamazia malalamiko mengi sana ya Wananchi kuhusu Utekaji.

CHADEMA Ibaki na Mungu na wao waendelee kubaki na Shetani na Dola yao.

Mungu Ibariki CHADEMA, Mungu zipokee roho za Marehemu wote wanaouawa kwa vile tu Wameichagua CHADEMA, Amina.

Soma Pia:
Hata serikali ?!!!

Mmh uhaini huo......

Basi sawa ,pokeeni POLE kutoka sayari ya JUPITER.....

#Nchi inaongozwa na dola lenye serikali ndani yake.

#Tanzania si pori wala chaka[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hata serikali ?!!!

Mmh uhaini huo......

Basi sawa ,pokeeni POLE kutoka sayari ya JUPITER.....

#Nchi inaongozwa na dola lenye serikali ndani yake.

#Tanzania si pori wala chaka[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Shetani hana Rafiki, Chekelea Mauaji ya Mzee Ally Kibao ukidhani uko salama
 
Sasa huyo Mzee mstahafu alikuwa na nini cha kuihatarisha nchi ?
TATIZO LA HII NCHI YA TANGANYIKA NI KUWA NA MACHAWA WENGI WASIO KUWA NA AJIRA.
Na hawana au hawawezi kutumia akili zao ili kuishi.
Kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Na kwenye teuzi hawapo.
Miaka 69 anauawa kikatiri namna ile!
 
Usishangae itafikia hatua misiba ya chadema hawatotaka kuona mwana ccm yeyote maana wamelalamika wanajibiwa kua ni drama, mtu anapoteza watu analalamika bungeni mnasema sio taarifa rasmi hapana, hapana haikubaliki
Wakifika ni kuwapopoa na mawe
 
Hii ni kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kumkufuru Mungu na kujitafutia laana ya kujitakia ya Milele.

Salamu zingine ambazo hazipaswi kupokelewa ni kutoka kwa viongozi wote Wastaafu wa Tanzania wanashabihiana na CCM na bila shaka wanaoshabihiana na Serikali hii.

Hawa wote kwa Umoja wao wameamua kumtukuza Shetani na kunyamazia malalamiko mengi sana ya Wananchi kuhusu Utekaji.

CHADEMA Ibaki na Mungu na wao waendelee kubaki na Shetani na Dola yao.

Mungu Ibariki CHADEMA, Mungu zipokee roho za Marehemu wote wanaouawa kwa vile tu Wameichagua CHADEMA, Amina.

Soma Pia:
In politics we taught to be diplomatic not to escalate the shit in time like this. Let's other political party pay his respect and their condolences
 
In politics we taught to be diplomatic not to escalate the shit in time like this. Let's other political party pay his respect and their condolences
Kiingereza cha kiboya sana! ndio nyie mnaoitwa wasomi huko ccm?
 
CCM wamemwaga damu zisizo na hatia, bendera yao inanuka damu, mikono yao imejaa damu na fikra zao ni kumwaga damu.
 
Hii ni kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kumkufuru Mungu na kujitafutia laana ya kujitakia ya Milele.

Salamu zingine ambazo hazipaswi kupokelewa ni kutoka kwa viongozi wote Wastaafu wa Tanzania wanashabihiana na CCM na bila shaka wanaoshabihiana na Serikali hii.

Hawa wote kwa Umoja wao wameamua kumtukuza Shetani na kunyamazia malalamiko mengi sana ya Wananchi kuhusu Utekaji.

CHADEMA Ibaki na Mungu na wao waendelee kubaki na Shetani na Dola yao.

Mungu Ibariki CHADEMA, Mungu zipokee roho za Marehemu wote wanaouawa kwa vile tu Wameichagua CHADEMA, Amina.

Soma Pia:
Nakala kwa Pedeshee Amosi na Daktari Manueli .
 
Back
Top Bottom