Wito kwa ACT-Wazalendo na vyama vingine vya siasa pingeni manyanyaso wanayofanyiwa CHADEMA

Wito kwa ACT-Wazalendo na vyama vingine vya siasa pingeni manyanyaso wanayofanyiwa CHADEMA

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Nimeitaja ACT-WAZALENDO kama chama ambacho kidogo kina muonekano kwa jamii leo hii japo siyo kikubwa kuliko CHADEMA.

Kinachoendelea kati ya jeshi la polisi na CHADEMA si uhai kwa vyama vya siasa hasa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kuna kila dalili polisi watatumika kuvuruga chaguzi hizo.

Wito wangu ACT-WAZALENDO mnaziara za ujenzi wa chama, hakikisheni katika ziara zenu pingeni na fanyeni maandamano ya kupinga kinachoendelea.

Soma Pia:

Pia ACT-WAZALENDO msijione mko salama ,hacheni siasa nyepesi, hamko salama kama mnavyofikiri huu wakati ni wakupinga linaloendelea ndani ya nchi hii wapenda Demokrasia tupinge Kinachoendelea CCM imefirisika haina nguvu haina uwezo,nguvu imebaki kwa jeshi la polisi.
 
Nimeitaja ACT-WAZALENDO kama chama ambacho kidogo kina muonekano kwa jamii leo hii japo siyo kikubwa kuliko CHADEMA.
Kinachoendelea kati ya jeshi la polisi na CHADEMA si uhai kwa vyama vya siasa hasa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kuna kila dalili polisi watatumika kuvuruga chaguzi hizo.
Wito wangu ACT-WAZALENDO mnaziara za ujenzi wa chama, hakikisheni katika ziara zenu pingeni na fanyeni maandamano ya kupinga kinachoendelea.
Pia ACT-WAZALENDO msijione mko salama ,hacheni siasa nyepesi, hamko salama kama mnavyofikiri huu wakati ni wakupinga linaloendelea ndani ya nchi hii wapenda demokrasia tupinge Kinachoendelea CCM imefirisika haina nguvu haina uwezo,nguvu imebaki kwa jeshi la polisi.
Alafu we utakuwa kwenye keybord
 
Nimeitaja ACT-WAZALENDO kama chama ambacho kidogo kina muonekano kwa jamii leo hii japo siyo kikubwa kuliko CHADEMA.

Kinachoendelea kati ya jeshi la polisi na CHADEMA si uhai kwa vyama vya siasa hasa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kuna kila dalili polisi watatumika kuvuruga chaguzi hizo.

Wito wangu ACT-WAZALENDO mnaziara za ujenzi wa chama, hakikisheni katika ziara zenu pingeni na fanyeni maandamano ya kupinga kinachoendelea.

Soma Pia:
Pia ACT-WAZALENDO msijione mko salama ,hacheni siasa nyepesi, hamko salama kama mnavyofikiri huu wakati ni wakupinga linaloendelea ndani ya nchi hii wapenda Demokrasia tupinge Kinachoendelea CCM imefirisika haina nguvu haina uwezo,nguvu imebaki kwa jeshi la polisi.
ni muhimu zaidi wakazingatia na kutii sheria bila shuruti, ukaidi na kiburi vitakabiliwa dhidi yao na jeshi imara la police bila mbambamba yoyote 🐒
 
Nimeitaja ACT-WAZALENDO kama chama ambacho kidogo kina muonekano kwa jamii leo hii japo siyo kikubwa kuliko CHADEMA.

Kinachoendelea kati ya jeshi la polisi na CHADEMA si uhai kwa vyama vya siasa hasa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kuna kila dalili polisi watatumika kuvuruga chaguzi hizo.

Wito wangu ACT-WAZALENDO mnaziara za ujenzi wa chama, hakikisheni katika ziara zenu pingeni na fanyeni maandamano ya kupinga kinachoendelea.

Soma Pia:
Pia ACT-WAZALENDO msijione mko salama ,hacheni siasa nyepesi, hamko salama kama mnavyofikiri huu wakati ni wakupinga linaloendelea ndani ya nchi hii wapenda Demokrasia tupinge Kinachoendelea CCM imefirisika haina nguvu haina uwezo,nguvu imebaki kwa jeshi la polisi.
Hawa watoto wa bibi wanafichiwa ubwabwa jikoni wale wakimaliza kula ule wanaokula na wenzao.
 
Unazungumzia vyama vipi mkuu🤔.
Hivi mtandao wa Vodacom kwa mfano,wakala wake anaweza kuisema vibaya.

Vyama vyooooote hapa tz pampja na vyombo vyote vya ulinzi na asali, kasoro Chadema ni mawakala wa Ccm.
Greengurd anasauti pale msimbazi sport na anapigiwa salutelize.

Ila Chadema inawalaza macho makayafa yote yasiyojielewa.
Hawajifunzi TU.
Jiwe Yuko wapi,mda mwingine wapeni haki wengine.
 
Nimeitaja ACT-WAZALENDO kama chama ambacho kidogo kina muonekano kwa jamii leo hii japo siyo kikubwa kuliko CHADEMA.

Kinachoendelea kati ya jeshi la polisi na CHADEMA si uhai kwa vyama vya siasa hasa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kuna kila dalili polisi watatumika kuvuruga chaguzi hizo.

Wito wangu ACT-WAZALENDO mnaziara za ujenzi wa chama, hakikisheni katika ziara zenu pingeni na fanyeni maandamano ya kupinga kinachoendelea.

Soma Pia:
Pia ACT-WAZALENDO msijione mko salama ,hacheni siasa nyepesi, hamko salama kama mnavyofikiri huu wakati ni wakupinga linaloendelea ndani ya nchi hii wapenda Demokrasia tupinge Kinachoendelea CCM imefirisika haina nguvu haina uwezo,nguvu imebaki kwa jeshi la polisi.
Kila chama kipambane kivyake chadema hujiona wao ni spesheli

USSR
 
Back
Top Bottom