Kwa hiyo kufanya jambo hilo hilo kila mwaka ukitegemea matokeo tofauti ndio njia bora!?Yaani wewe poyoyo kweli kweli aisee.Kaa pembeni hatuhitaji watu wenye akili finyu kama zako mkuu.Zipo njia nyingine nyingi za kupinga sera za CCM, ila kususia upigaji kura sio njia sahihi, respectfuly.
Si kweli,this is new.Hukuwapigia kura mandate ya kutawala watapata wapi?Wanaiba kura kwa kura zipo za kuiba.Vituo havina watu,everybody sees it,jumuiya ya kimataifa inaona hamna watu,watatangazeje kwamba wameshinda?Kwanza tukio lenyewe litawa-aibisha kimataifa.Acheni ujinga,come 2025 bila Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi,tusipige kura.Kura yako ndiyo wanayotumia kukuibia kura,usiwape.Mh ndugu yangu ccm unawajua vizuri? Tukifanya hivyo watafanya sherehe kubwa kwa kupita bila kupingwa
Na watatupongeza wanainchi kwa kuwa wazarendo kwa ccm😅😅😅
Umesusa?Kwa hiyo kufanya jambo hilo hilo kila mwaka ukitegemea matokeo tofauti ndio njia bora!?Yaani wewe poyoyo kweli kweli aisee.Kaa pembeni hatuhitaji watu wenye akili finyu kama zako mkuu.
Acha ujinga,wanasiasa,vyama vya siasa na Bunge vimetuangusha miaka yote,we are now taking matters on our own hands.Tumegundua kwamba kumbe vyombo ambavyo tulidhani vingetusaidia kupata haki na maendeleo,ndivyo vinavyotuhujumu,inauma sana.Umesusa?
Aloo, eti katiba ndio inayopiga Kura?
Ukumbuke lazima uwe na watu ambao watakuwa na nguvu za kuchochea mabadiko ya sheria na kanuni zingine za Uchaguzi Bungeni. CHADEMA walisusa kwenye Bunge la Katiba, CHADEMA walisusia Serikali, Walifikia wapi? CHADEMA wamewasusia wabunge wake, imagine hizo shilingi ambazo wangeweza kushikilia kule bungeni, halafu unakuja kuniita poyoyo?? CHADEMA utawaitaje?
Kasuse basi.
Mimi sio CHADEMA,usinidhalilishe mkuu.Siwezi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa kwa kuwa I know what they stand for.Bado CHADEMA hamjawa na uwezo wa kuongoza Tanzania. CCM imebeba matumaini ya watanzania. Tutaichagua tena kwa chaguzi nyingi zijazo. CHADEMA kijengeni chama kwanza ili angalau mwaka 2155 mpate ridhaa ya wananchi kuongoza.
Kama sio CHADEMA wewe ni mnafiki na ndumilakuwili.Mimi sio CHADEMA,usinidhalilishe mkuu.Siwezi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa kwa kuwa I know what they stand for.
Piga kelele uwezavyo hakuna mbadala wa ccm nchi hii mpaka sasa.Kwani CCM ndio wenye
hati miliki ya Tanzania?!This is frankly a very dumb and stupid comment,no wonder CCM ipo kama ilivyo.So mnataka kuwatawala Watanzania kwa nguvu,which of course you are doing already.Hapana haikubaliki,you people have to go.
Yaani mmewarudisha nyuma Watanzania kiasi hiki bado mnang'ang'ania tu.Ufisadi Moto, Ndugunization na Urafikinization(Mwitongo)imejaa;Elimu mmeharibu;Afya mmeharibu,watu kila sehemu ni wagonjwa;Kilimo mmeharibu;Uchumi mmeharibu;Mikataba mibovu kila kukiucha(the most recent DP World);Umeme shida;Maji shida,watu wanatumia maji ya madimbwi ya kunyweshea Ng'ombe,miaka sitini na tatu baada ya Uhuru,simply everything is in disarray.Hapana ondokeni inatosha,hatuwataki tena,achieni wengine,you have miserably failed Tanzanians.
labda KILIMANJARO na PEMBANi miaka 63 sasa CCM ipo madarakani. Kimsingi hakuna maendeleo ya maana waliyotuletea, isipokuwa kuturudisha nyuma kimaendeleo miongo kadhaa.
