Pre GE2025 Wito kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama: Msiogope, simameni na Wananchi, CCM wanatupeleka pabaya!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shida gani? Lini walikuwa wanapata Raha? 😁😁😁😁😁

Kwamba Wakuu wanapata shida au siyo? 😂😂
Kwa hiyo kumbe na weww unajua wanapata shida ikowemo Bima za chini zisizotibu magonjwa makubwa na pensheni za mbuzi wakati CCM wanapitisha Sheria ya kutunzana Viongozi wa kisiasa na wenza wao
 
Kazini kuna kazi
 

Attachments

  • 3049818-bea797ab6cbc71c96b0e8f1726a165b5.mp4
    55.4 MB
Hapana!

CCM wameshalifikisha hili taifa pabaya sana. Tuviombe vyombo hivi viliokoe hili Taifa kwa kusimama upande wa wananchi.
Juzi nilipokuwa natizama jinsi Assad alivyokimbia nchi..ndipo nikaamini kuwa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wakizima data Huwa wanaamka wakiwa wamechelewa sana!
Uzalendo wa kweli uko JWTZ...kama huamini rejea Salamu za CDF mbele ya Mh.Rais siku Ile..!
 
Wanasiasa na vyama vyao bila vyombo vya usalama si lolote si chochote.
 
Acha kuwadharau vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

CCM ni wajinga wanaoishi kwa propaganda, uongo na vitisho visivyo maana.

Wana kipi cha kuvifanya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikisema hapana juu ya udhalimu wao kwa mfano?
Sijavidharu mkuu naviheshimu sana, ila sijui ni kwanini vinaigwaya sana Ccm.

We angalia DPW walivyojitwalia kilaini bandari zetu, angalia wamasai walivyofurushwa kwenye makazi yao ya asili na pia angalia watawala wanavyofuja rasilimali za taifa.

Yote hayo yanafanyika huku idara zote za ulinzi zimeweka mikia tumboni kama mbwa aliyeona chatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…