Wito: Rais Samia Toa Maelekezo ya Kumfukuza Anayetajwa Mwalimu na Mhamasishaji wa Ugaidi, Ili Kuokoa Tanzania ya Kesho

Wito: Rais Samia Toa Maelekezo ya Kumfukuza Anayetajwa Mwalimu na Mhamasishaji wa Ugaidi, Ili Kuokoa Tanzania ya Kesho

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Kila jambo baya lilikuwa na mwanzo mdogo, lakini wahusika hawakuushughulikia mwanzo, na baadaye wakaangamia au wakalazimika kutumia gharama kubwa kuokoa Taifa au jamii yao.

Tanzania hii ya leo, pamoja na matatizo mengi tuliyo nayo, umoja wetu usiozingatia dini, kabila au eneo mtu atokalo ni jasho na jitihada nyingi za muasisi wa Taifa letu, Mwalimu Nyerere (Mwenyezi Mungu Umjalie Pumziko Jema la Milele).

Baada ya jitihada hizi za watangulizi wako, Rais Samia usikubali kuingia kwenye historia mbaya kuwa wewe ulikuwa mtawala wa kwanza kuruhusu mambo yanayopalilia chuki na ugaidi wa kidini.

Kuna mtu ameingia nchini, mtu huyu ni mhalifu, nchini kwake India amepigwa marufuku kuonekana na anatafutwa kwa kuhamasisha ugaidi. Mataifa mengi Duniani, yamempiga marufuku kuonekana katika mataifa yao kutokana na mafundisho yake hatari kwa usalama wa Dunia.

Mtu huyu anayedaiwa kuendesha midahalo ya kidini ni mtu ambaye amesikika mara kadhaa katika mihadhara yake akitamka kuwa waislam wote wanatakiwa kuwa magaidi dhidi ya wale aliowaita ni maadui wa uislam.

Hivi kweli waislam wa Tanzania wamekosa watu wa kuwafundisha watu kuhusiana na imani yao mpaka aletwe mtu ambaye anatafutwa kwa uhalifu na mafunfisho ya uovu?

Rais ingilia kati, usiruhusu watu wahalifu kuja kupandiza mbegu za chuki na ugaidi nchini mwetu. Kinachopandwa leo na watu waovu kama huyo mhubiri, matunda yake yatakuwa kuvisumbua vizazi vyetu vya baadaye.

Dini haifanyiwi mdahalo wala mashindano, dini hufundishwa na kuhubiriwa.

Samia, wewe ni muislam, na huyu mhubiri mhalifu anayetafutwa, ni muislam, ukiruhusu haya mambo ya kidini yanayokiuka misingi ya utengamano wa Taifa letu, inaweza kuleta tafsiri mbaya kwa watu wengine. Usikubali hilo litokee, litakuathiri sana wewe binafsi na Taifa letu.

Mshikamano wetu, umpja wetu, vinatakiwa kulindwa kwa nguvu zote.
 
Mambo madogo madogo kama hayo ndio yanaharibu taswira ya nchi yetu kimataifa...ni vyema kuchukua tahadhari na kuepusha kuporomosha taswira yetu
 
Nani huyo anayetaka kuichafua Amani ya Nchi Yetu Pendwa yenye Asali na Maziwa
 
Huyo si anahubiri zanzibar?
Mzee atakuja kujaza uwanja wa Mkapa siku ya mwisho



View: https://youtu.be/Bxk5AAA5FbI?si=Okyt-vv_0LwHgu8x


Namnukuu maneno anayoongea kwenye video

“If bin Laden is fighting enemies of Islam, I am for him. If he is terrorizing America—the terrorist, biggest terrorist—I am with him. Every Muslim should be a terrorist. The thing is that if he is terrorizing the terrorist, he is following Islam."
 
Kila jambo baya lilikuwa na mwanzo mdogo, lakini wahusika hawakuushughulikia mwanzo, na baadaye wakaangamia au wakalazimika kutumia gharama kubwa kuokoa Taifa au jamii yao.

Tanzania hii ya leo, pamoja na matatizo mengi tuliyo nayo, umoja wetu usiozingatia dini, kabila au eneo mtu atokalo ni jasho na jitihada nyingi za muasisi wa Taifa letu, Mwalimu Nyerere (Mwenyezi Mungu Umjalie Pumziko Jema la Milele).

