Wito kwa TEC: Waraka wa Maaskofu usomwe makanisani nchi nzima hadi 2025 ipite

Wito kwa TEC: Waraka wa Maaskofu usomwe makanisani nchi nzima hadi 2025 ipite

Rc imekuwepo kwa zaidi ya miaka 600 likiwa limeimarika kikamilifu ulimwenguni kote,,,,taifa letu Lina miaka 60 tu ya kujitawala tena bado kunahitaji wahisani ili kujiendesha,,,,,

Kifupi taifa Ni changa kuliko Rc
RC iko tangu 33 AD yaani ni dhehebu lina miaka takriban 2000 siyo miaka 600
 
Nadhani ni muhimu sana kuendelea kukumbushana mara kwa mara na kwa kina juu ya nini hasa kinahojiwa kuhusiana na kuuzwa kwa Tanganyika kwa ujumla wake.

Japo ukisema Tanganyika imeuzwa wanakwambia lete ushahidi kwamba nchi imeuzwa, sasa tujiulize, lengo la kutaka kubadili sheria ya kulinda maliasili ya mwaka 2017 lilikuwa ni lipi? Ile sheria ina ubaya gani?!

Hivyo basi, natoa wito huu waraka uwe kama sala tu, na tuuzoee kuusali hadi October 2025, baada ya hapo tunamuachia Mungu..., usomwe non- stop!




Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Keep this thread hadi 2025 mkuu

Maana hujaona kabisa kwamba tables have turned
 
Nadhani ni muhimu sana kuendelea kukumbushana mara kwa mara na kwa kina juu ya nini hasa kinahojiwa kuhusiana na kuuzwa kwa Tanganyika kwa ujumla wake.

Japo ukisema Tanganyika imeuzwa wanakwambia lete ushahidi kwamba nchi imeuzwa, sasa tujiulize, lengo la kutaka kubadili sheria ya kulinda maliasili ya mwaka 2017 lilikuwa ni lipi? Ile sheria ina ubaya gani?!

Hivyo basi, natoa wito huu waraka uwe kama sala tu, na tuuzoee kuusali hadi October 2025, baada ya hapo tunamuachia Mungu..., usomwe non- stop!




Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
wausome everyday hadi wanaojifanya hawasikii wasikie. na cha muhimu zaidi ili kuwafanya wananchi wasiichague tena ccm inayouza bandari yao.
 
wausome everyday hadi wanaojifanya hawasikii wasikie. na cha muhimu zaidi ili kuwafanya wananchi wasiichague tena ccm inayouza bandari yao.
Kabisa, as many times as possible, as often as possible
 
Wimbi la kurudisha kadi litaongezeka sana, Wacha waraka uendelee kusomwa.
Tukubaliane mapema ili Kanisa likishindwa tujue na likishinda tujue

mwanzo tuliambiwa Waraka wa kupinga uwekezaji ukitolewa basi Serikali lazima ifyate na ijitoe kwny makubalino lakini sasa tunaskia na Gati zilizobaki nazo zimetangazwa tenda kutafuta u
muekezaji

sasa pia mtuambie kama mnapambana na Serikali katika uchaguzi ujao kupitia kile Chama chenu ili matokeo ya uchaguzi yakitoka tukitoa pole tujue na nyie mtahusika au mtajitenga nao?
 
Nadhani ni muhimu sana kuendelea kukumbushana mara kwa mara na kwa kina juu ya nini hasa kinahojiwa kuhusiana na kuuzwa kwa Tanganyika kwa ujumla wake.

Japo ukisema Tanganyika imeuzwa wanakwambia lete ushahidi kwamba nchi imeuzwa, sasa tujiulize, lengo la kutaka kubadili sheria ya kulinda maliasili ya mwaka 2017 lilikuwa ni lipi? Ile sheria ina ubaya gani?!

Hivyo basi, natoa wito huu waraka uwe kama sala tu, na tuuzoee kuusali hadi October 2025, baada ya hapo tunamuachia Mungu..., usomwe non- stop!




Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Someni mpk 2030 anapotoka madarakani
 
Wiki sita ni muda mzuri sana, hapo hakuna kichwa kitakachousahau unyama tuliofanyiwa watanganyika na Samia, baada ya hapo naamini, kuna hatua nyingine zitafuata, kama sio za kimwili, basi zitakuwa za kiroho.

Mimi kwa upande wangu nimeshaanza kuziona dalili za mtu aliyekata tamaa, aliyepoteza mwelekeo, anayelazimisha kwenda na njia zake tofauti na wale anaowaongoza, ndio naendelea kumtazama huyo mjinga niuone mwisho wa safari yake utakuwa vipi.
Wiki 6 haziwatoshi nyie mana mna vichwa vigumu sana. Inatakiwa msomewe ma kukaririshwa huo waraka wenu mpk 2030 labda....
 
Hiyo RC unao ongelea haiku Tz we jidanganye bure neenda nchi jirani Rwanda, Uganda, kenya uona kama RC anaweza kupewa hata uraisi, nyie mna mob saikoloje inawasumbua, achana na dola.
Huku TZ kanisa lilibebwa sana na serikali ya Nyenyere mpk sasa wanampa utukufu
 
Huu waraka kusomwa kila Dominika kwa weny akili wanajua itakavyoleta impact kuelekea 2025. Mwanadam akishaambiwa jambo sio zuri tena kiiman kweny nyumba za ibada humuingia vzr moyon na kuchukia hilo jambo!! NB: Kwa wenye akili tu ndio wataelewa athari yake!!
Tufanye RC wote wameelewa waraka wenu, unadhani wataenda chama gani ambacho katoliki itapata tena ushawishi kama ilivyojikita CCM
 
wausome everyday hadi wanaojifanya hawasikii wasikie. na cha muhimu zaidi ili kuwafanya wananchi wasiichague tena ccm inayouza bandari yao.
Wakatoliki wote msiipe kura CCM, lkn nakuhakikishia kwa kwa katiba hii mnajichosha tu
 
Tukubaliane mapema ili Kanisa likishindwa tujue na likishinda tujue

mwanzo tuliambiwa Waraka wa kupinga uwekezaji ukitolewa basi Serikali lazima ifyate na ijitoe kwny makubalino lakini sasa tunaskia na Gati zilizobaki nazo zimetangazwa tenda kutafuta u
muekezaji

sasa pia mtuambie kama mnapambana na Serikali katika uchaguzi ujao kupitia kile Chama chenu ili matokeo ya uchaguzi yakitoka tukitoa pole tujue na nyie mtahusika au mtajitenga nao?
Hawatokujibu...
 
Tufanye RC wote wameelewa waraka wenu, unadhani wataenda chama gani ambacho katoliki itapata tena ushawishi kama ilivyojikita CCM
Kanisa halihitaji ushawishi hata kdg, pia wakubwa zako ndio wanajua RC ni nan na wananguv gan!! Wew kabwela hakuna ujuacho!!
 
Tukubaliane mapema ili Kanisa likishindwa tujue na likishinda tujue

mwanzo tuliambiwa Waraka wa kupinga uwekezaji ukitolewa basi Serikali lazima ifyate na ijitoe kwny makubalino lakini sasa tunaskia na Gati zilizobaki nazo zimetangazwa tenda kutafuta u
muekezaji

sasa pia mtuambie kama mnapambana na Serikali katika uchaguzi ujao kupitia kile Chama chenu ili matokeo ya uchaguzi yakitoka tukitoa pole tujue na nyie mtahusika au mtajitenga nao?
KANISA huwezi litenga na siasa,

Wakiwa Kanisani ni waumini, wakiwa ktk mabus ni wasafiri, wakiwa kazini ni wafanyakazi, wakiwa ziwani ni wavuvi, wakiwa hospitali ni wagonjwa, wakiwa jukwaani ni wanasiasa. Wakiwa shambani ni wakulima, nk nk

We are one people, Tanzanians.
 
KANISA huwezi litenga na siasa,

Wakiwa Kanisani ni waumini, wakiwa ktk mabus ni wasafiri, wakiwa kazini ni wafanyakazi, wakiwa ziwani ni wavuvi, wakiwa hospitali ni wagonjwa, wakiwa jukwaani ni wanasiasa. Wakiwa shambani ni wakulima, nk nk

We are one people, Tanzanians.
Wala usijihangaishe kujibizana na hao maroboti wa kulipwa, utajichosha bure
 
KANISA huwezi litenga na siasa,

Wakiwa Kanisani ni waumini, wakiwa ktk mabus ni wasafiri, wakiwa kazini ni wafanyakazi, wakiwa ziwani ni wavuvi, wakiwa hospitali ni wagonjwa, wakiwa jukwaani ni wanasiasa. Wakiwa shambani ni wakulima, nk nk

We are one people, Tanzanians.
Watanzania wana akili na maarifa ya kutosha

jitihada za kuwachochea zimeshafanyika na zinaendelea kufanyika sana ila watabaki wamoja siku zote

unaweza kutumia ushawishi wako wa kiimani au wa vyovyote ukaona mama vile wamekukubali kumbe akili kumkichwa
 
Back
Top Bottom