Kila serikali iliyoingia madarakani ilileta usanii wa kisiasa na kiuchumi na hatimaye kuturudisha nyuma decades.Wanayojisifia kwamba ni maendeleo si lolote kabisa ukilinganisha na rasilimali nyingi tulizo nazo. Tuamke Watanzania.
Comrade Magufuli katika awamu yake moja alijitahitahidi kubadilisha taswira ya Tanzania kwa kutuletea maendeleo kiasi fulani, lakini juhudi zake na kiuhalisia na za kwetu pia,zilifishwa prematurely, inasikitisha sana.
Kwa jinsi hali ya kisiasa ilivyo nchini mwetu, hatuna jinsi yeyote ambayo kama Watanzania tunaweza kujinasua kwenye mkwamo wa kimaendeleo na kisiasa tulio nao sasa.Katiba haiheshimiwi kabisa na sioni uwezekano wa Bunge au hata wana siasa kutusaidia.
Mwito wangu kama Mtanzania kwa Watanzania wenzangu ni huu, kama mpaka 2025 tusipokuwa na Katiba mpya, wala Tume Huru ya Uchaguzi, siku ya uchaguzi wote tubaki nyumbani tusiende kupiga kura.Naamini hii ndiyo lugha tu CCM watakayoelewa.Sisi wananchi ndio tunaowapa wanasiasa legitimacy ya kutawala.Sasa kama wasipotupa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi tubaki nyumbani,simply tuwanyime legitimacy ya kututawala.It is now or never, naomba tushirikiane wote.
NB: Please share this message widely.
Huyomama umeme kapeleka wapiSawa.
We fanya mambo yako mkuu!!Ni miaka 63 sasa CCM ipo madarakani. Kimsingi hakuna maendeleo ya maana waliyotuletea, isipokuwa kuturudisha nyuma kimaendeleo miongo kadhaa.
Kila serikali iliyoingia madarakani ilileta usanii wa kisiasa na kiuchumi na hatimaye kuturudisha nyuma decades.Wanayojisifia kwamba ni maendeleo si lolote kabisa ukilinganisha na rasilimali nyingi tulizo nazo. Tuamke Watanzania.
Comrade Magufuli katika awamu yake moja alijitahitahidi kubadilisha taswira ya Tanzania kwa kutuletea maendeleo kiasi fulani, lakini juhudi zake na kiuhalisia na za kwetu pia,zilifishwa prematurely, inasikitisha sana.
Kwa jinsi hali ya kisiasa ilivyo nchini mwetu, hatuna jinsi yeyote ambayo kama Watanzania tunaweza kujinasua kwenye mkwamo wa kimaendeleo na kisiasa tulio nao sasa.Katiba haiheshimiwi kabisa na sioni uwezekano wa Bunge au hata wana siasa kutusaidia.
Mwito wangu kama Mtanzania kwa Watanzania wenzangu ni huu, kama mpaka 2025 tusipokuwa na Katiba mpya, wala Tume Huru ya Uchaguzi, siku ya uchaguzi wote tubaki nyumbani tusiende kupiga kura.Naamini hii ndiyo lugha tu CCM watakayoelewa.Sisi wananchi ndio tunaowapa wanasiasa legitimacy ya kutawala.Sasa kama wasipotupa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi tubaki nyumbani,simply tuwanyime legitimacy ya kututawala.It is now or never, naomba tushirikiane wote.
NB: Please share this message widely.
Acha ujinga wewe,an incompetent government affects me and my generation,kwa hiyo lazima nihakikishe inakuwepo.We fanya mambo yako mkuu!!
Kura hazichagui kiongozi bali kuhalalisha kiongozi aliekwisha chaguliwa tayari na mamlaka ya nchi!!
Hata zisipopigwa na wananchi zitatengenezwa na mfumo!!
Ishi maisha yako Mkuu!achana na hayo MAMBO!!
Unaona Kilimanjaro na Pemba ndiko watu wake siyo wajinga? Mbona wanaongoza kwa utapiamloVery stupid comment.So mnatumia ujinga wa watu kuwatawala.This shows how crooked and evil you people in CCM are. and hence the need to remove you from power by all possible .
Again,this is a stupid comment.Tanzania yote inahitaji kutolewa kwenye makucha ya "mkoloni" CCM.Afterall ni aibu anywhere in Tanzania leo kuwa na utapia mlo,63 years after independence.It just shows how miserably CCM has failed Tanzanians.Unaona Kilimanjaro na Pemba ndiko watu wake siyo wajinga? Mbona wanaongoza kwa utapiamlo