Naomba kutaja orodha ya mabaya ktk katiba iliyopo:
1. Kukosa ushiriki wakati wa kuandika
2. Uchache na ufinyu wa haki za binadamu
3. Ubovu wa tume ya uchaguzi
4. Uchaguzi wa rais kutokuhojiwa na mahakama
5. Kujataliwa kwa mgombea guru
6. Kukosekana dira na dhima ya taifa
7. Kupuuza haki ya kumiliki ardhi
8.Katiba kutokumtambua Mungu
9. Kulimbikiza madaraka kwa raise
10.Utata kuhusu muungano
11. Kukosekana kikomo cha muda wa uwaziri na ubunge
12.Kutopambanua mfumo na mwelekeo wa uchumi wa taifa
13. Kuunganisha serikali na binge , ni.