Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Hapo serikali imeongeza tozo kwa Azam.Akuna nammna mchawi serikali yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu fafanua kidogo hapo tusioelewa neno hilo kwa upanaAzam, tumetengeza Songoro
Izingatiwe kuwa suala la vivuko sio biashara huria. Ni serikali tu ndio yenye mamlaka ya kuwa na vivuko. Kwa hiyo hata Azam kuwa na kivuko ilikuwa ni kwa ruhusa na makubaliano maalum, kwa hiyo makubaliano hayo yasitumike kama mwanya wa viongozi kujipigia hela kwa mgongo wa AzamMkuu you can not have your cake and eat it too... Kwahio kama ni mtu binafsi amewekeza na usimpangie bei.., muache yeye afanye anavyojua huenda yeye target yake ni premium customers...
Dawa ya hili jambo Serikali iwe na Vivuko vyake vya UMMA vya kutoa huduma (yaani hapa kigezo iwe affordability) ?
Lakini kutokana na Upeo wetu mfupi hata vya UMMA vyote na kila kilicho cha UMMA nacho tunataka kubinafisha...
Uwekezaji TEMESA (PPPs) kama Watanzania tuwekeze hata kwa Ushauri
Baada ya kuona tunaitwa kuwekeza kwa UBIA kwenye VIVUKO; nikaingia kwenye TOVUTI yao kuona hawa jamaa wanafanya nini katika Huduma ya VIVUKO Home | TEMESA Sehemu ya Uendeshaji na Usalama wa Vivuko Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo: (i) Kuandaa mpango kazi wa muda mrefu na muda mfupi kwa...www.jamiiforums.com
Sawa sawa, kingine serikali uchek kama kuna uwezekano wa kusubsize au kutoa unafuu wa kikodi kwa azam, tusilazimishe bei iwe nafuu tuIzingatiwe kuwa suala la vivuko sio biashara huria. Ni serikali tu ndio yenye mamlaka ya kuwa na vivuko. Kwa hiyo hata Azam kuwa na kivuko ilikuwa ni kwa ruhusa na makubaliano maalum, kwa hiyo makubaliano hayo yasitumike kama mwanya wa viongozi kujipigia hela kwa mgongo wa Azam
Mkuu, hongera kwa kuunda neno jipya.kusubsize
Serikali ijenge daraja, iache kukimbia kivuli chakeNapongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.
Ni jambo jema japo lilichelewa.
Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)
Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.
Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.
Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.
Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Serikali imeamua kufanya kuwa biasharaWameua kile kivuko kimoja ili vibaki vivuko vya azam na matokeo ndio kama hayo, bei kuongezeka.
Watengeneze kivuko walichokiharibu ilhali wananchi wanalipa nauli, serikali ilete vivuko vingi. Suala la kuvuka sio la kibiashara ni la lazima, ni jukumu la serikali kupitia kodi za wananchi.
Iwe Soko Huria ila Serikali iwe na mali yake na Vivuko vyake na wala isiwe UBIA wala PPPs Serikali ihusike hundred percent kwenye hizi huduma ila mtu asikatazwe kutoa Huduma hizo kwa faida hata kama akitaka acharge kwa milioni kila mteja all the best..., unless kama anatumia limited facility ambayo Serikali haiwezi kufanya hivyo sehemu nyingine au mtu mwingine sehemu nyingine sioni tatizo la kumkata mtu kuwekeza as they see fit... hio itakuwa ni chochote kati ya hizi hapa chiniIzingatiwe kuwa suala la vivuko sio biashara huria. Ni serikali tu ndio yenye mamlaka ya kuwa na vivuko. Kwa hiyo hata Azam kuwa na kivuko ilikuwa ni kwa ruhusa na makubaliano maalum, kwa hiyo makubaliano hayo yasitumike kama mwanya wa viongozi kujipigia hela kwa mgongo wa Azam
Basi hazitakuwa na gharama kubwa sana kwa upande wa usafirishajiI mean hizo Sea Tax za Azam zimetengenezwa hapa hapa Kigamboni
Songoro marine-hawa ni watengenezaji wa vivuko,boti na meli za abiria na mizigo..Basi hazitakuwa na gharama kubwa sana kwa upande wa usafirishaji
Je ni makampuni gani wanaotengeneza hizo kama unataka kwa specification zako
Serikali inavyowaona wananchi wake kama maadui namba moja wa nchi. Hiyo gharama haitoshukaNapongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.
Ni jambo jema japo lilichelewa.
Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)
Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.
Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.
Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.
Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Hapo nimeelewa vizuri MkuuSongoro marine-hawa ni watengenezaji wa vivuko,boti na meli za abiria na mizigo..
itabidi wajifunze kuogelea aisee!!Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.
Ni jambo jema japo lilichelewa.
Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)
Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.
Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.
Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.
Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
Duh duniani kote kasoro Tanzania?Serikali inavyowaona wananchi wake kama maadui namba moja wa nchi. Hiyo gharama haitoshuka
Vivukovya distance ya kigamboni ni bure duniani kote kasoro Tanzania tu