Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbwa tena! Uliuliza ushahidi bwege wewe. Hukuulizia kuraKura zinapigiwa kwenye tweeter au kwenye kituo ?
Poleni sana watu wa tweeters
Kwa nini wameifunga? Uoga wa umbwa kokoKura zinapigiwa kwenye tweeter au kwenye kituo ?
Poleni sana watu wa tweeters
Kwa nini watufungie njia rahisi za kupeana taarifa? Uoga wa umbwa koko na chupi zenu vichwaniNani ameripoti, acha kukurupuka. Tulia utoe taarifa sahihi inayojitoshekeza. Kwanini wakala aende kituoni bila barua? Msitafute visingizio
mamako!.Nenda kasemelee kwa amstedamu kamanda au ka vp kawapopoe mawe ffu ah ah ni yeyee
tulia we gasho!.Lissu aliwaambia kama hakuna wakala wa chadema hakikisheni hiko kituo watu hawapigi kura.
Sasa mmeanza kulialia badala ya kutekeleza maagizo ya lissu
Haitoshi kuthibitisha kuwa wamezuiwa, wengine wameacha kwa makusudi yaoMimi shahidi...nimepiga kura bila wakala wa chama chochotee kuwepo ndani....nimesikia kwa masikio yangu polisi akiwambia mawakala wa chadema wakalete barua za utambulisho...Nimeumia but nimepiga kura yangu nikasepa zangu..
Mtaweza kujisimamia wapi wakati watu wenyewe ndio hawa akina Magufuli wasiojua hata Kiswahili.Hivi kama Waafrika hatuwezi jisimamia
Polisi??!!Mimi shahidi...nimepiga kura bila wakala wa chama chochotee kuwepo ndani....nimesikia kwa masikio yangu polisi akiwambia mawakala wa chadema wakalete barua za utambulisho...Nimeumia but nimepiga kura yangu nikasepa zangu..
Na Ushahidi usiokua na Uzushi ni MadaiMadai yasiyokuwa na Ushahidi ni Uzushi
Duh. Mbombo ngafu.Habari ndio hiyo
Kick their asses. The assholes.Mwenyewe nilikua kituoni nimeshuhudia askari anamfukuza wakala wa chadema akalete barua wakati waliapishwa huu uhuni hauvumiliki MTU kawaahidi barua kuwapa Leo afu kasepa hapatika hii so sasa sasa cha kujiuliza wakala wa ccm kapata wapi barua wakati Jana wrote hawakupea inauma sana afu waseme chadema wanafujo kweli
VIZURI, WAJIBU WA WAKALA NI KULINDA MASLAHI YA CHAMA CHAKE SASA KAMA CHAMA CHAKE HAWAJALETA BARUA PALE KITUONI MIMI MSIMAMIZI MKUU WA KITUO NITAMTAMBUAJE HUYU KAMA WAKALA WA HASHIM RUNGWE CHAUMMA?Mimi shahidi...nimepiga kura bila wakala wa chama chochotee kuwepo ndani....nimesikia kwa masikio yangu polisi akiwambia mawakala wa chadema wakalete barua za utambulisho...Nimeumia but nimepiga kura yangu nikasepa zangu..
Ndio nilichoshuhudia mkuu....una wasi wasi?Polisi??!!
Kwa hiyo na wa ccm pia hawajui kwamba barua zinatakiwa ziletwe? Jiongeze mkuu hacha kushikiwa akili hizo....unazani barua zinatoka kwa mwenyekiti wa chama au?VIZURI, WAJIBU WA WAKALA NI KULINDA MASLAHI YA CHAMA CHAKE SASA KAMA CHAMA CHAKE HAWAJALETA BARUA PALE KITUONI MIMI MSIMAMIZI MKUU WA KITUO NITAMTAMBUAJE HUYU KAMA WAKALA WA HASHIM RUNGWE CHAUMMA?