lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Mkuu Lord Denning unafanana kimawazo na Mimi.Tutajitokeza kwa wingi kumchagua Tundu Antiphas Lissu na madiwani na wabunge wa Chadema
Mie huwa sichagui chama Cha Maroho mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Lord Denning unafanana kimawazo na Mimi.Tutajitokeza kwa wingi kumchagua Tundu Antiphas Lissu na madiwani na wabunge wa Chadema
ACT haipo hapo.Chadema huwa ni wabaguzi.Na ACT
Acha utopolo mkuuHatuchagui chama cha ;
1. Kutubagua kikabila na kikanda
2. Kukandamizia uhuru, haki na demokrasia
3. Kubambikia kesi wakosoaji, kuwateka, kuwatesa na kuwauwa
4. Kutoboresha maslahi ya watumishi wa umma
5. Kutolipa hela za korosho
6. Kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa vijijini kwao
Watanzania sio wajinga wanaelewa
Kwa hiyo Mkuu unataka tumchague mtu wa kutuletea hayo mambo?Acha utopolo mkuu
Hii logic ya wapi kuwa usipokipigia chama cha ushindi umepoteza kura yako?Wanabodi
Watu wameisha zoea ukitolewa wito, then wito huo uwe umetolewa na kiongozi fulani, mtu ukiwa nobody, huwezi kutoa wito...
Msifanye kosa watanzania wenzangu ni miaka zaidi ya 60 tunatawaliwa na genge la watu fulani, ni wakati wa mabadiliko.Wanabodi
Watu wameisha zoea ukitolewa wito, then wito huo uwe umetolewa na kiongozi fulani, mtu ukiwa nobody, huwezi kutoa wito...
Kwenye vidioo kasema chagua chama ambacho kimeshatenda sio kinachoahidi akikusudia watu wachague CCM kachemka , ila P kwa kuuma na kupuliza hajambo , kifupi P sisi hatuchagui wauaji na watekaji , wahutu , wabguzi wa kikabila , kidini , hatuchagui watu wasio na huruma , makatili walafi , mafisadi nadhani umeelewa .Kaka paskali una akili Sana kwenye soka hii tunaiita both teams to score au double chance Ingawa Ni mmoja kati ya wafia chama Cha kijani ila umeenda kinyume na mwenyekiti wako anaewapangia wapiga kura yupi wamchague Tena kwa vitisho...
Kweli kAbisa. Hivi tunaweza kuendelea bila baadhi yetu kupoteza maisha yao?Wanabodi...
Mkuu Sergei Lavrov , nimesema tuchague chama kinachoweza kuleta maendeleo ya kweli.Kasema tuchague chama kinachokubalika na wengi.
Hatuchagui chama cha ;
1. Kutubagua kikabila na kikanda
2. Kukandamizia uhuru, haki na demokrasia
3. Kubambikia kesi wakosoaji, kuwateka, kuwatesa na kuwauwa
4. Kutoboresha maslahi ya watumishi wa umma
5. Kutolipa hela za korosho
6. Kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa vijijini kwao
Watanzania sio wajinga wanaelewa
Hivi kuna chama cha uwongo? Hivi vyama vilivyoendesha halmashauri hapa Tanzania havikuleta maendeleo mapaka kunyakua mapato yao? Huko Kenya, mbali na KANU ilioneshwa kuwa vyama vyote ni vya kweli, hivi juzi Malawi imeoneshwa pia.chagua chama cha ukweli chenye uwezo wa kuleta maendeleo ya kweli!.
Tutajuaje chama cha ushindi na kisicho cha ushindi wakati hatujui maamuzi ya wapiga kura kwa sasa? Hakuna kura inayopotea, bali kura yaweza kuharibika.Kwenye kupiga kura, ukichagua chama ambacho sicho, ambacho sio chama cha ushindi, unakuwa umepoteza kura yako!.
Tukapige kura lakini tusipoteze kura zetu!.
Kuchangia msikiti sio hisani Bali ni kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupaAtaendelea kuchangisha ndani ya makanisa kwa ajili ya ujenzi wa misikiti.