Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

Umetoka namanyele juzi unabwabwaja wameua kivuko,vivuko kivukoni ni saratani ya muda mrefu
Unatetea kitu usochojua au umeamua tu kuwa chawa ila ukweli unaujua. Ndio wameua vivuko makusudi ili wampe Azam kazi.
Miaka michache nyuma hapo palikuwa na vivuko vitatu. Mv Magogon,Kigamboni na Kazi. Vyotw vilikuwa vinafanya kazi vizuri kabisa. Mimi mwenyewe nilikuwa natumia kivuko niliachana na daraja. Hapo saa moja na nusu au saa mbili nilikuwa navuka ndani ya 25minutes. Ghafla wameingia hawa wala kwa urefu wa kamba vivuko vineanza kuharibika na kuachwa vioze kimoja kimoja. Na kwa kumaliza kabisa wakaamua wapeleke kivuko kimubwa kikatemgenezwe Mombasa kisa mtengenezaji mzawa Kagoma kuendana na matakwa yao. Sasa mwaka wa tatu kivuko kimo huko Mombasa na hata hatujui nini kinaendelea na hakuna anaehoji. Ni ujinga ujjnga tu ili mradi wapeane ulaji na 10% hakuna chochote cha ajabu ambacho Azam anaweza kufanya kiwashinde serikali na vivuko vyao ni uhujumu tu.
 
Wasiangalie. Na badili yake serikali iige na kuleta daladala za viwango vya vip.

Daladala ambazo hazotoshimamisha abiria. Daladala ambazo nauli yake itakuwa mata mbili ya nauli za kawaida.

Kwa maana hiyo mifuko cha serikali kiendelee kwa bei ya sh 200. Lkn viboko vya azam waweke sh 505 sawa na vip.

Na daladala zina hitaji hilo pia

Hii idea ya VIP wangeipeleka kwenye mwendokasi. Kuwe na mabasi ya haraka bila kujazana kama viazi.

Mbona kwenye mabasi ya mikoani kuna madaraja tofauti ya usafiri kulingana na bei abiria anayo lipa!?
 
Umetoka namanyele juzi unabwabwaja wameua kivuko,vivuko kivukoni ni saratani ya muda mrefu
Kuna pantoni moja tu inayofanya kazi sasa, na kulikuwa na vivuko viwili, MV Kazi na Mv Magogoni. Sasa ulichoandika ni kama ile press ya Jeshi la Polisi kuhusu kutekwa kwa Mo Dewji
 
Unatetea kitu usochojua au umeamua tu kuwa chawa ila ukweli unaujua. Ndio wameua vivuko makusudi ili wampe Azam kazi.
Miaka michache nyuma hapo palikuwa na vivuko vitatu. Mv Magogon,Kigamboni na Kazi. Vyotw vilikuwa vinafanya kazi vizuri kabisa. Mimi mwenyewe nilikuwa natumia kivuko niliachana na daraja. Hapo saa moja na nusu au saa mbili nilikuwa navuka ndani ya 25minutes. Ghafla wameingia hawa wala kwa urefu wa kamba vivuko vineanza kuharibika na kuachwa vioze kimoja kimoja. Na kwa kumaliza kabisa wakaamua wapeleke kivuko kimubwa kikatemgenezwe Mombasa kisa mtengenezaji mzawa Kagoma kuendana na matakwa yao. Sasa mwaka wa tatu kivuko kimo huko Mombasa na hata hatujui nini kinaendelea na hakuna anaehoji. Ni ujinga ujjnga tu ili mradi wapeane ulaji na 10% hakuna chochote cha ajabu ambacho Azam anaweza kufanya kiwashinde serikali na vivuko vyao ni uhujumu tu.
Serikali inalalia watu wake!!
 
Hela walizowekeza sio ndogo
Niliwaza kutafuta wabia wawili tulipe tugawane gharama
Ila kwa kuwa wameishawaza na kuwazua kwa serikali hii basi acha niwaze kivingine maana China wanazo za kuanzia watu 100
Mfano upo hapa
Haya kazi kwenu
Ila kwa bei hizo ni sawa maana bei zake sio mchezo View attachment 3203409
Mshahara wa wiki wa mchezaji pale EPL
 
Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Kama huwezi lipa tsh 500 piga mbizi
 
Nashangaa kwann serikali haitaki kujenga daraja eneo hilo ingali ni umbali mfupi sana...Sijui kuna kikwazo gani pale...Au kwakua meli kubwa hupita pale, lakini sidhani kama hakuna means ya kutatua hilo.
 
Hapa cha kusisitiza ni kuhakikisha tu hizo za mia mbili ziwepo. Ndio maana hata tunapotamani Mwendokasi iendeshwe na Mtu binafsi basi pia tujiandae kisaikolojia.
 
Nashangaa kwann serikali haitaki kujenga daraja eneo hilo ingali ni umbali mfupi sana...Sijui kuna kikwazo gani pale...Au kwakua meli kubwa hupita pale, lakini sidhani kama hakuna means ya kutatua hilo.
Labda miaka 20 ijayo
 
Ukitaka kizuri basi uwe tayari kugharamia. Kwani cha 200 kimefutwa? Si bado kipo? Ukiona huwezi kulipa 500 nenda kwenye 200.

Mtu kaingia gharama kuweka vivuko bora zaidi ya serikali halafu bado unataka aweke bei sawa na ya serikali?

Kuna anaekula ubwaba na nyama kwa buku jero na kuna anekula ubwabwa huo huo kwa elfu kumi na tano. Ni swala la kipato na maamuzi.
Jamaa ana hoja ingawa haipo clear, ni kwamba Govt ilikuwa na uwezo wa kufanya tax exemption au kutoa ruzuku kidogo ili angala tofauti isiwe kubwa walau TZS 300 kwa vivuko hvy
 
Nashangaa kwann serikali haitaki kujenga daraja eneo hilo ingali ni umbali mfupi sana...Sijui kuna kikwazo gani pale...Au kwakua meli kubwa hupita pale, lakini sidhani kama hakuna means ya kutatua hilo.
kwani mkuu toka kigamboni hadi magogoni kuna umbali wa urefu wa KM au mita ngapi hata mm naona daraja muhimu sana au umbali utakuwa umezidi lile daraja la tanzanite kigamboni.!
 
Back
Top Bottom