Uchaguzi 2020 Wito: Majimbo yaliyozuia Mawakala kuingia vituoni kwa kwa kukosa Barua ya Utambulisho yarudie zoezi na DED awajibishwe

Uchaguzi 2020 Wito: Majimbo yaliyozuia Mawakala kuingia vituoni kwa kwa kukosa Barua ya Utambulisho yarudie zoezi na DED awajibishwe

Duniahadaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
336
Reaction score
677
Sehemu mbalimbali nchi imeripotiwa kuwa mawakala wa CHADEMA wamezuiwa kuingia vituoni kwa sababu DED hajawapa barua mfano huko Tanga na Tarime. Jimbo la Kavuu tunaambiwa Mawakala 30 wamekamatwa na polisi wakati wakiekea vituoni na wapo chini ya ulinzi.

Wito wetu ni kuwa Uchaguzi ufutwe ufanyike upya katika majimbo hayo. Pia, CHADEMA harakisheni kufungua kesi kupinga utangazwaji wa matokeo kama alivyofanya Lamwai mwaka 1995 maana hizi ni hujuma za makusudi.

Kituo changu hapa Babati tulizuia zoezi hadi barua zije kutoka kwa DED na Mawakala kuruhusiwa kuingia.
 
Madai yasiyokuwa na Ushahidi ni Uzushi
Mwenyewe nilikua kituoni nimeshuhudia Askari anamfukuza Wakala wa CHADEMA akalete barua wakati waliapishwa huu uhuni hauvumiliki Mtu kawaahidi barua kuwapa Leo afu kasepa hapatika hii so sasa sasa cha kujiuliza wakala wa CCM kapata wapi barua wakati Jana wrote hawakupea inauma sana afu waseme CHADEMA wanafujo kweli
 
Nani ameripoti, acha kukurupuka. Tulia utoe taarifa sahihi inayojitoshekeza. Kwanini wakala aende kituoni bila barua? Msitafute visingizio
 
Back
Top Bottom