Wito kwa WanaJF: JF Member anapokufa, je, tuanze kuonesha solidarity yetu kama msiba wa Regia, au tuache tu kila mtu na bahati yake na hadhi yake?

Naunga mkono hoja
 
Kwa respect ya Jf ua n ya kiwango cha juu hata ukiwa public transport ukaona mtu ana buy time yake yuko jf anaperuz baadh ya mada ua inatia moyo sana naunga mkono hoja Maxence Melo Fanya KTU juu ya umoja wetu tutambulke kwenye jamii na tuheshmike kama jamii flan iliojkava kwenye knwolge flan kwa id zetu tuungane pamoja kwenye vtu kama hiv mwenzetu anapotutoka

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Namna pekee itajulikana umekufa ni kama una marafiki wapo humu na wakawa tayari kukuanzishia uzi.

Pia sababu pekee watu wataguswa ni kwa kiasi gani unainteract nao.

Wazo la ndugu kuwasiliana na uongozi wa jf kuripoti kifo ni zuri lakini wengine tunaishi Area Z wazazi na ndugu wapo Area A na hawajui kama nipo JF.

Tutake tusitake swala la bahati litaendelea kuchukua nafasi yake hata kama itakubaliwa member akifa achangiwe.
 
Binafsi siungi mkono michango ya aina hii maana ipo KINAFIKI tu.

Anafariki mtu ambaye hakuwa na ushawishi wowote na itataolewa taarifa ila sidhani kama kuna mtu atajali maana hakuwa na ushawishi humu.

Tumekutana hapa kwa sababu moja au mbili "Habari, Kusoma, na Burudani"

Ikitokea mwenzetu kaondoka basi tuambiwe na watakaoweza kushiriki washiriki kivyao siyo kwa sababu ya JF.

Huu utaratibu wa kuchangia mtu akifariki ni wa KINAFIKI na utakuwa na madaraja kati ya mtu na mtu.

Jamii Forum nashauri tuachane na uswahili wa aina hii tuendeshe mtandao huu kisasa kama mitandao mingine mikubwa duniani.

Akifa mtumiaji wa Facebook au Instagram basi linakuwa suala la wanafamilia na marafiki siyo suala la mtandao.

Sijaongea kwa ubaya lakini ila naona kutakuwa na UNAFIKI kwenye huu utaratibu.
 
mara paap anaona jina la mtumaji ni mimi niliyekuwa natukanana naye jamvini, kumbe ni bosi wake kazini.... Lahaula lakwata! Kumbe bosi yuko JF anamwaga pumba kichizi.[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mnajuaje kama member wa JF kafa ?
Yaani unafikiri nini kazi ya Mshana Jr humu ndani? Bundi wake wanasoma nani anafuata sasa? Kisha wanampa taarifa.


Humu ndani kuna members wanafahamiana physically na ni marafiki, hao ndio hutupasha habari.

Mathalini, mimi na Mshana Jr ni marafiki hadi nje ya ulingo. Iwapo umauti ukinifika lazima atajua, atakuja kuwapasha ndugu zanguni wa JamiiForums habari.
 
Zamani when jf was small, jf used to do something kwenye misiba ya members wake waandamizi, Sanctus Mtsimbe aliwahi kuwa a Tanzanite member.

I thought, kwa vile msiba huu ilikuwa hapa Dar, jf should have done something kwa kutushirikisha,
Mimi kwa upande wangu,
1. Kwanza nilichangia uzi wa msiba
2. Nikaandika Buriani.
3. Nikaandika makala kwenye gazeti
4. Nikahudhuria mazishi Kinondoni makaburini.

Should Jf do more member anapotangulia mbele ya haki.
P
 
Umenena kwa Busara
 
Ambao hatuna ushawishi kiivo inakuwaje? Hatuna rafiki huku ambae tunajuana ile physically..ni jambo jema lkn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…