Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Kigamboni haina wanafunzi wengi kuliko watu wengine, mpaka leo unataka kulipa 200 kuvuka!?
 
Wameua kile kivuko kimoja ili vibaki vivuko vya azam na matokeo ndio kama hayo, bei kuongezeka.

Watengeneze kivuko walichokiharibu ilhali wananchi wanalipa nauli, serikali ilete vivuko vingi. Suala la kuvuka sio la kibiashara ni la lazima, ni jukumu la serikali kupitia kodi za wananchi.
Umetoka namanyele juzi unabwabwaja wameua kivuko,vivuko kivukoni ni saratani ya muda mrefu
 
Ukitaka kizuri basi uwe tayari kugharamia. Kwani cha 200 kimefutwa? Si bado kipo? Ukiona huwezi kulipa 500 nenda kwenye 200.

Mtu kaingia gharama kuweka vivuko bora zaidi ya serikali halafu bado unataka aweke bei sawa na ya serikali?

Kuna anaekula ubwaba na nyama kwa buku jero na kuna anekula ubwabwa huo huo kwa elfu kumi na tano. Ni swala la kipato na maamuzi.
Waliwahi kuambiwa huko nyuma... kaMaHaWawezikulipawapiGeMbIzI
 
Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Siku utakapokuja kugundua kuwa hiyo mia3 iliyoongezeka ni ya serikali ndio utaelewa somo, AZAM hapo ni dalali wa ukusanyaji tu, mwenye mali ni sirikali
 
Hapa ndio ukiskia kula urefu wa kamba yako ndio hii sasa. Wenye nguvu na haraka wata kwenda kwenye express walalahoi wata pambana na vya wote. Maisha ndio yalivyo hatuwezi kuwa sawa, gap kati ya maskini na matajiri lazima ziwepo hapa ni clear picture infront of ur naked eyes kuwa una hitaji kuongeza mapambano yako vinginevyo uwe vumilivu vya wengi siku zote havina urahisi na hayo ndio maisha tume jitakia na tumetengenezewa na wenye nchi yetu.
 
Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Au watengeneze utaratibu wa nauli kwa ajili ya wanafunzi tu. Na hapa siyo kwamba anayeumia ni mwanafunzi peke yake hapana; wazazi pia
 
Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Kuna mwehu mmoja alisema wapige mbizi.
Vipi kupiga mbizi imekuwa mitihani?
 
Au watengeneze utaratibu wa nauli kwa ajili ya wanafunzi tu. Na hapa siyo kwamba anayeumia ni mwanafunzi peke yake hapana; wazazi pia
Wanavyuo Kigamboni ni wengi sana.
Kipindi wakiwa Likizo wavukaji huwa wachache sana
 
Always mfanyabiashara anachoangalia ni faida,hata kama bei za sasa zinamlipa kwa hulka ya wafanyabiashara dunia nzima ni kuongeza wigo wa kukusanya faida zaidi.

Na kama serikali imeshindwa kufanya anachokifanya still hayupo wa kumpangia bei labda itegemewe huruma yake tu ndiyo itakayoamua hatma.
Nchi ikiendeshwa hivi wanaoteseka ni wananchi
 
Back
Top Bottom