Wito kwa Malinzi ajiuzulu

Wito kwa Malinzi ajiuzulu

tanzania mchezo wetu bao tu, mpira tuwaachie wenyewe.
 
Nadhani issue si kujiuzuru anatakiwa aoneshe kuchukizwa na matokeo haya na achukue hatua Amfukuze huyu Kocha mara moja amrudishe Kim Poulsen haraka sana aichukue timu kujiandaa na mechi ya Nigeria na kwa Kim itakuwa kazi rahisi maana sehemu kubwa ya wachezaji wenye viwango vya kuchezea Taifa Stars kipindi hiki kawatengeneza yeye.

Kumfukuza kochha sio ishu...Ishu ni yeye mwenyewe aondoke...Watu wapya waingie na new thinking.....Kumtimua kocha na kumuacha malinzi ni sawa na kuweka mvinyo mpya kwenye chupa ya zamani
 
Hatuwezi kufungwa kila siku, mpaka timu za ajabu ajabu zinatufunga hata droo tunashindwa?

Malinzi ndo aliyemleta huyu kocha na kumtimua Kim kisa tu alikuwa ameletwa na Tenga, Uongozi wa Malinzi ndo wa hovyo kabisa.

Real Madrid walimfukuza kocha wao kwa kukosa ubingwa mwaka huu na wakati alishawahi kuchukua kombe. Mnaua soka la bongo heri ujiuzulu maana umeshindwa!

hizi ndio bangi malinzi ndio anacheza je tanzania mashindano hayo tumewahi kufanya vizuri mara ngapi
 
Kila mzungu anaweza kuwa kocha wa taifa star hata michezo ameisoma kwenye gazeti naomba mechi ijayo tufungwe goli 7-10
 
Kwa TFF hii na chaguo lao (kocha huyu Nooij) tutafungwa... na nasema tufungwe tu... maana hakuna namna nyingine.
 
nyie si ndio mlimsifia sana wakati anachaguliwa, endeleeni kuugulia maumivu ya vipigo kila siku.

siku hizi sitaki hata kujua stars kacheza na nani sembuse matokeo yake.

Njoo huku tushabikie TWANGA PEPETA
 
mi sioni sababu ya kujiuzulu ila walaumiwe wale waliomchagua wengine hata kabla ya kuchaguliwa tulijua hawezi kuleta mafanikio kwani historia yake ya uongozi inajieleza toka akiwa yanga
 
Hatuwezi kufungwa kila siku, mpaka timu za ajabu ajabu zinatufunga hata droo tunashindwa?

Malinzi ndo aliyemleta huyu kocha na kumtimua Kim kisa tu alikuwa ameletwa na Tenga, Uongozi wa Malinzi ndo wa hovyo kabisa.

Real Madrid walimfukuza kocha wao kwa kukosa ubingwa mwaka huu na wakati alishawahi kuchukua kombe. Mnaua soka la bongo heri ujiuzulu maana umeshindwa!

Mkuu, kwa tanzania kujiuzulu ni ndoto, hata mtu awe muuaji, atagoma tu... uwajibikaji sio lugha yetu

Kuanzia kwenye family hadi ikulu
 
Back
Top Bottom