Kosa kubwa mnalofanya kwenye ushauri wenu ni kumshauri agombee kupitia CCM wakati mnajua kwamba hataenda popote. Can you guys come out of box and think of a life without CCM? Yaani nyie watu hili limbwata la CCM hali-expire tu?
Sasa wewe mkuu na mwalimu wangu unaleta maada nyingine hapa kweli akiamuwa kugombea CHADEMA atapita kweli?? kama Zitto tu hata ktk mchakato wa uchaguzi ilishindikana duu kweli haya makuu!!
Hivi ni lipi nusu shari kati ccm walilomfanyia Mzee salim kwa kumchafua ktk kampeni lakini kagombea na lile la Zitto kutoruhusiwa kutogombea kabisa ktk CHADEMA na bado kuchafuliwa kukawa pale pale.?
Mimi naona wote na wewe ukiwemo tuanglie nje ya box pia.