Wito kwa Malinzi ajiuzulu

Wito kwa Malinzi ajiuzulu

Katika makocha wote waliowahi kuifundisha Taifa stars, mimi namkubali Marcio Maximo tu.

Ila mara nyingine waTZ tuache hii tabia ya kila mtu kujifanya kocha na baadaye kuleta ushabiki wa simba na yanga kwa timu ya Taifa, ushabiki ambao mara nyingine hupelekea kuondoa makocha wazuri...
 
Mkuu toka lini ukaona mkuu wa shirikisho la mpira akajiuzuru kisa timu imefungwa?
Hapa wakulalamikiwa ni wachezaji , hata angekuwa Morinho hii timu kufungwa ingefungwa tu.
Wapeleke maombi FIFA wasipangiwe mechi yoyote ndani ya miaka miwili ili wajitazame kwanza

Wametuaibisha vya kutosha njee ya mipaka ....sasa basi kikosi kiandaliwe upya na hakuna ulazima wa kumleta kocha kutoka njee watafute mvawa apewe majukum,Na hata hawa wachezaji wetu sidhani kama kuwalaum ni dawa hawa wamezidiwa uwezo.Kikosi kisukwe upya hili ndio muhimu na tujitoe kwenye mashindano ya kimataifa kama miaka 2 hivi tujipange ama sivyo tutakuwa mabingwa wa kutoa point kwa wenzetu
 
Nadhani issue si kujiuzuru anatakiwa aoneshe kuchukizwa na matokeo haya na achukue hatua Amfukuze huyu Kocha mara moja amrudishe Kim Poulsen haraka sana aichukue timu kujiandaa na mechi ya Nigeria na kwa Kim itakuwa kazi rahisi maana sehemu kubwa ya wachezaji wenye viwango vya kuchezea Taifa Stars kipindi hiki kawatengeneza yeye.

Kudadadeki Malinzi cjui kwann alimfukuza KIM aisee. Naamini saivi national team ingekuwa inajiamini sana na ingetoa upinzani stahiki kwa wapinzani.
 
Nahisi Malinzi anakula 10% mshahara wa Nooij
 
Wametuaibisha vya kutosha njee ya mipaka ....sasa basi kikosi kiandaliwe upya na hakuna ulazima wa kumleta kocha kutoka njee watafute mvawa apewe majukum,Na hata hawa wachezaji wetu sidhani kama kuwalaum ni dawa hawa wamezidiwa uwezo.Kikosi kisukwe upya hili ndio muhimu na tujitoe kwenye mashindano ya kimataifa kama miaka 2 hivi tujipange ama sivyo tutakuwa mabingwa wa kutoa point kwa wenzetu

Hamna hata haja ya kumtafuta kocha wa nje mwenyewe gharama,Ghana walikuwa na kocha wao kwenye kombe la dunia
 
Kudadadeki Malinzi cjui kwann alimfukuza KIM aisee. Naamini saivi national team ingekuwa inajiamini sana na ingetoa upinzani stahiki kwa wapinzani.

Kim alikuwa mtu sahihi kwa stars...alishakaa na timu kwa zaidi ya miaka mitano...timu ilikua inaeleweka....halafu hata sababu za kufukuzwa kwa kim huyu malinzi hajawahi kuzitoa zikawashawishi wadau wa mpira
 
Kocha wa Mwisho kuifundisha Stars alikuwa Marcio Maximo

Sina uhakika....ila ukweli ni kwamba maximo alileta mwamko wa watu kuipenda timu yetu...Kim alikuwa anaweka misingi ya soka...na mazao yalianza kuonekana...Timu ilikuwa inaeleweka.....ilikua unaweza kuitegemea kushinda
 
Sina uhakika....ila ukweli ni kwamba maximo alileta mwamko wa watu kuipenda timu yetu...Kim alikuwa anaweka misingi ya soka...na mazao yalianza kuonekana...Timu ilikuwa inaeleweka.....ilikua unaweza kuitegemea kushinda
Mkuu upo sahihi, kipindi Maximo anainoa taifa starz kila mtanzania alikuwa na hamasa ya kuishangilia timu ya taifa,
Maximo alijitahidi walau tukafika fainal za CHAN, lakini pia wachezaji walikuwa wanacheza mpira huku wakiwa na uzalendo na taifa lao.
Alipokuja KIM akaanza kuijenga timu tena akitumia wachezaji vijana ambao walikuwa na ari ya kulifikisha mbali soka letu, nchi jirani wakaanza kutuogopa, tukacheza na timu kubwa barani afrika huku tukiwa na uhakika wa kupata matokeo mazuri,...
Masikin Jamal Malinzi alipotangazwa tu kuwa prezidaa pale tff akaanza kuiharibu timu yetu, akamtimua kim bila sababu za msingi, hapo ndipo watz wakaanza kuichukia TAIFA STARS.
 
malinzi hata kama hutaondoka lakini baadhi ya wadau tumeshaonesha kutokuwa na imani na wewe...please do something maumivu ya moyo yanazidi...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom