RC iko tangu 33 AD yaani ni dhehebu lina miaka takriban 2000 siyo miaka 600Rc imekuwepo kwa zaidi ya miaka 600 likiwa limeimarika kikamilifu ulimwenguni kote,,,,taifa letu Lina miaka 60 tu ya kujitawala tena bado kunahitaji wahisani ili kujiendesha,,,,,
Kifupi taifa Ni changa kuliko Rc
Keep this thread hadi 2025 mkuuNadhani ni muhimu sana kuendelea kukumbushana mara kwa mara na kwa kina juu ya nini hasa kinahojiwa kuhusiana na kuuzwa kwa Tanganyika kwa ujumla wake.
Japo ukisema Tanganyika imeuzwa wanakwambia lete ushahidi kwamba nchi imeuzwa, sasa tujiulize, lengo la kutaka kubadili sheria ya kulinda maliasili ya mwaka 2017 lilikuwa ni lipi? Ile sheria ina ubaya gani?!
Hivyo basi, natoa wito huu waraka uwe kama sala tu, na tuuzoee kuusali hadi October 2025, baada ya hapo tunamuachia Mungu..., usomwe non- stop!
Dawa ya mtu aliyeziba masikio ni kumuwekea loud speaker, kazi iendelee
Nimesikia kwamba Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Samiah Sukuhu Hassan hataki kusikia maoni ya wananchi wake juu ya mkataba wenye ukakasi wa ugawaji bure wa Bandari zote za Tanganyika. Sina shaka habari hizi ni za ukweli, maana nimeona video clip, na it seems aunthentic. Sasa hapa kuna maswali...www.jamiiforums.com
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Fafanua tafadhaliKeep this thread hadi 2025 mkuu
Maana hujaona kabisa kwamba tables have turned
wausome everyday hadi wanaojifanya hawasikii wasikie. na cha muhimu zaidi ili kuwafanya wananchi wasiichague tena ccm inayouza bandari yao.Nadhani ni muhimu sana kuendelea kukumbushana mara kwa mara na kwa kina juu ya nini hasa kinahojiwa kuhusiana na kuuzwa kwa Tanganyika kwa ujumla wake.
Japo ukisema Tanganyika imeuzwa wanakwambia lete ushahidi kwamba nchi imeuzwa, sasa tujiulize, lengo la kutaka kubadili sheria ya kulinda maliasili ya mwaka 2017 lilikuwa ni lipi? Ile sheria ina ubaya gani?!
Hivyo basi, natoa wito huu waraka uwe kama sala tu, na tuuzoee kuusali hadi October 2025, baada ya hapo tunamuachia Mungu..., usomwe non- stop!
Dawa ya mtu aliyeziba masikio ni kumuwekea loud speaker, kazi iendelee
Nimesikia kwamba Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Samiah Sukuhu Hassan hataki kusikia maoni ya wananchi wake juu ya mkataba wenye ukakasi wa ugawaji bure wa Bandari zote za Tanganyika. Sina shaka habari hizi ni za ukweli, maana nimeona video clip, na it seems aunthentic. Sasa hapa kuna maswali...www.jamiiforums.com
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Kabisa, as many times as possible, as often as possiblewausome everyday hadi wanaojifanya hawasikii wasikie. na cha muhimu zaidi ili kuwafanya wananchi wasiichague tena ccm inayouza bandari yao.
Tukubaliane mapema ili Kanisa likishindwa tujue na likishinda tujueWimbi la kurudisha kadi litaongezeka sana, Wacha waraka uendelee kusomwa.
Someni mpk 2030 anapotoka madarakaniNadhani ni muhimu sana kuendelea kukumbushana mara kwa mara na kwa kina juu ya nini hasa kinahojiwa kuhusiana na kuuzwa kwa Tanganyika kwa ujumla wake.
Japo ukisema Tanganyika imeuzwa wanakwambia lete ushahidi kwamba nchi imeuzwa, sasa tujiulize, lengo la kutaka kubadili sheria ya kulinda maliasili ya mwaka 2017 lilikuwa ni lipi? Ile sheria ina ubaya gani?!
Hivyo basi, natoa wito huu waraka uwe kama sala tu, na tuuzoee kuusali hadi October 2025, baada ya hapo tunamuachia Mungu..., usomwe non- stop!
Dawa ya mtu aliyeziba masikio ni kumuwekea loud speaker, kazi iendelee
Nimesikia kwamba Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Samiah Sukuhu Hassan hataki kusikia maoni ya wananchi wake juu ya mkataba wenye ukakasi wa ugawaji bure wa Bandari zote za Tanganyika. Sina shaka habari hizi ni za ukweli, maana nimeona video clip, na it seems aunthentic. Sasa hapa kuna maswali...www.jamiiforums.com
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Wiki 6 haziwatoshi nyie mana mna vichwa vigumu sana. Inatakiwa msomewe ma kukaririshwa huo waraka wenu mpk 2030 labda....Wiki sita ni muda mzuri sana, hapo hakuna kichwa kitakachousahau unyama tuliofanyiwa watanganyika na Samia, baada ya hapo naamini, kuna hatua nyingine zitafuata, kama sio za kimwili, basi zitakuwa za kiroho.
Mimi kwa upande wangu nimeshaanza kuziona dalili za mtu aliyekata tamaa, aliyepoteza mwelekeo, anayelazimisha kwenda na njia zake tofauti na wale anaowaongoza, ndio naendelea kumtazama huyo mjinga niuone mwisho wa safari yake utakuwa vipi.
Huku TZ kanisa lilibebwa sana na serikali ya Nyenyere mpk sasa wanampa utukufuHiyo RC unao ongelea haiku Tz we jidanganye bure neenda nchi jirani Rwanda, Uganda, kenya uona kama RC anaweza kupewa hata uraisi, nyie mna mob saikoloje inawasumbua, achana na dola.
Wanakaririshana kwa jinsi walivyo na vichwa vizitoUsomwe kila siku bado ni upuuzi tu.
Tufanye RC wote wameelewa waraka wenu, unadhani wataenda chama gani ambacho katoliki itapata tena ushawishi kama ilivyojikita CCMHuu waraka kusomwa kila Dominika kwa weny akili wanajua itakavyoleta impact kuelekea 2025. Mwanadam akishaambiwa jambo sio zuri tena kiiman kweny nyumba za ibada humuingia vzr moyon na kuchukia hilo jambo!! NB: Kwa wenye akili tu ndio wataelewa athari yake!!
Kama bado hawajakariri huo waraka si itakuwa hasara. Ni bora waendelee tu kukaririshana mpk 2030No ujumbe umeshafika. Tofauti na hapo itakuwa siasa na kushusha hadhi ya kanisa moja takatifu la mitume
Rudisheni kadi zote lkn mjue CCM haijawahi kutegemea kura zenuWimbi la kurudisha kadi litaongezeka sana, Wacha waraka uendelee kusomwa.
Wakatoliki wote msiipe kura CCM, lkn nakuhakikishia kwa kwa katiba hii mnajichosha tuwausome everyday hadi wanaojifanya hawasikii wasikie. na cha muhimu zaidi ili kuwafanya wananchi wasiichague tena ccm inayouza bandari yao.
Hawatokujibu...Tukubaliane mapema ili Kanisa likishindwa tujue na likishinda tujue
mwanzo tuliambiwa Waraka wa kupinga uwekezaji ukitolewa basi Serikali lazima ifyate na ijitoe kwny makubalino lakini sasa tunaskia na Gati zilizobaki nazo zimetangazwa tenda kutafuta u
muekezaji
sasa pia mtuambie kama mnapambana na Serikali katika uchaguzi ujao kupitia kile Chama chenu ili matokeo ya uchaguzi yakitoka tukitoa pole tujue na nyie mtahusika au mtajitenga nao?
Kanisa halihitaji ushawishi hata kdg, pia wakubwa zako ndio wanajua RC ni nan na wananguv gan!! Wew kabwela hakuna ujuacho!!Tufanye RC wote wameelewa waraka wenu, unadhani wataenda chama gani ambacho katoliki itapata tena ushawishi kama ilivyojikita CCM
Wizi saiz hamtafanikiwa.Rudisheni kadi zote lkn mjue CCM haijawahi kutegemea kura zenu
KANISA huwezi litenga na siasa,Tukubaliane mapema ili Kanisa likishindwa tujue na likishinda tujue
mwanzo tuliambiwa Waraka wa kupinga uwekezaji ukitolewa basi Serikali lazima ifyate na ijitoe kwny makubalino lakini sasa tunaskia na Gati zilizobaki nazo zimetangazwa tenda kutafuta u
muekezaji
sasa pia mtuambie kama mnapambana na Serikali katika uchaguzi ujao kupitia kile Chama chenu ili matokeo ya uchaguzi yakitoka tukitoa pole tujue na nyie mtahusika au mtajitenga nao?
Wala usijihangaishe kujibizana na hao maroboti wa kulipwa, utajichosha bureKANISA huwezi litenga na siasa,
Wakiwa Kanisani ni waumini, wakiwa ktk mabus ni wasafiri, wakiwa kazini ni wafanyakazi, wakiwa ziwani ni wavuvi, wakiwa hospitali ni wagonjwa, wakiwa jukwaani ni wanasiasa. Wakiwa shambani ni wakulima, nk nk
We are one people, Tanzanians.
Watanzania wana akili na maarifa ya kutoshaKANISA huwezi litenga na siasa,
Wakiwa Kanisani ni waumini, wakiwa ktk mabus ni wasafiri, wakiwa kazini ni wafanyakazi, wakiwa ziwani ni wavuvi, wakiwa hospitali ni wagonjwa, wakiwa jukwaani ni wanasiasa. Wakiwa shambani ni wakulima, nk nk
We are one people, Tanzanians.