Uchaguzi 2020 Wito: Majimbo yaliyozuia Mawakala kuingia vituoni kwa kwa kukosa Barua ya Utambulisho yarudie zoezi na DED awajibishwe

Huko nako (mahakamani) watapigwa danadana kwa kusingizio cha ushahidi haujakamilika. Mwisho utaona october 2025 hii hapa. CCM ni zaidi ya pepo
 
Lissu aliwaambia kama hakuna wakala wa chadema hakikisheni hiko kituo watu hawapigi kura.
Sasa mmeanza kulialia badala ya kutekeleza maagizo ya lissu
Hata huku Dar mawakala wamenyimwa barua za utambulisho nchi hii Ina usenge mwingi Sana haina haki, ndo shida ya kuwa na viongozi vichwa nazi, hawajali wananchi wao
 
Ni mawakala wa kile chama chenye fujo na wa matukio kama cinema ?
 
Barua ya utambulisho inatoka wapi?
Mimi shahidi...nimepiga kura bila wakala wa chama chochotee kuwepo ndani....nimesikia kwa masikio yangu polisi akiwambia mawakala wa chadema wakalete barua za utambulisho...Nimeumia but nimepiga kura yangu nikasepa zangu..
 
Hii yote wanataka kumfurahisha dikteta
 
Usiruhusu kurudia uchaguzi na CCM watakutwanga mapema sana mpk muombee Poo
 
Nafikiri ili kuweka kumbukumbu ni vyema kuanzishwa uzi maalum Tanzania nzima Kila kituo ambacho hakina wakala wa vyama vya upinzani Basi kidondoshwe,kuanzia mkoa wilaya kata mpaka mtaa kilipo ili kwenye majumuisho ya Kura hivyo vituo vienguliwe,
Hili viongozi wa vyama vya siasa kuanzia huko chini mlipo mnaweza lifanya kwa dakika chache,Sana

Hakuna sababu ya kuludia uchaguzi kwenye vituo hivyo Bali ni kureject Kura za vituo husika visiingie kwenye hesabu ya Kura

Mfano Kama mgombea amepata Kura za jumla elf 5000 mkiwa na idadi ya Kura katika vituo ambavyo havina mawakala mnaminus hapo anabaki na ushindi wa Kura ambazo mawakala wote wameshiriki simple
 
Hata kupita bila kupingwa mmesababisha kwa kujiona mnajua sana matokeo yake ndio haya. Sisiem ina watu wenye akili nying sana,,subri dawa iwaingie vzr
 
Madai yasiyokuwa na Ushahidi ni Uzushi
Mkuu sijawahi na sitawahi OMBA mtu aina LISSU awe na wadhifa kama RAISI kamwe.

Ila anachoongea mleta mada kiko sahihi hilo swala nimeliona hata huku Rungwe.

Wanachama wa CHADEMA kama sio kufanyiwa vigisu basi wamefanya uzembe.

Form wakala A zipo sehemu D na C zipo B.

Leo asubuhi ndio wanapigiana simu wapeleke form sehemu sahihi.

UZEMBE50% au VIGISU50%
 
Kwani mawakala ndio wanaompigia kura😂! Sisi tutaendelea kupigia kura Kama chama hakikuwa makini kujipanga ni bora kichinjiliwe mbali maana hakifai! Wakati wenzenu wanajipanga ninyi mnapinga na kutafuta shoti cuts Sasa mnakumbuka shuka asubuhi wakati kumekucha! Mbona shida Sana ninyi kufuata taratibu, kweli ninyi ndio mnaota kupewa nchi! Used bado Sana! Uzembe wenu hakuwezi kutuchelewesha! Huu uchaguzi siyo Jambo la kushtukiza, mlikuwa na miata 5 ya maandalizi 🤔! JPM na CCM ndio mpango mzima!
 
Unawajua au kuwasikia CHADEMA [emoji23][emoji23][emoji23]! Walishazoea kupinga tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Sasa waache ile kwao maana wakati wengine wanahakikisha kutimiza masharti na taratibu wao waliamua kupinga na kuisubiri maelekezo! Kutoka kwa bosi wao wakasahau bosi Sasa hivi ni tume ya uchaguzi! Ni hivyo tu! JPM ndio mpango mzima! Karibu kwenye sherehe ya kumuapisha rais JPM!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…