Baada ya jitihada hizi za watangulizi wako, Rais Samia usikubali kuingia kwenye historia mbaya kuwa wewe ulikuwa mtawala wa kwanza kuruhusu mambo yanayopalilia chuki na ugaidi wa kidini.

Kuna mtu ameingia nchini, mtu huyu ni mhalifu, nchini kwake India amepigwa marufuku kuonekana na anatafutwa kwa kuhamasisha ugaidi. Mataifa mengi Duniani, yamempiga marufuku kuonekana katika mataifa yao kutokana na mafundisho yake hatari kwa usalama wa Dunia.

Mtu huyu anayedaiwa kuendesha midahalo ya kidini ni mtu ambaye amesikika mara kadhaa katika mihadhara yake akitamka kuwa waislam wote wanatakiwa kuwa magaidi dhidi ya wale aliowaita ni maadui wa uislam.

Hivi kweli waislam wa Tanzania wamekosa watu wa kuwafundisha watu kuhusiana na imani yao mpaka aletwe mtu ambaye anatafutwa kwa uhalifu na mafunfisho ya uovu?

Rais ingilia kati, usiruhusu watu wahalifu kuja kupandiza mbegu za chuki na ugaidi nchini mwetu. Kinachopandwa leo na watu waovu kama huyo mhubiri, matunda yake yatakuwa kuvisumbua vizazi vyetu vya baadaye.

Dini haifanyiwi mdahalo wala mashindano, dini hufundishwa na kuhubiriwa.

Samia, wewe ni muislam, na huyu mhubiri mhalifu anayetafutwa, ni muislam, ukiruhusu haya mambo ya kidini yanayokiuka misingi ya utengamano wa Taifa letu, inaweza kuleta tafsiri mbaya kwa watu wengine. Usikubali hilo litokee, litakuathiri sana wewe binafsi na Taifa letu.

Mshikamano wetu, umpja wetu, vinatakiwa kulindwa kwa nguvu zote.
Mshikamano wetu, umpja wetu, vinatakiwa kulindwa kwa nguvu zote.
Mungu baba Ibariki Tanganyika
 
Kila jambo baya lilikuwa na mwanzo mdogo, lakini wahusika hawakuushughulikia mwanzo, na baadaye wakaangamia au wakalazimika kutumia gharama kubwa kuokoa Taifa au jamii yao.

Tanzania hii ya leo, pamoja na matatizo mengi tuliyo nayo, umoja wetu usiozingatia dini, kabila au eneo mtu atokalo ni jasho na jitihada nyingi za muasisi wa Taifa letu, Mwalimu Nyerere (Mwenyezi Mungu Umjalie Pumziko Jema la Milele).

Baada ya jitihada hizi za watangulizi wako, Rais Samia usikubali kuingia kwenye historia mbaya kuwa wewe ulikuwa mtawala wa kwanza kuruhusu mambo yanayopalilia chuki na ugaidi wa kidini.

Kuna mtu ameingia nchini, mtu huyu ni mhalifu, nchini kwake India amepigwa marufuku kuonekana na anatafutwa kwa kuhamasisha ugaidi. Mataifa mengi Duniani, yamempiga marufuku kuonekana katika mataifa yao kutokana na mafundisho yake hatari kwa usalama wa Dunia.

Mtu huyu anayedaiwa kuendesha midahalo ya kidini ni mtu ambaye amesikika mara kadhaa katika mihadhara yake akitamka kuwa waislam wote wanatakiwa kuwa magaidi dhidi ya wale aliowaita ni maadui wa uislam.

Hivi kweli waislam wa Tanzania wamekosa watu wa kuwafundisha watu kuhusiana na imani yao mpaka aletwe mtu ambaye anatafutwa kwa uhalifu na mafunfisho ya uovu?

Rais ingilia kati, usiruhusu watu wahalifu kuja kupandiza mbegu za chuki na ugaidi nchini mwetu. Kinachopandwa leo na watu waovu kama huyo mhubiri, matunda yake yatakuwa kuvisumbua vizazi vyetu vya baadaye.

Dini haifanyiwi mdahalo wala mashindano, dini hufundishwa na kuhubiriwa.

