Bahati mbaya Azam vi Seatax havivushi magari.Mtu awekeze mabilioni alafu wewe kajamba nani unakuja kulazimisha bei, ukiona huwezi kulipia panda hizo za wenzako akina kajamba nani waachie wenye uwezo na level ya hizi za bakhresa, KELBU wahed
Pole sana mwanachuo uliotoka bush huko na kujifanya unalijua jiji, narudia apande hizo za mia mbili usije ukamaliza boomBahati mbaya Azam vi Seatax havivushi magari.
Maskini mlio wengi ndio mnaongoza kwa kuwatukuza matajiri.
nonsense 😠
Acha uongoSi kweli sea tax analipwa na serikali kwahyo vivuko Bei inapanda badala ya 200 inakuwa 500 haijalishi unapanda kipi
Panda cha hadhi yakoTunaomba mamlaka iangalie upya hii bei ya kuvuka Kigamboni to kivukoni kwa Seatax Sh500 ni ongezeko kubwa mno maana ni zaidi ya 100% bei tunayo panda kwenye vivuko vya serekali hii hawajatusaidia wametuongezea tatizo..
Na kivuko wanaamuaje bei?Umbali wa barabara hupimwa per km
Kwani Mwanzo sea tax ilikuwa sh ngap? Na unajua sababu ya kufanya 500?Acha uongo
HojaWasiangalie. Na badili yake serikali iige na kuleta daladala za viwango vya vip.
Daladala ambazo hazotoshimamisha abiria. Daladala ambazo nauli yake itakuwa mata mbili ya nauli za kawaida.
Kwa maana hiyo mifuko cha serikali kiendelee kwa bei ya sh 200. Lkn viboko vya azam waweke sh 505 sawa na vip.
Na daladala zina hitaji hilo pia
Jamnjajambo zuri sna hiloWasiangalie. Na badili yake serikali iige na kuleta daladala za viwango vya vip.
Daladala ambazo hazotoshimamisha abiria. Daladala ambazo nauli yake itakuwa mata mbili ya nauli za kawaida.
Kwa maana hiyo mifuko cha serikali kiendelee kwa bei ya sh 200. Lkn viboko vya azam waweke sh 505 sawa na vip.
Na daladala zina hitaji hilo pia
Mfumo wa uendeshaji umebadilika ndio sababu mwanzo nauli ilikua 200tshs na serikali ilikua inakusanya makusanyo yote ndipo inamlipa azam lakini sasahivi azam anakusanya mapato yake ndipo na yeye analipa serikali.Kwani Mwanzo sea tax ilikuwa sh ngap? Na unajua sababu ya kufanya 500?
Kwanini wasiweke vivuko vilivyo Bora wananchi wakalipia Bei moja kama awali?Mfumo wa uendeshaji umebadilika ndio sababu mwanzo nauli ilikua 200tshs na serikali ilikua inakusanya makusanyo yote ndipo inamlipa azam lakini sasahivi azam anakusanya mapato yake ndipo na yeye analipa serikali.
Mwanzoni alipewa tender na temesa ila sasahivi kaingia kama mwekezaji kipi usichoelewa?
Hata hicho kimoja watakiua pia.Kwanini wasiweke vivuko vilivyo Bora wananchi wakalipia Bei moja kama awali?
Mbona mwanzo vilikuwa vinarun vivuko vitatu?
Wameshaweka mazingira ya upigaji, Kwa utaratibu huo vivuko vya umma havitaongezwa Tena wala kuboreshwa kitabaki kilekile kimoja ili bakhresa na aliye nyuma yake waendelee kupiga hela za watanzania.
Hatari sana