Uchaguzi 2020 Wito kwa wanafunzi wote mliofikisha umri wa kupiga kura na wenye Kitambulisho cha Mpiga Kura

Uchaguzi 2020 Wito kwa wanafunzi wote mliofikisha umri wa kupiga kura na wenye Kitambulisho cha Mpiga Kura

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Tarehe 28 -10-2020 Ni siku ya kupiga kura.
Wito wangu Ni hivi,
Jitokezeni kwa wingi, yaani hata mmoja wenu asibaki nyumbani.

Nendeni mkapige kura

Huku mkimkumbuka Mwanafunzi mwenzenu Marehemu Akwilina. Unapoingia chumba Cha mpiga kura Mkumbuke Marehemu Akwilina msichana Mrembo aliekufa kwa risasi kizembe kwa ujinga uliosababishwa na CCM

Akwilina binti kutoka familia Masikini aliekua anasoma chuo huku na yeye akimsomesha mdogo wake.

Pia kapigeni kura huku mkikumbuka kuwa mikopo ya wanafunzi ilikua ya wanafunzi wote kwa kuzingatia viwango vya ufaulu,lakini akaja mjuaji akasema watakaopewa mikopo ni wale tu waliosoma Shule za sekondari za serikali, waliosoma English Medium hawastahili

Mkapige kura huku mkikumbuka kuwa riba ya rejesho ya mkopo imeongezwa kutoka asilimia 3 Hadi asilimia 15.

AKWILINA

Ili kukuenzi tutampa LISSU kura zote na ndio.

Tutakukumbuka AKWILINA.
 
Wanafunzi mkifanya kosa mwaka huu mtateseka sana, ni wakati wa kukiondoa chama kisicho na uchungu na watanzania.
 
Back
Top Bottom