Samia, wewe ni muislam, na huyu mhubiri mhalifu anayetafutwa, ni muislam, ukiruhusu haya mambo ya kidini yanayokiuka misingi ya utengamano wa Taifa letu, inaweza kuleta tafsiri mbaya kwa watu wengine. Usikubali hilo litokee, litakuathiri sana wewe binafsi na Taifa letu.

Mshikamano wetu, umpja wetu, vinatakiwa kulindwa kwa nguvu zote.
Kibela wacha chuki.....chuki yaleta utenganooooo ohoo ooh kibelaaa Mk group...Inocent galinoma sote ni ndugu watoto wa baba wengine humita Allah..wengine Jehova....humwita Mungu...tuache chuki na ubaguzi wakija wakinq pastor bonke hakuna shida.
 
Mtu huyu anayedaiwa kuendesha midahalo ya kidini ni mtu ambaye amesikika mara kadhaa katika mihadhara yake akitamka kuwa waislam wote wanatakiwa kuwa magaidi dhidi ya wale aliowaita ni maadui wa uislam.

Hivi kweli waislam wa Tanzania wamekosa watu wa kuwafundisha watu kuhusiana na imani yao mpaka aletwe mtu ambaye anatafutwa kwa uhalifu na mafunfisho ya uovu?

Rais ingilia kati, usiruhusu watu wahalifu kuja kupandiza mbegu za chuki na ugaidi nchini mwetu. Kinachopandwa leo na watu waovu kama huyo mhubiri, matunda yake yatakuwa kuvisumbua vizazi vyetu vya baadaye.
Mkuu toa ushahidi kamili wahusika waufanyie kazi. Hii itapunguza gharama za kufanya uchunguzi na kurahisisha kumtia hatiani mtuhumiwa.

Vinginevyo, naweza kuwaza kuwa unajitengenezea kazi ya kufanya baada ya kukaa benchi muda mrefu bila mchongo (God/Allah Forbid)
 
Kila jambo baya lilikuwa na mwanzo mdogo, lakini wahusika hawakuushughulikia mwanzo, na baadaye wakaangamia au wakalazimika kutumia gharama kubwa kuokoa Taifa au jamii yao.

Tanzania hii ya leo, pamoja na matatizo mengi tuliyo nayo, umoja wetu usiozingatia dini, kabila au eneo mtu atokalo ni jasho na jitihada nyingi za muasisi wa Taifa letu, Mwalimu Nyerere (Mwenyezi Mungu Umjalie Pumziko Jema la Milele).

Baada ya jitihada hizi za watangulizi wako, Rais Samia usikubali kuingia kwenye historia mbaya kuwa wewe ulikuwa mtawala wa kwanza kuruhusu mambo yanayopalilia chuki na ugaidi wa kidini.

Kuna mtu ameingia nchini, mtu huyu ni mhalifu, nchini kwake India amepigwa marufuku kuonekana na anatafutwa kwa kuhamasisha ugaidi. Mataifa mengi Duniani, yamempiga marufuku kuonekana katika mataifa yao kutokana na mafundisho yake hatari kwa usalama wa Dunia.

Mtu huyu anayedaiwa kuendesha midahalo ya kidini ni mtu ambaye amesikika mara kadhaa katika mihadhara yake akitamka kuwa waislam wote wanatakiwa kuwa magaidi dhidi ya wale aliowaita ni maadui wa uislam.

Hivi kweli waislam wa Tanzania wamekosa watu wa kuwafundisha watu kuhusiana na imani yao mpaka aletwe mtu ambaye anatafutwa kwa uhalifu na mafunfisho ya uovu?

Rais ingilia kati, usiruhusu watu wahalifu kuja kupandiza mbegu za chuki na ugaidi nchini mwetu. Kinachopandwa leo na watu waovu kama huyo mhubiri, matunda yake yatakuwa kuvisumbua vizazi vyetu vya baadaye.

Dini haifanyiwi mdahalo wala mashindano, dini hufundishwa na kuhubiriwa.

Samia, wewe ni muislam, na huyu mhubiri mhalifu anayetafutwa, ni muislam, ukiruhusu haya mambo ya kidini yanayokiuka misingi ya utengamano wa Taifa letu, inaweza kuleta tafsiri mbaya kwa watu wengine. Usikubali hilo litokee, litakuathiri sana wewe binafsi na Taifa letu.

