Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

Mkuu you can not have your cake and eat it too... Kwahio kama ni mtu binafsi amewekeza na usimpangie bei.., muache yeye afanye anavyojua huenda yeye target yake ni premium customers...

Dawa ya hili jambo Serikali iwe na Vivuko vyake vya UMMA vya kutoa huduma (yaani hapa kigezo iwe affordability) ?

Lakini kutokana na Upeo wetu mfupi hata vya UMMA vyote na kila kilicho cha UMMA nacho tunataka kubinafisha...

 
Wameua kile kivuko kimoja ili vibaki vivuko vya azam na matokeo ndio kama hayo, bei kuongezeka.

Watengeneze kivuko walichokiharibu ilhali wananchi wanalipa nauli, serikali ilete vivuko vingi. Suala la kuvuka sio la kibiashara ni la lazima, ni jukumu la serikali kupitia kodi za wananchi.
 
Mkuu you can not have your cake and eat it too... Kwahio kama ni mtu binafsi amewekeza na usimpangie bei.., muache yeye afanye anavyojua huenda yeye target yake ni premium customers...

Dawa ya hili jambo Serikali iwe na Vivuko vyake vya UMMA vya kutoa huduma (yaani hapa kigezo iwe affordability) ?

Lakini kutokana na Upeo wetu mfupi hata vya UMMA vyote na kila kilicho cha UMMA nacho tunataka kubinafisha...

Izingatiwe kuwa suala la vivuko sio biashara huria. Ni serikali tu ndio yenye mamlaka ya kuwa na vivuko. Kwa hiyo hata Azam kuwa na kivuko ilikuwa ni kwa ruhusa na makubaliano maalum, kwa hiyo makubaliano hayo yasitumike kama mwanya wa viongozi kujipigia hela kwa mgongo wa Azam
 
Izingatiwe kuwa suala la vivuko sio biashara huria. Ni serikali tu ndio yenye mamlaka ya kuwa na vivuko. Kwa hiyo hata Azam kuwa na kivuko ilikuwa ni kwa ruhusa na makubaliano maalum, kwa hiyo makubaliano hayo yasitumike kama mwanya wa viongozi kujipigia hela kwa mgongo wa Azam
Sawa sawa, kingine serikali uchek kama kuna uwezekano wa kusubsize au kutoa unafuu wa kikodi kwa azam, tusilazimishe bei iwe nafuu tu
 
Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Serikali ijenge daraja, iache kukimbia kivuli chake
 
Wameua kile kivuko kimoja ili vibaki vivuko vya azam na matokeo ndio kama hayo, bei kuongezeka.

Watengeneze kivuko walichokiharibu ilhali wananchi wanalipa nauli, serikali ilete vivuko vingi. Suala la kuvuka sio la kibiashara ni la lazima, ni jukumu la serikali kupitia kodi za wananchi.
Serikali imeamua kufanya kuwa biashara
 
Izingatiwe kuwa suala la vivuko sio biashara huria. Ni serikali tu ndio yenye mamlaka ya kuwa na vivuko. Kwa hiyo hata Azam kuwa na kivuko ilikuwa ni kwa ruhusa na makubaliano maalum, kwa hiyo makubaliano hayo yasitumike kama mwanya wa viongozi kujipigia hela kwa mgongo wa Azam
Iwe Soko Huria ila Serikali iwe na mali yake na Vivuko vyake na wala isiwe UBIA wala PPPs Serikali ihusike hundred percent kwenye hizi huduma ila mtu asikatazwe kutoa Huduma hizo kwa faida hata kama akitaka acharge kwa milioni kila mteja all the best..., unless kama anatumia limited facility ambayo Serikali haiwezi kufanya hivyo sehemu nyingine au mtu mwingine sehemu nyingine sioni tatizo la kumkata mtu kuwekeza as they see fit... hio itakuwa ni chochote kati ya hizi hapa chini
1737021055745.png

Binafsi nachopenda kila mtu afanye anachofanya kwa faida yake wala asikatazwe ila sababu UMMA tunatoa KODI basi sio Hisani inabidi na ni lazima watupe hizo HUDUMA as long as wanakusanya KODI (Market Socialism)

 
Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Serikali inavyowaona wananchi wake kama maadui namba moja wa nchi. Hiyo gharama haitoshuka

Vivukovya distance ya kigamboni ni bure duniani kote kasoro Tanzania tu
 
Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
itabidi wajifunze kuogelea aisee!!
 
Back
Top Bottom