Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Mimi shahidi...nimepiga kura bila wakala wa chama chochotee kuwepo ndani....nimesikia kwa masikio yangu Polisi akiwambia Mawakala wa CHADEMA wakalete barua za utambulisho...Nimeumia but nimepiga kura yangu nikasepa zangu..Madai yasiyokuwa na Ushahidi ni Uzushi
Wewe umekuwa mahakama hadi upewe ushahidi?Madai yasiyokuwa na Ushahidi ni Uzushi
Umbwa wewe. Utaonaje ushahidi wakati umezima social media?Madai yasiyokuwa na Ushahidi ni Uzushi
Ndo mwisho wa akili yako sio bure...!Hovyoooooooooooo, pumbvuuuuuuuuu
Mwenyewe nilikua kituoni nimeshuhudia Askari anamfukuza Wakala wa CHADEMA akalete barua wakati waliapishwa huu uhuni hauvumiliki Mtu kawaahidi barua kuwapa Leo afu kasepa hapatika hii so sasa sasa cha kujiuliza wakala wa CCM kapata wapi barua wakati Jana wrote hawakupea inauma sana afu waseme CHADEMA wanafujo kweliMadai yasiyokuwa na Ushahidi ni Uzushi
Nenda kasemelee kwa amstedamu kamanda au ka vp kawapopoe mawe ffu ah ah ni yeyeeMimi shahidi...nimepiga kura bila wakala wa chama chochotee kuwepo ndani....nimesikia kwa masikio yangu polisi akiwambia mawakala wa chadema wakalete barua za utambulisho...Nimeumia but nimepiga kura yangu nikasepa zangu..
Mitandao haipigi kuraSasa tumeelewa kwa nn mitandao imezimwa!!!
Huyu Papa huyu atakuwa ni Muislamu.Hivi Kama waafrika hatuwezi jisimamia