Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TTCL ndiyo wanawauzia hao tiGo na AirtelTaarifa tu ni kwamba TTCL wananunua bandwich za Internet Tigo, pia mtandao wao haupatikani sehemu kubwa.
🤣🤣🤣Hata Wi-Fi zao walizoweka barabarani kumbe wanatumia vodaTaarifa tu ni kwamba TTCL wananunua bandwich za Internet Tigo, pia mtandao wao haupatikani sehemu kubwa.
Hukusikia waziri mmoja anasema anataka makusanyo ya kodi ya 2 billion sijui kwa mweziKodi ya uchochoroni bila bunge kupitisha kweli
Unajua baadhi ya mawaziri hawajajua kama tupo awamu ya 6, kufuata sheria na utaratibuhukusikia waziri mmoja anasema anataka makusanyo ya kodi ya 2billion sijui kwa mwezi
Kweli wanatupeleka kihapa Kazi tu wakati tushahamaUnajua baaz ya mawaziri hawajajua kama tupo awamu ya 6,kufuata sheria na utaratibu
Bei iongezeke wajinga mtapungua taratibu bila tashwishiIkiwemo na wewe
Bei iongezeke Tena na Tena , wajinga mtapungua tu taratiibuKwa hiyo umefurahi wajinga watapungua... mbona kama wamepata new member
Werevu wanachagua vya kufanya hivyo ni ngumu kupunguza Bali wata-concentrate na mambo ya maana. Wajinga ndio wanatumia Sana bando kwa kuwa hawana Cha maana Cha kufanyaMkuu,
Kwahiyo kupanda kwa bei ya vifurushi haiwezi kuwapunguza waerevu humu mitandaoni???
Dawa ya mjinga ni kumuondoa ujinga wake..
Hakuna ateyegoma, wewe Kama unataka Kigoma endelea kugoma. Nina kuhakikishia wajinga mtapungua tu, Bei iongezekeChamsingi ni kuandaa mgomo wa kutumia mitandao hii hata siku mbili
Watapungua tuwataishaje, wakati bado wanatumia free basics ikiwemo wewe.
But to the contrary, wengi wa watakaobaki mitandaoni watakuwa ni kundi la wajinga!Bei iongezeke maradufu, pengine wajinga watapungua mitandaoni
Hakika tunatofautiana katika uelewe wa werevu kwa sasa werevu wapo online na ukiona mtu anashabikia kupanda kwa gharama ya vitu kuna fuse ipo loose.Werevu wanachagua vya kufanya hivyo ni ngumu kupunguza Bali wata-concentrate na mambo ya maana. Wajinga ndio wanatumia Sana bando kwa kuwa hawana Cha maana Cha kufanya
Anza weweChamsingi ni kuandaa mgomo wa kutumia mitandao hii hata siku mbili