Wito kwa watanzania wote: Ili CCM na serikali zake wajue hatuwataki, 2025 wote tususie uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi


kuhusu suala la kuiondoa ccm kwenye ballot papers hilo sahauni narudia tena sahauni,unless kuwe na katiba mpya tena ile itokanayo na warioba na tume huru ya uchaguzi vitu ambayo huwezi ona ccm inakubali kuvifanya.

Wananchi ndio wakuiondoa ccm madarakani kwanza wasusie uchaguzi hapa napo na wasiwasi ccm kuhonga mamluki wake wakapige kura kisha wanazi multiply hata mara 1000[emoji28], ili ionekane wananchi wengi wamepiga kura.

Ccm sio chama cha siasa ni genge la wahuni na mafisadi.
 
Sawa,sisi tukae nyumbani,mbona maruhani hayaonekani?Tusipokwenda watajistukia mkuu,na uovu wao utakuwa dhahiri.
Kuna watanzania wajinga ndugu, ccm wakiwapa tu kanga wanabebwa kwenye magari wanaenda lupiga kura, kwa unadhani huwa wanafanyaje kwenye mikutano yao? Wanagawa ef tano tan9 na wanasomba kwa malori
 
Mimi binafsi sipigi kura tena chini ya tume ya CCM
 
haya tufanyejee weka mbinu...
 



Wazee wetu wangekuwa waoga kama wewe yamkini tusipata Uhuru tungeendelea kutawaliwa na mkoloni .?!
 
Wazee wa buku saba na wale wazee wa vitenge, kofia na t-shirts hawawez gomea maan tyr wamepewa mzigo wa hayo niliyoainisha hapo juu!!
 
CCM peke yake ndio itatuvusha watanzania dhidi ya madui watatu namini wazalendo wanajua
 
CCM wanajijua wameshachokwa.Kuwasusia uchaguzi ni kuwawashia "Green Light" waendelee kutawala,ni sawa na kumkabidhi fisi bucha,manake wanajijua kwenye ballot box/sanduku la kura hawatoboi.Mimi nafikiri labda ungeshauri tuingie kwenye uchaguzi kwa kulinda kura zetu.Ni ngumu kushinda uchaguzi wa raisi kwa jinsi mambo yalivyolakini angalau ubungo watakuwepo wawakilishi wa wananchi toka upinzani ambao watawasha moto na wabunge wa CCM waonekane hawana lolote mbele ya wananchi.Ni mwisho wa siku,miaka inavyokwendda,CCM watamwaga manyanga tu.Sababu ya kukosa support ya wananchi walio wengi 🤔
 
CCM peke yake ndio itatuvusha watanzania dhidi ya madui watatu namini wazalendo wanajua
Wewe ni li-CCM lazima useme huu upuuzi.Hata hivyo ifike mahali muone aibu kwa uovu mnatufanyia Watanzania.it seems mmejivua ubinadamu kabisa,tunawaona ni binadamu wenzetu kumbe sio.
 
Sasa hivi Umeme hakuna mateso wanapata wote walio sisiemu, wapinzani na wasio wanachama wa chama chochote cha siasa.
 
Regardless of the political membership status all suffer the consequences of lack of electricity supply.
 
Unaenda kupiga kura na anayehesabu kura ni mmoja wa wagombea.Hiyo siku tafuta jambo la muhimu la kufanya ila sio huo upuuzi wa kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…