Wito: Kufuatia Mauaji ya Mzee Ali Kibao, CHADEMA isipokee salamu zozote za Pole kutoka CCM wala Serikalini

Tunawashukuru watu Tanga kwa Kumshusha Jukwaani Hamad Masauni
 
Wewe jamaa unaandikaga utumbo sana. Mbowe angekuwa na akili kama zako chama kingeshamfia zamani mno. Jifunze diplomasia. Wewe unacholilia kutendewa watendee wengine.. unahubiri demokrasia na chuki kwa wakati mmoja. Acha vyombo vya dola vifanye kazi yake kuwafuatilia waliotenda unyama badala ya kuhukumu wanaCCM wote.
 
Dola ipi iachwe ifanye kazi, hii ya akina Kingai? wadanganye Wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…