Mshikamano wetu, umpja wetu, vinatakiwa kulindwa kwa nguvu zote.
Mimi naamini binadamu akipata changamoto, (uncertainty), huamsha ubongo wake na kuweza kukabiliana na changamoto ama matatizo yanayomzunguka

Changamoto husababishwa pia na binadamu, binadamu huweza kujisababishia changamoto kwa uzembe ujinga, upumbavu, ushamba, wivu na uvivu, binadamu huyo huyo kuwasababishia changamoto watu wengine kwa makusudi ama kwa kutokujua
Viongozi ni binadamu tulio wapa dhamana kama binadamu wa kawaida huweza sababisha changamoto kwa watu wengine

Jamii yetu ni jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi, jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri inavyotaka wewe

Kumbe jamii ndiyo nguzo kuu ya kuweza kuyakataza hayo, Rais ni taasisi ambayo chanzo kikuu ni jamii, (jamii ya kanyaga twende)

Mafanikio na madhaifu yaliyopo nchini, yamejengwa na jamii hii hii ya kanyaga twende, (jamii ya bora liende)

Silence surrenders public responsibilities
 
Kibela wacha chuki.....chuki yaleta utenganooooo ohoo ooh kibelaaa Mk group...Inocent galinoma sote ni ndugu watoto wa baba wengine humita Allah..wengine Jehova....humwita Mungu...tuache chuki na ubaguzi wakija wakinq pastor bonke hakuna shida.
Bonke ulishawahi kumsikia akitaja dini nyingine zaidi ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo? Huyo gaidi anashambulia Ukristo.
 
Mzee atakuja kujaza uwanja wa Mkapa siku ya mwisho



View: https://youtu.be/Bxk5AAA5FbI?si=Okyt-vv_0LwHgu8x


Namnukuu maneno anayoongea kwenye video

“If bin Laden is fighting enemies of Islam, I am for him. If he is terrorizing America—the terrorist, biggest terrorist—I am with him. Every Muslim should be a terrorist. The thing is that if he is terrorizing the terrorist, he is following Islam."

Daaaaaaaaa, baada ya kusoma hii naona kabisa Bi Ushungi kapoteza sifa ya kuwa Rais wa JMT. Ndiyo maana hata Trump sasa hivi anaona nchi hi kama ya Kiarabu (Kiharamia).
 
Nani huyo anayetaka kuichafua Amani ya Nchi Yetu Pendwa yenye Asali na Maziwa
Zakir Naik, mtu anayetafutwa nchini kwake India alikokimbia tangu mwaka 2016. Anatafutwa kwa vitendo vya ugaidi, utakatishaji fedha, na mahubiri yanayochochea ugaidi.

Zakir Abdul Karim Naik (born 18 October 1965) is an Indian Islamic preacher, and the founder and president of the Islamic Research Foundation (IRF)

India also banned IRF in 2016, accusing it of encouraging followers to promote enmity and hatred. He fled India in July 2016 after Bangladeshi authorities claimed that one of the attackers on a cafe in Dhaka was inspired by Zakir Naik. The incident had left 22 people dead.4 Oct 2024

Naik's TV is banned in India, Bangladesh, Canada, Sri Lanka, and the United Kingdom under hate speech laws.
 
Zakir Naik, mtu anayetafutwa nchini kwake India alikokimbia tangu mwaka 2016. Anatafutwa kwa vitendo vya ugaidi, utakatishaji fedha, na mahubiri yanayochochea ugaidi.

Zakir Abdul Karim Naik (born 18 October 1965) is an Indian Islamic preacher, and the founder and president of the Islamic Research Foundation (IRF)

India also banned IRF in 2016, accusing it of encouraging followers to promote enmity and hatred. He fled India in July 2016 after Bangladeshi authorities claimed that one of the attackers on a cafe in Dhaka was inspired by Zakir Naik. The incident had left 22 people dead.4 Oct 2024

Naik's TV is banned in India, Bangladesh, Canada, Sri Lanka, and the United Kingdom under hate speech laws.
Lakini hapa Samia anamkaribisha kwa mikono miwili.
 
Bonke ulishawahi kumsikia akitaja dini nyingine zaidi ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo? Huyo gaidi anashambulia Ukristo.
Kasemaje?mumjibu kwa hoja sio kusema afukuzwe Tanzania watu hawajahi kuuwana sababu ya dini!
 
Back
Top Bottom